iqna

IQNA

Misaada kwa jamii
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Taasisi ya Zakat al-Andalus inayohusiana na Jumuiya ya Hisani ya Al-Najat amesema jumuiya hiyo ya Kuwait imejenga misikiti 30 katika nchi tofauti za Kiislamu na Kiarabu mwaka jana.
Habari ID: 3476355    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

Shughuli za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Misaada ya Al-Najat ya Kuwait imesema zaidi ya wanafunzi 4,600 wamefaidika na programu zake za elimu ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476326    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/29

Uislamu unavyoenea
TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa Kuwait wanasema jumla ya watu 109 wamesilimu nchini humo tangu mwanzoni mwa mwaka huu.
Habari ID: 3476270    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya Kuwait yataandaliwa tena mwaka huu baada ya kusitishwa kwa muda wa miaka mitatu.
Habari ID: 3475624    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/15

Shughuli za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi wa shule katika nchi 52 hadi sasa wamenufaika kutokana na shughuli za jumuiya ya Qur’ani ya Kuwait ambayo inatoa misaada ya kimaisha na huduma za Qur’ani katika sehemu mbalimbali za dunia.
Habari ID: 3475546    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/27

TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni maalumu ambayo inawasiadia Waislamu kuhitimisha Qur'ani Tukufu imezinduliwa hivi karibuni nchini Kuwait.
Habari ID: 3475250    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/14

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imempongeza mcheza tennis wa Kuwait aliyekataa kucheza na mwakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3474865    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/29

TEHRAN (IQNA)- Mchezaji maarufu wa tennis kutoka Kuwait amepongezwa kwa hatua yake ya kujiondoa katika shindano moja la kimataifa baada ya kubainika kuwa alitakuwa ashindane na raia wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474836    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/22

TEHRAN (IQNA)- Spika wa Bunge la Kuwait amesema nchi hiyo itaendelea kuunga mkono taifa la Palestina katika kutetea haki zake.
Habari ID: 3474786    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/09

TEHRAN (IQNA)-Misikiti nchini Kuwait imeanza kutekeleza kanuni za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 baada ya maambukizi kuongezeka nchini humo.
Habari ID: 3474778    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/07

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imeandaa mashindano ya mabingwa wa Qur’ani katika kategoria za wanawake na wanaume.
Habari ID: 3474714    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/23

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono uamuzi wa serikali ya Kuwait wa kuzipiga marufuku meli za kibiashara zinazobeba bidhaa za utawala wa Kizayuni wa Israel kutia nanga katika bandari za nchi hiyo.
Habari ID: 3474643    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/05

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imetangaza kuwa darsa za Qur’ani na kidini pamoja na harakati nyingine za kiutamaduni zitaruhusiwa tena ndani ya misikiti.
Habari ID: 3474519    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kuchapisha Qur’ani Tukufu nchini Kuwati imechapisha Juzuu ya 30 ya Qur’ani Tukufu kwa hati za Baraille au maandishi nukta nundu.
Habari ID: 3474279    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/09

TEHRAN (IQNA)- Shirika la Wakfu la Kuwait limetangaza kuwa Duru ya 24 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yanafanyika nchini humo.
Habari ID: 3474232    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kuhuisha Turathi za Kiislamu ya Kuwait imesambaza mamia ya Misahafu na vitabu vya Kiislamu nchini Comoro.
Habari ID: 3474150    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/02

TEHRAN (IQNA)- Aplikesheni mpya ya Qur'ani iliyopewa jina la 'Ayatul Ahkam' imezinduliwa hivi karibuni nchini Kuwait.
Habari ID: 3473990    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/08

TEHRAN (IQNA) – Spika wa Bunge la Kuwait amesema nchi hiyo haina nia ya kufunga misikiti tena ili kuzuia kuenea kirusi cha corona au COVID-19.
Habari ID: 3473632    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/08

TEHRAN (IQNA) – Mtaalamu maarufu wa kisiasa Kuwaita amelaani hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia na Israel na kutaja hatua hiyo kuwa sawa na ukoloni mamboleo.
Habari ID: 3473257    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/13

TEHRAN (IQNA)- Amir mpya wa Kuwati amelitaka baraza la mawaziri nchini humo kuendelea na majukumu yake na matayarisho ya uchaguzi mwaka huu baada ya waziri mkuu kujiuzulu.
Habari ID: 3473236    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/06