iqna

IQNA

IQNA – Msanii mmoja kutoka Iran ameielezea namna uzuri wa kiroho wa Qur’an Tukufu unavyoendelea kumvutia na kumtia hamasa katika kazi yake ya sanaa ya kitamaduni ya tadhib au tazhib (mapambo ya Qur’an kwa dhahabu), ambayo ni miongoni mwa sanaa za Kiislamu za kale zinazotumika kupamba kurasa za Qur’an Tukufu.
Habari ID: 3480736    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/25

IQNA – Nakala adimu na ya kale ya Qur'ani Tukufu, iliyoandikwa karne nne zilizopita, imehifadhiwa katika kijiji kaskazini mashariki mwa Cairo, Misri.
Habari ID: 3479231    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/05

TEHRAN (IQNA)-Moja ya nakala ndogo zaidi za Qur’ani duniani imewekwa katika maonyesho katika mji wa Kusadasi, wilayani Aydin nchini Uturuki.
Habari ID: 3471712    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/10/19

Nakala ya Qur’ani Tukufu iliyofunikwa kwa plastiki imepatikana katika viswa vya Reunion Bahari ya Hindi na inaaminika kuwa inafungamana na mabaki ya ndege ya Malaysia iliyotoweka mwaka jana.
Habari ID: 3340026    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/08

Taasisi mbili za Uturuki zinashirikiana kusambaza nakala milioni za Qur’ani Tukufu katika nchi kadhaa za Kiafrika.
Habari ID: 3327631    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/13

Kundi la watu wasiojulikana limeushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Rome mji mkuu wa Italia na kuteketeza nakala zote za Qur’ani Tukufu zilizokuwemo msikitini humo.
Habari ID: 1389037    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/19