iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Jamhuri ya Azerbaijan imewafungia watumizi wa inteneti nchini humo tovuti ya Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa.
Habari ID: 3474473    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/26

TEHRAN (IQNA)- Wanachama kadhaa wa jamii ya Qur'ani nchini Iran, wakiwemo wasomaji wakongwe wa Qur'ani, wanazuoni na wasimamizi wa taasisi za Qur'ani wamekutana Jumamosi katika ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) katika siku ya kwanza ya kazi ya mwaka mpya wa 1400 Hijria Shamsiya
Habari ID: 3473780    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04

TEHRAN (IQNA)- Fainali ya kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 37 Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ilianza Jumapili.
Habari ID: 3473715    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08

TEHRAN (IQNA) – Wiki hii kumefanyika kumbukumbu kwa mwaka mwaka wa 27 tokea Mzayuni mmoja aliyekuwa na misimamo ya kufurutu ada aliwashambulia na kuwamiminia risasi Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala katika Msikiti wa Haram ya Nabii Ibrahim mjini al Khalil (Hebron) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473688    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/28

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua sita wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gaidi kufyatua bomu baada ya swala ya Ijumaa katika msikiti uliooko katika bandari ya Kismayo, kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3473159    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11

TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Akademia ya Elimu, Utamaduni na Utafiti Iran (ACECR) amesema academia hiyo inapaswa kuongoza duniani katika ustawi wa sayansi na teknolojia.
Habari ID: 3473037    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/05

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema ‘kubinya shingo kwa kutumia goti’ ni sera ya daima ya Marekani na kuongeza kuwa: “Katika kipindi chote cha historia, Marekani imekuwa ikitumia sera hiyo kukandamiza madhulumu.
Habari ID: 3472854    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/10

TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia inakusudia kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya vijana watano ambao walikamatwa miaka kadhaa iliyopita wakiwa watoto wadogo.
Habari ID: 3472529    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/04

TEHRAN (IQNA) – Kanali ya kwanza ya televisheni ya satalaiti ambayo ni maalumu kwa ajili ya Qur'ani Tukufu imezinduliwa nchini Misri.
Habari ID: 3472481    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitiza kuendelea uungaji mkono wa Iran kwa Syria katika vita dhidi ya ugaidi.
Habari ID: 3472480    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani ni muhusika wa vita vyote eneo la Asia Magharibi na amesisitiza kuwa, ni lazima kuendesha muqawama katika pande zote kukabiliana na utawala huo wa kibeberu wa Marekani.
Habari ID: 3472479    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/17

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vilivyowekwa dhidi ya taifa la Iran havina faida kwa maadui na kuongeza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu imevuka vikwazo vya kiwango cha juu vya Marekani.
Habari ID: 3472478    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16

TEHRAN (IQNA) –Malaysia imepewa jukumu la kutayarisha chakula halali, ambacho kimetayarishwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, kwa ajili ya michezo ya Olimpiki ya Tokyo 2020.
Habari ID: 3472477    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16

TEHRAN (IQNA) – Hatua ya kujiuzulu Sajid Javid, waziri Muislamu wa ngazi za juu zaidi katika chama tawala cha Kihafihdhina (Conservative) cha Uingereza imepelekea chama hicho kutuhumiwa kuwa kinachochea hisia za chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) .
Habari ID: 3472476    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhusu mahudhurio makubwa ya wananchi imara wa Iran katika maandamano ya Bahman 22, na katika kuusindikiza mwili wa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, kwamba uthabiti mkubwa wa taifa la Iran wa kuyakabili mashinikizo makubwa na ya kinyama ya Marekani umewastaajabisha wafuatiliaji wa masuala ya kimataifa.
Habari ID: 3472474    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15

TEHRAN (IQNA) – Msikiti uliojengwa miaka 130 iliyiopita nchini Singapore, umefunguliwa baada ya ukarabati wa miaka miwili na sasa unaweza kubeba waumini 2,500 kutoka 1,500.
Habari ID: 3472473    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15

TEHRAN (IQNA) – Polisi nchini Ujerumani Ijumaa waliwakamata watu 12 ambao wanashukiwa kuanzisha mtandano wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali kwa lengo la kutekeleza hujuma dhidi ya wanasiasa, wakimbizi na Waislamu.
Habari ID: 3472472    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/15

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu asema
TEHRAN (IQNA) - Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amemtaja Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC kama shakhsia aliyehuisha 'harakati za jihadi na kuuawa shahidi' katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472471    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/14

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kwa kumuua kigaidi shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Marekani ilivuka mistari yote miekundu na kwamba mauaji hayo yamegeuza mahesabu yote katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472470    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/14

TEHRAN (IQNA) - Marasimu ya maombolezo ya arubaini ya shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani Kamanda wa Kikosi cha Qods cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) yamefanyika Alhamisi kote nchini Iran kwa kuhudhuriwa na umati mkubwa wa matabaka mbalimbali ya wananchi.
Habari ID: 3472469    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/14