Kwa mnasaba wa Krismasi
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewanasihi wafuasi wa dini ya Kikristo wafungamane na vitendo vyema kama walivyoelekezwa na Nabii Issa Masih (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-).
Habari ID: 3472302 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25
Ayatullah Reza Ramezani
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt AS ametoa wito kwa nchi za Kiislamu ziishinikize serikali ya Nigeria imueachilie huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3472301 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25
TEHRAN (IQNA) –Hatua ya Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohamad kuwa mwenyeji wa kikao cha viongozi wa nchi za Kiislamu imeikasirisha Saudia Arabia na waitifaki wake.
Habari ID: 3472300 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/24
TEHRAN (IQNA) – Pamoja na kuwa mustakabali wa uchumi wa Uingereza haujulikani kutokana na uamuzi wa nchi hiyo kujiondoa katika Umoja wa Ulaya, lakini biashara ya chakula halali nchini humo inazidi kuimarika kutokana kuongezeka matumizi miongoni mwa Waislamu.
Habari ID: 3472299 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/24
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya maelefu ya Waislamu wameandamana katika miji kadhaa nchini Ethiopia kulaan hujuma za hivi karibuni dhidi ya misikiti katika eneo lenye Wakristo wengi la Amhara kaskazii mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472298 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/24
TEHRAN (IQNA) -Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS imeunga mkono uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai unaonyesha kuwa hulka ya uvamizi na ukaliaji ardhi kwa mabavu ya Israel na kiwango cha dhulma ilizowafanyia wananchi madhulumu wa Palestina vimezidi kudhihirika mbele ya jamii ya kimataifa.
Habari ID: 3472297 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/23
Waziri Mkuu wa Malaysia
TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Malaysia Mahathir Mohammad amesema Iran, Malaysia, Uturuki na Qatar zinatafakari kutumia dinari ya dhahabu na mfumo wa bidhaa kwa bidhaa katika biashara.
Habari ID: 3472296 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/22
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika eneo moja la jimbo la California nchini Marekani hatimaye wamepata idhini ya kujenga msikiti baada ya mapambanao ya miaka 13.
Habari ID: 3472294 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/21
TEHRAN (IQNA) – Mwendesha Mashtaka Mkuu katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amesema ataanzisha uchunguzi kamili kuhusu jinai za kivita za utawala dhalimu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3472293 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/21
TEHRAN (IQNA) – Wanasayansi Waislamu na wanaharakati wametakiwa kujitokeza wazi katika matukio ya kimataifa kwa lengo la kuutetea Uislamu.
Habari ID: 3472292 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/21
TEHRAN (IQNA) - Watu wengine nane wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya kupinga sheria iliyo dhidi ya Waislamu nchini India, huku taasisi za kimataifa, nchi na shakhsia mbalimbali duniani wakiendelea kukosoa hatua ya kupasishwa sheria hiyo tata.
Habari ID: 3472291 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20
TEHRAN (IQNA) -Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa Tehran ameashiria matukio ya hivi karibuni katika nchi za Kiislamu na kusema kuwa, kuna ulazima kwa Waislamu kuwa macho mbele ya njama za maadui huku akitoa wito kwa Waislamu duniani kumtetea Sheikh Ibrahim Zakzaky wa Nigeria.
Habari ID: 3472290 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Misri, Cairo na mji wa kale wa Bukhara nchini Uzbekistan imetangazwa kuwa miji mikuu ya utamaduni katika ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2020.
Habari ID: 3472288 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/20
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una changamoto nyingi kitaifa na kimataifa na kusisitiza kuwa, nchi za Kiislamu zinapaswa kuwa na tadibiri na mikakati madhubuti ya kuachana na ubeberu wa sarafu ya dola wa kutegemea mfumo wa kifedha wa Marekani.
Habari ID: 3472287 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/19
TEHRAN (IQNA) – Viongozi wa nchi muhimu za Kiislamu wamekutana Kuala Lumpur, Malaysia kujadili masuala muhimu ya Uliwmengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3472286 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/18
TEHRAN (IQNA) – Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al Mustafa SAW kimetoa taarifa na kulaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu kuendelea kushikiliwa kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim al-Zakzaky na mke wake, pamoja na kuwa hali yao ya kiafya imezorota.
Habari ID: 3472285 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za kueleka mashariki na kuwa na uhusiano wa karibu zaidi na nchi muhimu za bara Asia ni miongoni mwa malengo ya siku zote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3472284 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza kuwafuta kazi maimamu na wahubiri saba ambao wametuhumiwa kujiunga na 'makundi ya kigaidi'.
Habari ID: 3472283 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/17
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya Waislamu wa Uingereza wameanza kujitayarisha kuondoka nchini humo wakihofia usalama wao baada ya uchaguzi ambao unamuandalia njia Boris Johnson kuendelea kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kwa muda miaka mitano.
Habari ID: 3472282 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/16
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa Saba wa Mawaziri wa Afya wa Jumuiya ya Nchi za Kiislamu (OIC) umefanyika wiki hii katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).
Habari ID: 3472281 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/16