iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Mwanamke Mwislamu nchini Marekani ametimuliwa katika mgahawa aliokuwa akifanya kazi kwa sababu tu ya kuja kazini akiwa amevalia vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3472325    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinzudi ya Kiislamu akibainisha kwamba, 'Mimi, serikali na taifa la Iran tunalaani vikali shambulizi la Marekani dhidi ya Hashdu sh-Sha'abi ya Iraq', amesisitiza kuwa, watu wa eneo hili wanaichukia sana Marekani.
Habari ID: 3472324    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01

TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia ujumbe wa pongezi marais na viongozi na mataifa ya Wakristo kwa mnasaba wa kuanza mwaka mpya wa Miladia wa 2020.
Habari ID: 3472323    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01

TEHRAN (IQNA) – Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 149 katika mwaka uliopita wa 2019, aghalabu wakiwa katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472322    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/01

TEHRAN (IQNA) – Idara ya Kufuatia Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika Chuo cha Al Azhar nchini Misri imelaani hatua mwanasiasa mwenye chuki dhidi ya Uislamu nchini Uholanzi ya kupanga kufanyika mashindano ya vibonzo vya kumdhalilisha Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3472321    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/31

TEHRAN (IQNA) - Malefu ya wananchi wenye hasira nchini Iraq leo wameandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Baghdad baada ya mazishi ya wapiganaji wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi maarufu kama Al Hashd al Shaabi ambapo wamelaani vikali hujuma ya anga ya Marekani dhidi ya vituo vya harakati hiyo.
Habari ID: 3472320    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/31

TEHRAN (IQNA) –Mkutano mkubwa zaidi ya Waislamu Marekani umefanyika katika mji wa Chicago na kuwaleta pamoja Waislamu zaidi ya 25,000 na wageni waalikuwa kutoka dini zingine.
Habari ID: 3472319    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/31

TEHRAN (IQNA) – Magazeti nchini Uingereza vimekuwa vikiwasilisha taswira mbaya na potovu kuhusu Uislamu na Waislamu.
Habari ID: 3472317    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/30

TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amepinga kulegeza misimamo mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kutoa suhula mbalimbali huko Ghaza mkabala na Hamas kusitisha uvurumishaji wa makombora katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3472316    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/30

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wasiopungua 40wameuawa katika mapigano yaliyojiri hivi karibuni huko Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Habari ID: 3472315    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/30

TEHRAN (IQNA)- Duru ijayo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran itafanyika katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuanzia siku ya 8 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani inayokadiriwa kuwa Aprili 20.
Habari ID: 3472314    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29

Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Ahul Sunna
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Ahul Sunna nchini Iraq amesema kuwa maadui wanalenga kuibua vita vya ndani na kuigawa nchi hiyo vipande vipande.
Habari ID: 3472313    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29

TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua 100 wameuawa mapema Jumamosi na wengine wengi kujeruhiwa hujuma ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
Habari ID: 3472312    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/29

TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindani ya 29 ya Qur'ani ya Sultan Qaboos wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Masikiti wa Sultan Qaboos katika Wilaya ya Basusher nchini humo.
Habari ID: 3472310    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

TEHRAN (IQNA) - Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Ijumaa limepasisha azimio ambalo linailaani vikali Myanmar kwa ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya na jamii za wengine waliowachache katika nchi hiyo ya Mabuddha.
Habari ID: 3472309    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, suala la kuwaenzi mashahidi ni jambo la lazima na ni jukumu la kila mtu kwani hivi sasa kuna siasa na harakati za kikhabithi zinazolenga kusahaulisha nembo za Mapinduzi ya Kiislamu hususan utamaduni wa jihadi na kuwa tayari kujitolea kufa shahidi katika njia ya Allah.
Habari ID: 3472308    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/27

TEHRAN (IQNA) – Wanajeshi wawili nchini Thailand ambao waliwapiga risasi na kuwaua Waislamu watatu kusini mwa nchi hiyo wamekamatwa na kufikishwa kizimbani.
Habari ID: 3472306    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/26

TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu yamefanyika nchini Kazakhstan katika mji wa Taraz ambapo wanawake 87 wameshiriki.
Habari ID: 3472305    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/26

TEHRAN (IQNA) –Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu Hujjatul Islam Hamid Shahriyari amesisitiza kuhusu Waislamu duniani kutumia uwezo wao mkubwa kukabiliana na maadui.
Habari ID: 3472304    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/26

TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mkono wa kheri na pongezi kwa Wakristo kwa mnasaba wa kukumbuka kuzaliwa Nabii Isa Masih (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-AS-) inayoadhimishwa leo na ambayo ni maarufu kama Krismasi.
Habari ID: 3472303    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/25