iqna

IQNA

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hali ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar ni ya kusikitisha huku akisisitiza udharura wa kuishinikiza serikali ya Myanmar ili isitishe mauaji ya kimbari na ukandamizaji dhidi ya Waislamu Warohingya.
Habari ID: 3471184    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/20

TEHRAN (IQNA)-Mama Muirani na watoto wake mapacha wamefanikiwa kuhifadhi Qur’ani kikamilifu.
Habari ID: 3471183    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/19

TEHRAN (IQNA)-Jeshi la utawala wa Israel limetumia mabuldoza kubomoa nyumba za Wapalestina katika kijiji kimoja kilichoko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kusini mashariki mwa mji wa Al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Israel.
Habari ID: 3471182    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/19

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Al-Mustafa SAW kimetangaza kuanza kusajili majina ya wanachuo wa kigeni nchini Iran watakaoshiriki katika Olimpiadi ya 23 ya Kimataifa ya Qur’ani na Hadithi.
Habari ID: 3471181    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/19

Sayyid Ammar Hakim
TEHRAN (IQNA)- Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq amesema kuna haja ya kutumiwa njia ya mazungumzo kutatua hitilafu zilizopo kuhusu eneo lenye mamlaka ya ndani la Kurdistan nchini humo.
Habari ID: 3471179    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/18

TEHRAN (IQNA)- Tarehe 16Septemba ni kumbukumbu ya ukatili wa kinyama uliotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kambi za Wapalestina za Sabra na Shatila mjini Beirut Lebanon.
Habari ID: 3471178    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/17

TEHRAN (IQNA)-Daktari Abdul El-Sayed, mwenye umri wa miaka 32 kutoka mji wa Detroit jimboni Michigan, anaendeleza kampeni kali ya kutaka kuwa gavana kwa kwanza Mwislamu Marekani.
Habari ID: 3471177    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/16

TEHRAN (IQNA)-Msikiti wa Jamia mjini Nairobi, Kenya umezindua kampeni ya kuwasiadia Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaokandamizwa na kuangamizwa kwa umati nchini Myanmar.
Habari ID: 3471176    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/16

TEHRAN (IQNA)- Misikiti kadhaa imefungwa Saudia Arabia baada ya ukoo wa kifalme kuingiwa na kiwewe kuhusu uwezekano wa kuibuka maandamano ya raia kupinga mienendo ya utawala huo.
Habari ID: 3471175    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/15

TEHRAN (IQNA)-Wanawake waliowahi kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel wamemwandikia barua kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar, Aung San Suu Kyi wakimtaka awatetee Waislamu wanaoendelea kuuawa nchini humo.
Habari ID: 3471174    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/15

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umeulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia maendeleo pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zilizo katika eneo la Quds Mashariki, Ukingo wa Maghribi na Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukalia kwa mabavu maeneo hayo.
Habari ID: 3471173    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14

TEHRAN (IQNA)-Waislamu wameuawa wameuawa baada ya gaidi kujilipua ndani ya msikiti kaskaini mwa Cameroon, ambapo maafisa wa usalama wanashuku kundi la kigaidi la Boko Haram limehusika na hujuma hiyo.
Habari ID: 3471172    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14

TEHRAN (IQNA)-Halima Yacob amechaguliwa Jumatano kuwa mwanamke wa kwanzi rais wa Singapore.
Habari ID: 3471171    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa kimya na kutochukua hatua jumuiya za kimataifa na wanaojigamba kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na matukio ya maafa yanayojiri Myanmar.
Habari ID: 3471169    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/12

TEHRAN (IQNA)-Serikali ya Jimbo la Sokoto nchini Nigeria imezijumuisha madrassah 4,000 za Qur'ani katika mfumo rasmi wa elimu.
Habari ID: 3471168    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/12

TEHRAN (IQNA)-Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wamesisitiza kuhusu umuhimu wa kuchukuliwa hatua za haraka kumaliza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3471167    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/11

TEHRAN (IQNA)- Mashidano ya 5 ya Qur'ani Tukufu yemamalizika Stockholm nchini Sweden Jumapili kw akutangazwa washindi.
Habari ID: 3471166    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/11

TEHRAN (IQNA)-Mwanasiasa wa cha chama cha Democrats nchini Sweden amewakasirisha wengi kwa kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471165    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/10

TEHRAN (IQNA)-Uchunguzi mpya wa hivi karibuni unaonyesha kwamba, vijana Waislamu wanaoishi nchini Uingereza wamekuwa waathirika wakubwa wa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na ubaguzi kuanzia shuleni, vyuo vikuu na hata maeneo ya kazi.
Habari ID: 3471164    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/09

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran amesisitiza kuhusu ulazima wa kusaidiwa Waislamu wa jamii ya Rohingya wanaokandamizwa na kuuawa kwa umati nchini Myanmar.
Habari ID: 3471163    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/08