iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Vijana Wazungu Waingereza wenye misimamo ya kibaguzi na chuki dhidi ya Uislamu wanapata mafunzi ya kijeshi, televisheni ya ITV imefichua.
Habari ID: 3471254    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/08

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Marywood katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani kimepanga kuandaa ‘Siku ya Kuvaa Hijabu’ mnamo Novemba 15.
Habari ID: 3471253    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07

TEHRAN (IQNA)-Mkutano wa pili wa kimataifa kuhusu qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu umefanyika katika mji wa Istanbul, Uturuki.
Habari ID: 3471252    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah amesema, kujiuzulu Saad Hariri kama Waziri Mkuu wa Lebanon ni uamuzi ambao ulilazimishwa na utawala wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3471250    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/06

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Taibah nchini Saudi Arabia kimefanikiwa kutumia teknolojia ya nano kuimarisha mfumo wa vipaza sauti katika Al-Masjid an-Nabawi (Msikiti wa Mtume SAW) mjini humo.
Habari ID: 3471249    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/05

TEHRAN (IQNA)-Waziri Mkuu wa Bangladesh Sheikh Hasina ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kuishinikiza Myanmar isitishe ukandamizaji wa Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.
Habari ID: 3471248    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/05

TEHRAN (IQNA)-Idhaa ya Qur'ani nchini Tunisia imesitisha matangazo yake baada ya serikali ya nchi hiyo kuipiga marufuku kutokana na kueneza itikadi za ukufurishaji.
Habari ID: 3471247    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/04

TEHRAN (IQNA)-Mzee mwenye umri wa miaka 65 mjini Jeddah, Saudi Arabia, amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamlifu kwa muda wa miezi 10.
Habari ID: 3471246    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/03

TEHRAN (IQNA)-Tamasha la 'Waumini wa Qur'ani Tukufu na Ukombozi wa Msikiti wa Al Aqsa' limefanyika katika Msikiti wa Ammar ibn Yasir katika eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471245    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/03

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa pili wa kimataifa wa Umoja wa Maulamaa wa Muqawama au mapambano ulianza hapo jana Jumatano katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut kwa kaulimbiu ya "Umoja kwa ajili ya Palestina-Israel inaelekea kutoweka".
Habari ID: 3471244    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma ujumbe katika Mkutano wa Pili Muungano wa Kimataifa wa Maulama wa Muqawama unaofanyika huko Lebanon akiagiza kudumishwa mapambano ya aina mbalimbali dhidi ya utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa wale wote wanaohisi kubeba dhima na wajibu huo mkubwa.
Habari ID: 3471242    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01

TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumanne mjini New York katika mtaa wa Manhattan na kupelekea watu 8 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471241    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01

TEHRAN (IQNA)-Itikadi ya Uwahhabi imetajwa kuwa chanzo cha ongezeko la ugaidi na chuki dhidi ya Uislamu Nigeria.
Habari ID: 3471240    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/31

TEHRAN (IQNA)-Kikao cha Qur'ani Tukufu na vijana Waislamu duniani kinafanyika katika mji wa Shiraz kusini mwa Iran.
Habari ID: 3471239    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/31

TEHRAN (IQNA)-Wafanyaziara milioni tatu Wairani wanatazamiwa kufika katika mji mtakatifu wa Karbala, Iraq kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3471238    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/30

TEHRAN (IQNA)-Afisa wa Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (ICRS) amesema kuna takribani wakimbizi zaidi ya milioni moja Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbia mauaji ya kimbari Myanmar na kuingia nchini Bangladesh.
Habari ID: 3471237    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/29

TEHRAN (IQNA)-Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon inaandaa awamu ya 20 ya mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471236    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/28

TEHRAN (IQNA)-Uturuki imeanza kusambaza nakala 21,500 za Qur'ani katika nchi 15 barani Afrika.
Habari ID: 3471233    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/28

TEHRAN- (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameuvunjia heshima msikiti ambao bado unajengwa katika mji wa Frankfurt, Ujerumani Jumanne.
Habari ID: 3471232    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/27

TEHRAN (IQNA)-Klipu ya video imeenea katika mitandao ya kijamii ikumuonyesha mchezaji wa zamani wa Timu ya Soka ya Arsenal ya Uingereza, Vassiriki Abou Diaby akisoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471231    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/26