Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hija ni fursa bora ya mahali na wakati kwa Umma wa Kiislamu kutangaza misimamo kuhusu kadhia ya Palestina, msikiti wa Al-Aqsa na uwepo wenye malengo maovu wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471094 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30
TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa kiimla na kikabila wa Saudi Arabia wametekeleza hujuma za kijeshi katika makazi ya Waislamu wa madehebu ya Shia ya mji wa Al-Awamiyah, mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3471093 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/30
TEHRAN- (IQNA)-Askari wa utawala wa Kizayuni wa israel wamewavamia Wapalestina waliofanya mgomo wa kukaa kitako katika msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni zaidi ya watu mia moja.
Habari ID: 3471092 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/28
TEHRAN (IQNA)-Wakuu wa vyuo vikuu vya nchi za Kiislamu wamekutana Ankara, mji mkuu wa Uturuki na kujadili kuundwa Baraza Kuu la Kiislamu la Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3471091 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
Inna Lillah wa Inna Ilahyi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Misri, Sheikh Mohammad Abdul Wahhab el-Tantawi ameaga dunia akiwa na umri wa zaidi ya miaka 70.
Habari ID: 3471089 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
TEHRAN (IQNA) Uchunguzi umebaini kuwa, asilimia 74 ya Waislamu nchini Marekani wanapinga namna rais Donald Trump wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471088 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
TEHRAN (IQNA)-Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya Jijja ametoa wito kwa Waislamu wasiibue masuala ya hitilafu za kimadhehebu katika Ibada ya Hija.
Habari ID: 3471087 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/26
TEHRAN (IQNA)-Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Uturuki, Sheikh Abdullah Hatipoglu aliaga dunia Jumapili akiwa na umri wa miaka 88.
Habari ID: 3471086 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/26
TEHRAN (IQNA)-Kundi la kigaidi la Taliban limedai kuhusika na hujuma iliyopelekea watu 35 kuuawa wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa Jumatatu katika shambulio la kigaidi Kabul, mji mkuu wa Afghanistan.
Habari ID: 3471085 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/25
TEHRAN (IQNA)-Taasisi za Kiislamu Palestina zimechukua hatua za pamoja kupinga vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa al-Aqsa.
Habari ID: 3471084 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/25
TEHRAN (IQNA)-Waalimu wa shule za Kiislamu (Madrassah) nchini Uganda wameshiriki katika warsha ya kuimarisha ujuzi wao.
Habari ID: 3471083 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/24
Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba 'unacheza na moto' kutokana na kushadidisha ukandamizaji dhidi ya Wapalestina wa Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3471082 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/24
TEHRAN (IQNA)-Mamia ya nakala za Qur’ani Tukufu zimesambazwa katika shule moja nchini Somlia miongoni mwa wanafunzi walioshiriki katika mashindano ya Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3471081 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/23
TEHRAN (IQNA)-Nakala kubwa ya Qu'rani Tukufu yenye uzito wa kilo 154 imeonyeshwa katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3471079 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/22
Indhari ya Interpol
TEHRAN (IQNA)-Polisi ya Kimataifa (Interpo) imechapisha orodha ya wanachama 173 wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh wanaohatarisha usalama wa nchi za Ulaya.
Habari ID: 3471078 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/22
TEHRAN (IQNA)-Wanajeshi 15,000 wa utawala wa Kizayuni wa Israel leo wameuzingira msikiti wa al-Aqsa na kuwazuia Waislamu kuswali Ijumaa huku kukiwa na sheria kali za usalama.
Habari ID: 3471077 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/21
TEHRAN (IQNA)- 25 Shawwal 1438 Hijria inasadifiana na siku ambayo aliuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Jafar Sadiq AS.
Habari ID: 3471076 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/20
TEHRAN (IQNA)-Zakir Naik, mhubiri wa Kiwahhabi mwenye utata amepokonywa pasi yake ya kusafiria na serikali ya India.
Habari ID: 3471075 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/19
TEHRAN (IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu Marekani kutokana na rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471074 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18
TEHRAN (IQNA)-Tamasha la Chakula Halal mjini Toronto, Canada, ni tamasha kubwa zaidi la chakula Halal eneo la Amerika Kaskazini na mwaka huu limewavutia Waislamu wengi waliojivunia mafanikio yao katika jamii.
Habari ID: 3471073 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18