iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Mfanyabiashara wa kike Mfaransa ambaye pia ni mama mzazi, Bi Samira Amarir, kwa muda mrefu alikuwa anatafuta bila mafanikio vitu mbali mbali vya watoto kuchezea, ambavyo vingeimarisha imani ya Kiislamu ya binti yake, hatimaye aliamua kujibunia yeye mwenyewe.
Habari ID: 3471162    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/07

TEHRAN (IQNA)-Mwanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon amesema kunahitajika hatua za kivitendo kusitisha mauji ya umati ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
Habari ID: 3471161    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/06

TEHRAN (IQNA)-Watoto wa jamii wa Waislamu Warohingya walitoroka ukatili Myanmar na kupata hifadhi Bangladesh wamepata fursa ya kujifunza Qur’ani Tukufu katika kambi za wakimbizi.
Habari ID: 3471160    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/05

TEHRAN (IQNA)-Uislamu unaenea kwa kasi sana Nepal, nchi ambayo aghalabu ya wakaazi wake wengi ni Wahindi au Mabaniani.
Habari ID: 3471159    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/05

TEHRAN (IQNA)-Utawala wa Mabuddha wenye misimamo mikali nchini Myanmar umewaua kwa umatu Waislamu karibu 3,000 huku taasisi zote za Umoja wa Mataifa za kuwafikishia misaada ya dharura Waislamu zikizuiwa.
Habari ID: 3471157    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/04

TEHRAN (IQNA)-Mamia ya wananchi wa Bahrain wameshiriki katika maandamano nchini humo wakitaka wafungwa wote wa kisiasa waachiliwe huru.
Habari ID: 3471156    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03

TEHRAN (IQNA)-Msikiti ambao ungali unajengwakusini mashariki mwa Uholanzi umeshambuliwa na watu wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3471155    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03

TEHRAN (IQNA)-Mahujaji kutoka Marekani, Uingereza na Canada walioshiriki katika Ibada ya Hija wamebainisha wasiwasi wao kuhusu sera za chuki dhidi ya Waislamu za Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3471154    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03

TEHRAN (IQNA)-Mwanamfalme Khalid al Faisal ambaye ni amiri wa mji mtakatifu wa Makka amewataja Wairani kuwa ndugu wa kidini wa watu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3471153    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03

Watu zaidi ya milioni 15 kote Iran wameshiriki katika mpango wa kitaifa wa kusoma Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3471152    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/02

Habari ID: 3471151    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/01

Kiongozi Muadhamu katika Ujumbe kwa Mahujaji
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei leo ametoa ujumbe kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471150    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/31

Msomi wa Malaysia
TEHRAN (IQNA)-Msomi mmoja nchini Malaysia amesema kuwa tafsiri potovu za Uislamu zimevuruga uthabiti katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia na kuongeza kuwa, chanzo cha tatizo hilo ni walimu waliosoma Uwahabbi unaonezwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3471149    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/30

TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Mahujaji mwaka ni 410,000 zaidi ya waka uliopita huku Waislamu kutoka kila kona ya dunia wakiwa katika mji mtukufu wa Makka kutekeleza ibada hiyo ya kila mwaka.
Habari ID: 3471148    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/29

TEHRAN (IQNA)-Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameitaka Mynmar iheshimu haki za jamii ya Waislamu wa kabila la Rohingya.
Habari ID: 3471145    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/28

TEHRAN (IQNA)-Bi. Baiq Mariah kutoka Indonesia ametmabuliwa kuwa Hujaji mwenye umri wa juu zaidi mwaka huu.
Habari ID: 3471144    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/27

TEHRAN (IQNA)-Kongamano la Kimataifa la Hija linafanyika Agosti 26-27 katika mji takatifu wa Makka ambapo wanazuoni wa Kiislamu kutoka mabara yote duniani wanashiriki.
Habari ID: 3471143    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/26

TEHRAN (IQNA) Magaidi wameuhujumu msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia mjini Kabul, Afghanistan na kuuawa waumini 30 waliokuwa katika Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3471142    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/26

Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah Sayyid Hassan Nasrullah
TEHRAN (IQNA)-Katibu Mkuu harakati ya Hizbullah cha nchini Lebanon amesema ushindi mwingine mkubwa umekaribia nchini humo kwani katika kipindi kifupi kijacho, magaidi wote wa ISIS au Daesh watafurushwa katika mpaka mzima wa Lebanon na Syria na usalama kurejea eneo hilo.
Habari ID: 3471141    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/25

TEHRAN (IQNA)-Mamia ya Waislamu wa kabila la Rohingya wamezingirwa na Mabuddha wenye misimamo mikali katika kijiji kimoja kilichoko katika jimbo la Rakhine, magharibi mwa Myanmar.
Habari ID: 3471139    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/24