iqna

IQNA

idi
TEHRAN (IQNA)- Leo Alhamisi tarehe 29 Julai mwaka 2021 inayosadifiana na tarehe 18 Dhul-hija mwaka 1442 Hijria ni Sikukuu ya Idul Ghadir Khum, moja ya Idd kubwa za Waislamu.
Habari ID: 3474138    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/29

TEHRAN (IQNA)-Sala ya Idul Adha itaswaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wiki ijayo.
Habari ID: 3474100    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14

TEHRAN (IQNA) – Kupunguzwa kwa kiasi kikubwa idadi ya Waislamu waliotekeleza ibada ya Hija mwaka huu kumeathiria vibaya sana uchumi wa Somalia ambapo hutegemea uuzaji wa mamilioni ya mifugo nchini Saudia wakati wa Hija.
Habari ID: 3473022    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01

TEHRAN (IQNA) – Misikiti katika mji mkuu wa China, Beijing iliandaa Swala ya Idul Adha siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3473021    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/01

TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika maeneo mbali mbali duniani wameshiriki katika Swala ya Idul Adha huku swala hiyo ikiwa imeathiriwa pakubwa na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3473019    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Uturuki leo wameshiriki katika Swala ya kwanza ya Idul Adha katika Msikiti wa Hagia Sophia mjini Istanbul.
Habari ID: 3473018    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/31