Kombe la Dunia Qatar
TEHRAN (IQNA) – Msikiti Mkuu wa Katara (Msikiti wa Bluu) ni miongoni mwa vivutio vingi katika Kijiji cha Utamaduni cha Katara huko Doha, Qatar, ambacho sasa ni kivutio kikuu kwa watalii wakati wa Kombe la Dunia nchini humo.
Habari ID: 3476165 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28
Waislamu na Uislamu Malaysia
KUALA LUMPUR (IQNA) – Ukiwa na rangi ya kipekee ya waridi na usanifu majengo wa aina yake, Msikiti wa Putra unapatikana katika mji mkuu wa Malaysia,Kuala Lumpur.
Habari ID: 3476107 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/18
Uislamu nchini Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa utafiti, chuki dhidi ya wageni na chuki dhidi ya Waislamu imekuwa ikiongezeka kwa kasi mashariki mwa Ujerumani.
Habari ID: 3476064 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) - Kulingana na maafisa wa Msikiti wa Cambridge nchini Uingereza watu 86 wametamka shahada mbili (au tamko la imani ya Kiislamu) katika kituo hicho tangu Januari.
Habari ID: 3476033 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/04
Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Kitaifa la Waislamu wa Kanada (NCCM) limeashiria kisa cha hujuma dhidi ya msikiti wa eneo la Toronto kama ishara ya "kuongezeka kwa kutisha kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)".
Habari ID: 3475963 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21
Maafa
TEHRAN (IQNA) – Kuba kubwa la Msikiti Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Jakarta nchini Indonesia liliporomoka kufuatia moto mkubwa.
Habari ID: 3475962 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21
Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza kabisa, Adhana imesikika katika moja kati ya misikiti mikubwa zaidi nchini Ujerumani mjini Cologne.
Habari ID: 3475931 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15
Fikra za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti ina nafasi maalum katika Uislamu. Misikiti sio tu ni sehemu za ibada au Sala bali pia ina kazi mbalimbali za kidini, kijamii na kisiasa.
Habari ID: 3475860 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/30
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Wanaume wawili walipigwa risasi na kuuawa Jumatatu usiku huko nchini Marekani katika jiji la Oakland wakati washambuliaji wengi waliokuwa kwenye gari walipofyatua risasi kwa umati wa watu karibu na Kituo cha Kiislamu cha Oakland.
Habari ID: 3475820 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/21
Waislamu Dunianii
TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa kwanza wa Cuba utajengwa katika mji mkuu Havana ambapo inatarajiwa kuwa ujenzi wake utafadhiliwa na Saudia Arabia kwa ajili ya Waislamu wanaoishi katika nchi hiyo ya Amerika Kusini.
Habari ID: 3475815 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/20
Waislamu Sweden
TEHRAN (IQNA) – Msikiti katika mji wa kusini mwa Uswidi (Sweden) wa Jönköping umehujumiwa na kuharibiwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3475759 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10
Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitano ya kihistoria inayohusiana na zama za Mtume Muhammad (SAW) katika eneo la Makka itakarabatiwa.
Habari ID: 3475715 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01
Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko York nchini Uingereza unatazamiwa kuandaa siku ya wazi kwa wasiokuwa Waislamu wa eneo hilo kuja kujifunza kuhusu Uislamu na mtindo wake wa Waislamu.
Habari ID: 3475683 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/26
Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Mji wa Gander katikati mwa jimbo la Newfoundland na Labrador nchini Kanada (Canada) unafanya kazi na jumuiya yake ya Waislamu wa eneo hilo kuanzisha msikiti wake wa kwanza ili kuwashawishi madaktari Waislamu wasihame eneo hilo.
Habari ID: 3475643 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18
Waislamu Japan
TEHRAN (IQNA)- Mtaa wa kifahari wa Yoyogi-Uehara katika wilaya ya Shibuyaj jijini Tokyo una jengo la aina yake ambalo ni msikiti mkubwa wenye rangi ya samawati.
Habari ID: 3475599 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/09
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja huko Paterson, jimbo la New York Marekani, umelengwa na wahalifu wenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu mapema wiki hii.
Habari ID: 3475588 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/06
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Watu wawili walirusha kitu kinachofanana na bomu la molotov kwenye nembo kubwa ya hilali nje ya Msikiti wa Fatima al-Zahra huko Long Island, New York, Marekani siku chache kabla ya sherehe ya Kiislamu ya Idul Adha.
Habari ID: 3475498 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/13
Waislamu Italia
TEHRAN (IQNA) - Msikiti wa kwanza huko Venice, Italia, ulizinduliwa katika hafla iliyohudhuriwa na wawakilishi wa jamii ya Kiislamu ya Italia na taasisi za jiji.
Habari ID: 3475369 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/12
Msikiti wa Al Aqsa wahujumiwa
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Wazayuni ya kuuvunjia heshima msikiti mtakatifu wa al-Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu. Msikiti huo uko katika mji mtakatifu wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3475313 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/30
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya milo milioni 3 ya futari ilitolewa kwenye Msikiti Mkuu wa Makka katika siku 20 za mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu wa 1423 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3475164 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24