iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Spika wa Bunge la Kuwait amesema nchi hiyo haina nia ya kufunga misikiti tena ili kuzuia kuenea kirusi cha corona au COVID-19.
Habari ID: 3473632    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/08

TEHRAN (IQNA)- Msikiti unaoaminika kuwa mdogo zaidi duniani unaojulikana kama Masjid Mir Mahmood Shah au Jinn ki Masjid huko Hyderbad nchini India unahitaji ukarabati wa dharura.
Habari ID: 3473623    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05

TEHRAN (IQNA) - Wakuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel wanazuia katika Msikiti wa Nabii Ibrahim, Amani iwe juu yake, ulioko katika mji wa Al Khalil au Hebron huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473614    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/02

TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohammad Hussein, Mufti Mkuu wa Quds (Jerusalem) ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia ukarabati wa Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3473597    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/28

TEHRAN (IQNA) – Mskiti wa Agung Sudirman (Masjid Agung Sudirman) ni msikiti wenye mvuto na mandhari ya kuvutia katika mji wa Denpasar, ambao ni mji mkuu wa jimbo la Bali, nchini Indonesia.
Habari ID: 3473539    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09

TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Kiislamu Ethiopia limetaka wale wote waliohusika katika kuuhujumu na kuuharibu Msikiti wa al-Najashi katika eneo la Tigray waadhibiwe.
Habari ID: 3473537    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08

TEHRAN (IQNA)- Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Baden-Wurttemberg kusini magharibi mwa Ujerumani mara mbili katika kipindi cha wiki mbili.
Habari ID: 3473518    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/02

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Amsterdam nchini Uholanzi. Kwa mujibu wa taarifa gaidi aliyekuwa amevaa barakoa aliurushia mawe Msikiti wa Hagia Sophia mjini Amsterdam.
Habari ID: 3473466    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17

TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitano nchini Singapore itaruhusiwa kuwa na waumini 250 kila moja kwa ajili ya swala ya Ijumaa kuanzia wiki hii.
Habari ID: 3473437    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/08

Msikiti wa Kutubiyaa, ni msikiti mkubwa zaidi katika mji wa Marakesh, nchini Morocco na pia ni moja kati ya misikiti muhimu zaidi nchini humo.
Habari ID: 3473424    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/05

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Nizamyie (Nizamiye Masjid) ni msikiti ulioko katika mji wa Midrand, katika Manispaa ya Johanesburg nchini Afrika Kusini.
Habari ID: 3473413    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umetoa amri ya kubomolewa msikiti alimokuwa akiswalisha mwanazuoni maarufu wa Waislamu wa madehehebu ya Shia, Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3473410    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA)- Mtu ambaye alipatikana na hatia ya kuuhujumu msikiti na kuua Waislamu sita katika mkoa wa Quebec nchini Canada mwaka 2017 sasa anaweza kuwasilisha ombi la kuachiliwa huru baada ya miaka 25 gerezani.
Habari ID: 3473398    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27

TEHRAN (IQNA) – Misikiti 487 katika eneo la Sharjah nchini Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) itaruhusiwa tena kuwa na swala za Ijumaa kuanzia Disemba 4.
Habari ID: 3473394    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/25

TEHRAN (IQNA)- Malefu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Ijumaa wiki hii katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3473360    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14

TEHRAN (IQNA) - Swala ya kwanza ya Ijumaa baada ya miaka 28 imeswaliwa leo katika msikiti wa kihistoria Yukhari Govhar Agha katika mji wa Shusha eneo linalozozaniwa baina ya Jamhuri ya Azeribajan na Armenia la Nagorno-Karabakh.
Habari ID: 3473357    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/13

TEHRAN (IQNA) – Masjid Tiban msikiti maridadi na wenye mvuto katika mji wa Malang nchini Indonesia.
Habari ID: 3473349    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/11

TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umempiga marufuku naibu mkurugenzi wa Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) kuingia katika Msikiti wa Al Aqsa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473330    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kwanza katika mji mkuu wa Ugiriki, Athens umefunguliwa baada ya miaka 14 ya vuta nikuvute na urasimu kupita kiasi.
Habari ID: 3473329    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/04

TEHRAN (IQNA) - Makumi ya maelfu ya Waislamu wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu Dhaka, kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono kitendo cha kifidhuli cha jarida la Kifaransa la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3473303    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/28