iqna

IQNA

IQNA – Kubomolewa Msikiti wa miaka 1,200 Dargah (makaburi matakatifu ya Waislamu),  katika wilaya ya Gir Somnath, Gujarat ya India kumeibua maandamano makubwa.
Habari ID: 3479517    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/30

Uislamu na Jamii
IQNA - Magereza yote nchini Kenya yameagizwa kutenga ardhi kwa ajili ya ujenzi wa misikiti na makanisa.
Habari ID: 3479403    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/09

Turathi za Kiislamu
IQNA Vioo vya rangi katika Msikiti wa Nasir-ul-Mulk - pia unaojulikana kama Msikiti wa Rangi ya Waridi - vinakarabatiwa, kulingana na afisa wa mkoa.
Habari ID: 3479398    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/09/08

IQNA - Msikiti wa Imam Sadiq (AS) katika Medani ya Palestina ya Tehran ni moja ya misikiti maridadi zaidi katika mji mkuu wa Iran, Tehran Msikiti huu una mandhari ya kuvutia baadhi ya maeneo yake yamejengwa kwa kuiga misikiti ya kale ya Isfahan. Shabestan (nafasi ya misikiti inayotumika kama ukumbi mkuu wa swala) pia ina mvuto wa aina yake.
Habari ID: 3479361    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/31

Jinai za Israel
IQNA-Khatibu wa Msikiti wa Al-Aqsa Sheikh Ekrima Sabri amesema, kauli aliyotoa hivi karibuni waziri wa usalama wa ndani wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa ni hatarishi.
Habari ID: 3479338    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/27

Arbaeen 1446
IQNA - Kila siku, makumi ya maelfu ya mazuwar au wafanyaziara wa Arbaeen hutembelea Msikiti Mkuu wa Kufa, ulioko karibu na Najaf, Iraq.
Habari ID: 3479324    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/08/24

Dini
IQNA - Indonesia inapanga kuzindua njia ya chini ya ardhi ya urafiki inayounganisha kanisa na msikiti mashuhuri huko Jakarta mwezi ujao, kabla ya ziara ya Papa Francis katika nchi hiyo yenye Waislamu wengi.
Habari ID: 3479190    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/27

IQNA - Mufti Mkuu wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili alielezea mshangao wake kwamba Waoman ndio waliohusika na shambulio baya la kigaidi katika msikiti wa Shia karibu na Muscat.
Habari ID: 3479146    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/07/19

Chuki dhidi ya Uislamu India
Watu walizuia Shirika la Manispaa ya Delhi (MCD) kubomoa ukuta wa mpaka wa msikiti katika wilaya ya Rohini siku ya Jumanne.
Habari ID: 3479016    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/27

IQNA - Msikiti Mkuu wa Paris umelaani mwenendo unaoongezeka wa mashambulizi ya kisiasa na vyombo vya habari dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa.
Habari ID: 3479010    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/06/24

Utamaduni
IQNA - Msikiti Mkuu wa Djenne nchini Mali wikiendi huu ulikuwa eneo la sherehe kitamaduni za kila mwaka. Ukarabati upya wa kila mwaka wa msikiti huo ulifanyika kwa kushirikisha watu wengi.
Habari ID: 3478820    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/14

Waislamu Korea Kusini
IQNA - Daud Kim, msanii maarufu wa pop wa Korea Kusini na YouTuber ambaye alikubali Uislamu mnamo 2019, ameanza mradi wa kujenga msikiti huko Incheon, Korea Kusini.
Habari ID: 3478683    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/14

Waislamu Ulaya
IQNA - Sala ya Idul Fitr iliswaliwa na zaidi ya waumini 100 wa Kiislamu katika Msikiti wa Yeni huko Thessaloniki, kaskazini mwa Ugiriki, siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478674    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/12

IQNA- Katika harakati inayoashiria istiqama, Wapalestina katika Ukanda wa Gaza siku ya Ijumaa walishiriki katika sala ya kwanza ya Ijumaa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani Machi 15 katika eneo lenye mabaki ya Msikiti wa Rafah ambalo ulibomolewa hivi karibuni katika hujuma ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3478527    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Qurani Tukufu
IQNA - Eneo la Wallonia nchini Ubelgiji linasherehekea ufunguzi wa Msikiti wa Kanuni Sultan Süleyman huko Liège baada ya miaka 10 ya ujenzi uliotegemea wafadhili wa eneo hilo.
Habari ID: 3478503    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/13

IQNA – Msikiti wa kwanza duniani kujengwa kwa kutumia teknolojia ya uchapishaji ya 3D ulizinduliwa mjini Jeddah mapema mwezi Machi.
Habari ID: 3478484    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10

Diplomasia ya Kiislamu
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478444    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03

Ugaidi
IQNA - Shambulio dhidi ya msikiti mashariki mwa Burkina Faso liliua makumi ya Waislamu siku ambayo a shambulio lingine baya dhidi ya Wakatoliki waliokuwa kanisani.
Habari ID: 3478419    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/27

Turathi
IQNA- Msikiti mkubwa zaidi barani Afrika, unaochukua waumini 120,000, umefunguliwa nchini Algeria siku ya Jumapili.
Habari ID: 3478418    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti mmoja katika mji mkuu wa Uswidi wa Stockholm umekuwa ukilengwa na mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu kwa zaidi ya mwaka mmoja, huku tukio la hivi punde likitokea Jumatano wakati waumini wa Kiislamu walipoona ukuta wa msikiti ukiwa umechorwa Swastika ambayo ni nembo ya wanazi na maandishi ya "waue Waislamu "
Habari ID: 3478402    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23