TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kufuatia kuuawa shahidi na kujeruhiwa idadi kubwa ya watu wasio na hatia nchini Afghanistan.
Habari ID: 3474400 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09
TEHRAN (IQNA)- Waumini zaidi ya 60 wameopoteza maisha katika hujuma kigaidi dhidi ya msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia huku katika mji wa Kunduz kaskazini mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3474397 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/08
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua ya mahakama moja ya utawala bandia wa Israel kuwaruhusu walowezi wa Kizayuni kuingia katika uwanja wa Msikiti wa Al Aqsa kwa ajili ya kufanya ibada zao.
Habari ID: 3474394 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/07
TEHRAN (IQNA)- Raia wasiopungua watano wamepoteza maisha baada ya bomu lililotegwa mlangoni mwa msikiti wa Eid Gah mjini Kabul, kuripuka na kuwajeruhi watu wengine kadhaa waliokuwa wanahudhuria ibada ya kumbukumbu ya mama wa msemaji wa Taliban Zabihullah Mujahid.
Habari ID: 3474380 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/04
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jordan imelaani hujuma za mara kwa mara za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3474353 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/28
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa jamii ya Wauyghur Waturuki wanaoishi katika mji wa Toronto, Canada wamenunua jengo la kale ambalo lilikuwa Kanisa na kuligeuza kuwa Msikiti.
Habari ID: 3474344 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/26
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa kwanza na mkongwe zaidi nchini India unatazamiwa kufunguliwa tena baada ya kurejea katika hadhi na adhama yake ya awali.
Habari ID: 3474331 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wamesali Sala ya kwanza ya Ijumaa katika msikiti mpya ambayo umejengwa katika mtaa wa Nishi Kasai eneo la Edogawa mjini Tokyo Japan.
Habari ID: 3474309 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18
TEHRAN (IQNA) - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel, na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474305 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/17
TEHRAN (IQNA)- Wizi katika msikiti huko Calgary nchini Canada umepelekea waumini waingiwe na hofu na wasiwasi mkubwa.
Habari ID: 3474290 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/13
TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Sultan au Masjid Sultan katika eneo la kihistoria la Kamponga Gelam ni kitovu cha jamii wa Waislamu nchini Singapore.
Habari ID: 3474245 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01
TEHRAN (IQNA)- Wanakijiji Wakristo wanashirikiana na Waislamu katika kukarabati msikiti mmoja wa kale katika mkoa wa Al Minya nchini Misri.
Habari ID: 3474231 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27
TEHRAN (IQNA)- 21 Agosti inatambuliwa kama siku ya kimataifa ya msikiti kwa mnasaba wa kukumbuka tukio chungu la Agosti 21, 1969 wakati Mzayuni Michael Dennis Rohan alipoitekteza moto sehemu ya Msikiti wa Al Aqsa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3474214 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/22
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetoa mwito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya kukumbuka tukio chungu la kuteketezwa moto msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.
Habari ID: 3474210 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/20
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Maswala ya Kidini ya Algeria imelaani mauaji ya imamu wa msikiti katika mkoa wa kaskazini wa Tizi Ouzou wakati akisali Sala ya Alasiri jioni msikiti ni.
Habari ID: 3474123 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya waumini Wapalestina waslihisiri katika Sala ya Idul Adha iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) baada ya hujuma za siku kadhaa za Wazayuni dhidi ya Msikiti huo.
Habari ID: 3474117 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/22
TEHRAN (IQNA)-Sala ya Idul Adha itaswaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) wiki ijayo.
Habari ID: 3474100 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/14
TEHRAN (IQNA)- Mchoraji mahiri Muirani Hassan Rouholamin amechora mchora katika Msikiti wa Nasir al-Mulk ulio Shiraa kama sehemu ya harakati za sanaa na fashihi za 'Kongamano la Kimataifa la Muhammad SAW, Mtume wa Rahma."
Habari ID: 3474086 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10
TEHRAN (IQNA)- Sinan, msanifu wa majengo maarufu alichora ramani ya Msikiti adhimu wa Süleymaniye kufuatia agizo la mmoja kati ya watawala wakuu katika zama za ufalme wa Othmaniya.
Habari ID: 3474063 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/02
TEHRAN (IQNA)- Wazayuni wenye misimamo mikali wameuhujumu tena Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) leo Jumatatu wakiwa chini ya himaya ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3474051 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28