IQNA – Msikiti wa kwanza duniani kujengwa kwa kutumia teknolojia ya uchapishaji ya 3D ulizinduliwa mjini Jeddah mapema mwezi Machi.
Habari ID: 3478484 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10
Diplomasia ya Kiislamu
IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza utayarifu wake wa kupanua uhusiano wa kiutamaduni kati ya Iran na Algeria kwa kuzingatia misikiti kama msingi na katika mwelekeo wa kuongeza maarifa, sayansi na kujenga umoja na mafungamano katika ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478444 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/03
Ugaidi
IQNA - Shambulio dhidi ya msikiti mashariki mwa Burkina Faso liliua makumi ya Waislamu siku ambayo a shambulio lingine baya dhidi ya Wakatoliki waliokuwa kanisani.
Habari ID: 3478419 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/27
Turathi
IQNA- Msikiti mkubwa zaidi barani Afrika, unaochukua waumini 120,000, umefunguliwa nchini Algeria siku ya Jumapili.
Habari ID: 3478418 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/26
Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti mmoja katika mji mkuu wa Uswidi wa Stockholm umekuwa ukilengwa na mashambulizi ya chuki dhidi ya Uislamu kwa zaidi ya mwaka mmoja, huku tukio la hivi punde likitokea Jumatano wakati waumini wa Kiislamu walipoona ukuta wa msikiti ukiwa umechorwa Swastika ambayo ni nembo ya wanazi na maandishi ya "waue Waislamu "
Habari ID: 3478402 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/23
Uislamu na Siha
IQNA - Kundi la wanaume wazee huko Istanbul wamepata njia mpya ya kuboresha afya na ustawi wao: kufanya mazoezi katika misikiti yao mtaani baada ya sala.
Habari ID: 3478345 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13
Waislamu Marekani
IQNA - Kituo cha Jumuiya ya Waislamu cha Edison, jimboni New Jersey nchini Marekani kinataka kujenga msikiti kwenye eneo lake la Plainfield Avenue, ambalo tayari lina makao na mnara.
Habari ID: 3478343 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/13
Waislamu India
IQNA - Pakistan imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuingilia kati na kulinda misikiti na maeneo ya turathi ya Kiislamu nchini India, kufuatia kuharibiwa kwa msikiti wa kihistoria wa Akhunji mjini New Delhi wiki iliyopita.
Habari ID: 3478329 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10
Turathi
IQNA - Waziri wa Wakfu nchini Misri amesema Msikiti wa Sayeda Zainab huko Cairo umefungwa kwa muda ili kuharakisha kazi ya ukarabati.
Habari ID: 3478305 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/04
Waislamu India
IQNA - Msikiti wa Gyanvapi huko Varanasi, ni eneo la kihistoria iliyojengwa katika karne ya 17, umekuwa kitovu cha hivi punde katika mzozo wa muda mrefu wa kisheria kati ya Wahindu na Waislamu nchini India.
Habari ID: 3478291 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02
Ustamaduni
IQNA - Maafisa wa Indonesia wameweka jiwe na msingi na kuzindua ujenzi wa msikiti wa kwanza katika mji mkuu mpya wa nchi hiyo.
Habari ID: 3478214 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/18
Taazia
IQNA - Kamera ya usalama katika msikiti mmoja nchiniIndonesia ilirekodi wakati imamu alipoaga dunia wakati akiongoza sala ya asubuhi mnamo Januari 2, 2024.
Habari ID: 3478155 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/06
Jinai dhidi ya Waislamu
IQNA – Imamu wa msikiti mmoja New Ark, jimbo la New Jersey nchini Marekani, amepigwa risasi na kuuawa nje ya msikiti anakosalisha.
Habari ID: 3478144 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04
Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa na utawala wa Israel katika vita vyake dhidi ya Gaza iliongezeka hadi 88 siku ya Ijumaa, huku usitishaji vita mfupi ukimalizika na utawala wa Kizayuni kuanza tena uchokozi wake mbaya.
Habari ID: 3477975 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02
Chuki dhidi ya Uislamu
STOCKHOLM (IQNA) - Msikiti mmoja kusini mashariki mwa Uswidi umeharibiwa vibaya kufuatia shambulio la uchomaji moto.
Habari ID: 3477654 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/26
Utalii wa Kiislamu
DUBAI (IQNA) - Dubai inatazamiwa kuzindia msikiti wa kwanza duniani unaoelea kwa gharama inayokadiriwa ya takriban Dh55 milioni.
Habari ID: 3477633 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/22
Waislamu Uingereza
LONDON (IQNA) - 'Siku ya Ustawi wa Jamii' itafanyika katika Msikiti wa Madina huko Blackburn nchini Uingereza, ikilenga kuongeza uelewa wa hali mbalimbali za kiafya na saratani, huku pia ikichangisha fedha kwa ajili ya waathirika wa tetemeko la ardhi nchini Morocco.
Habari ID: 3477603 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/15
Matukio
KADUNA (IQNA)- Watu saba walipoteza wakati sehemu ya msikiti uliojaa mamia ya waumini ilipoporomoka katika mji wa kaskazini mwa Nigeria wa Zaria, katika jimbo la Kaduna, na wengine kadhaa kujeruhiwa, maafisa walisema.
Habari ID: 3477424 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/12
Jamii
TEHRAN (IQNA) - Mwaka mmoja uliopita, ilifichuliwa kwamba qibla cha msikiti wenye umri wa miaka 40 katika Wilaya ya Gurcamlar ya Milas, Mugla, nchini Uturuki kilikuwa na makosa. Mwaka mmoja uliopita, ilifichuliwa kwamba qibla cha Msikiti wa Gurcamlar Mahallesi, uliojengwa katika miaka ya 1980, kilikuwa kimeelekea eneo ambalo si Makka.
Habari ID: 3477411 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/10
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) - Msikiti mmoja nchini Ujerumani ulipokea barua ya vitisho kutoka kwa kundi la Wanazi mamboleo siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477384 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/05