nujabaa

IQNA

IQNA – Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Nujaba ya Iraq amesema kuwa tishio lolote dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, linachukuliwa kuwa ni tangazo la vita.
Habari ID: 3481828    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21

Msemaji wa Harakati ya Nujabaa
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya al-Nujabaa ya Iraq alisisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa nchi pekee iliyosimama kidete kukabiliana na Marekani baada ya Vita vya Pili vya Dunia.
Habari ID: 3474908    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/08

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Harakati wa Mapambano ya Kiislamu ya Al Nujabaa ya Iraq ametahadharisha kuwa wanajeshi wa Iraq watashambuliwa iwapo hawataondoka Iraq ifikapo mwisho wa mwaka huu wa 2021.
Habari ID: 3474456    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/22

Msemaji wa Harakati ya Nujaba
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Nujabaa ya Iraq amesema moja kati ya mafanikio makubwa zaidi ya Mapinduziya Kiislamu ya Iran ni kuwezesha kurejea Uislamu halisi duniani.
Habari ID: 3473640    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/11