iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Ustaarabu wa Kiislamu limezinduliwa kwenye uwanja wa Msikiti wa Grand Camlica, msikiti mkubwa zaidi wa Uturuki, katika wilaya ya Uskudar ya Istanbul.
Habari ID: 3475105    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maudhui ya utandawazi na maagizo ya Wamarekani na watu wa Ulaya wanaoitaka Iran kujiunga na eti "familia ya kimataifa" ni mfano wa wazi wa kuzalishwa tena utamaduni wa kuwa tegemezi.
Habari ID: 3470621    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/20

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa ustaarabu wa Kiislamu hauwezi kufikiwa bila ya kuwepo kigezo cha maendeleo cha Kiislamu.
Habari ID: 3470273    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/26

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesisitiza juu ya ulazima wa vyuo vikuu kutoa mchango katika kujenga ustaarabu mpya wa Kiislamu.
Habari ID: 3447344    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/11

Mwenyekiti wa Taasisi ya Jihadi ya Vyuo Vikuu nchini Iran amesema lengo la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Wanachuo Waislamu ni kuimarisha itikadi za wanafunzi wa vyuo vikuu katika ulimwengu wa Kiislamu ili kuhuisha umoja wa Waislamu kueneza ustaarabu mpya wa Kiislamu.
Habari ID: 2666237    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/01