iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Bi. Samia Suluhu Hassan mapema leo asubuhi, saa nne asubuhi kwa majira ya Afrika Mashariki ameapishwa kuwa rais wa 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Habari ID: 3473746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19

TEHRAN (IQNA)- Shirika la kimataifa la usafirishaji mizigo la Nippon Express la Japan limeanzisha huduma mpya ya usafirishaji mizigio ambayo inazingatia mafundisho ya Uislamu na hivyo imepewa anuani ya 'Halal'.
Habari ID: 3473744    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/17

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kiimla wa Saudi Arabia unapanga kuwatimua wenyeji mji wa Qatif, ambao wakaazi wake wengi ni Waislamu wa madhehebu ya Shia.
Habari ID: 3473742    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/17

TEHRAN (IQNA)- Shule moja ya Waislamu kati mwa Sweden imeshambuliwa na watu wasiojulikana.
Habari ID: 3473737    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/15

TEHRAN (IQNA)- Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa kushtadi chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Sri Lanka, serikali ya nchi hiyo imetangaza kuwa karibuni hivi itapiga marufuku uvaaji wa vazi la staha la burqa (niqabu) ambalo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.
Habari ID: 3473732    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/14

TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Imam Baqir AS nchini Ghana kimetoa misaada ya Hospitali ya Watu Wenye Matatizo ya Kiakili ya Accra.
Habari ID: 3473720    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09

TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kura ya maoni ambayo imeidhinisha marufuku ya vazi la nikabu linalotumiwa na wanawake Waislamu.
Habari ID: 3473717    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ambapo katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya 37 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu imetangaza majina ya jopi la majaji katika mashindano hayo.
Habari ID: 3473698    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/03

TEHRAN (IQNA)- Viongozi wa kanisa wameshiriki katika ufunguzi wa msikiti katika mji wa El Mahalla nchini Misrikatika jimbo la Gharbia nchini Misri.
Habari ID: 3473689    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/28

TEHRAN (IQNA)- Kufuatia mashinikizo, serikali ya Sri Lanka imebatilisha uamuzi wake wa kuteketeza moto miili ya Waislamu waliopoteza maisha kutokana na Corona au COVID-19.
Habari ID: 3473685    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/26

TEHRAN (IQNA)- Taasisi za Kiislamu nchini Marekani zimelaani vikali hujuma dhidi ya msikiti unaojengwa mjini Strasbourg.
Habari ID: 3473682    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/25

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa wito kwa Sri Lanka kuheshimu haki za Waislamu kuzikwa kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3473679    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/24

TEHRAN (IQNA) – Benki moja ya Kiislamu nchini Nigeria imezindua mpango wa kuwahimiza Waislamu kuweka akiba ya fedha za kutumika kwa ajili ya kutekeleza Ibada ya Hija ambayo ni katika nguzo za Uislamu.
Habari ID: 3473677    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23

TEHRAN (IQNA)- Wanafunzi zaidi ya 185 wa Qur'ani Tukufu kutoka mikoa 26 ya Algeria ambao wamefanikiwa kuhifadhi Qur'ani katika mafunzo yaliyotolewa kwa njia ya intaneti wameenziwa katika sherehe iliyofanyika mjini Oran, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3473676    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/23

Mkuu wa Kongamano la Kimataifa la Wauyghur katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA) - Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Jamii ya Uyghur Dolkun Isa anasema serikali ya China inaendeleza kampeni dhidi ya Waislamu wa jamii ya Uyghur kwa kisingizio cha kupambana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3473671    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/21

TEHRAN (IQNA) – Idadi ya Waislamu wanaoishi nchini Japan, ingawa ni ndogo, imeongezeka maradufu katika muongo moja uliopita kutoka 110,000 mwaka 2010 hadi 230,000 mwishoni mwa mwaka 2019.
Habari ID: 3473661    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei ameashiria hotuba yake ya hivi karibuni kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi tano za kundi la 5+1 na kusema kuwa: Iwapo upande mwingine utatekeleza makubaliano hayo, Iran pia itatekeleza vipengee vyake, na mara hii Jamhuri ya Kiislamu haitatosheka kwa maneno na ahadi tupu.
Habari ID: 3473659    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Utamaduni cha New York kinajumuisha pia msikiti na kipo katika mtaa wa Harlem, Manhattan mjini New York nchini Marekani.
Habari ID: 3473656    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/16

TEHRAN (IQNA)- Algeria imefungua misikiti yote nchini humo baada kwa ajili ya sala za jamaa za kila siku na Sala ya Ijumaa.
Habari ID: 3473655    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/16