TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Tokyo, Japan umeandaliwa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku hatua zikichukuliwa kuzuia kuenea COVID-19.
Habari ID: 3473810 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/13
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Misri imewaweka wanachama wengine 103 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya magaidi kufuatia hukumu zilizotolewa na mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3473806 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12
Janga la virusi vya COVID-19
TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza wiki ijayo na Wailsamu takribani milioni moja Uholanzi watajiunga na wenzao duniani katika kufunga Saumu.
Habari ID: 3473799 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10
TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, ambao ulikuwa umefungwa kama sehemu ya ukandamizaji wa Waislamu baada ya kuuawa mwalimu aliionyesha katuni zilizomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, umefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473798 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuhusu udharura wa kuungana Waislamu katika kutangaza mwezi mwandamo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473795 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09
TEHRAN (IQNA) Mufti Mkuu wa Uganda anayefungamana na mrengo wa 'Kibuli Hill' mjini Kampala, Sheikh Silman Kasule Ndirangwa alitangaza kujiuzuli wadhifa huo Alhamisi iliyopita.
Habari ID: 3473787 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Uingereza imetakiwa itambue rasmi uwepo wa tatizo la chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia ili ikabiliane na tatizo hilo.
Habari ID: 3473786 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05
TEHRAN (IQNA) – Watu wa Bahrain wameandamana katika mji mkuu, Manama, Ijumaa jioni wakitaka wafungwa wa kisiasa waachiliwe huru.
Habari ID: 3473779 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/03
TEHRAN (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko China jana Jumanne aliandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa ametembelea mkoa wenye Waislamu wengi nchini humo ambao wakaazi wake wengi Waislamu wa jamii wa Uighur.
Habari ID: 3473773 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/31
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Msumbiji Omar Saranga amewaambia waandishi habari huko Maputo kwamba, jeshi linapambana vikali na waasi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Palma ulioko karibu na mpaka wa nchi hiyo na nchi jirani ya Tanzania.
Habari ID: 3473769 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/29
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu imelaani wito wa serikali ya Ufaransa iliyowataka maimamu wa misikiti nchini humo kubariki na kuhalalisha ndoa baina ya mashoga na watu wenye jinsia moja, ikisisitiza kuwa wito huo unaonyesha msimamo wa kindumakuwili dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473765 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/28
TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Ufaransa wamelalamikia hatua ya wakuu wan chi hiyo kupiga marufuku uchinjaji wa kuku kwa misingi ya Kiislamu huku mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukikaribia.
Habari ID: 3473749 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu (Islamophobia) na kusema ubaguzi wa rangi kwa bahati mbaya sana upon a unaendelea katika nchi zote na katika jamii zote duniani na mizizi yake imekita kutokana na karne na karne za ukoloni na utumwa.
Habari ID: 3473747 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19
TEHRAN (IQNA)- Bi. Samia Suluhu Hassan mapema leo asubuhi, saa nne asubuhi kwa majira ya Afrika Mashariki ameapishwa kuwa rais wa 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Habari ID: 3473746 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19
TEHRAN (IQNA)- Shirika la kimataifa la usafirishaji mizigo la Nippon Express la Japan limeanzisha huduma mpya ya usafirishaji mizigio ambayo inazingatia mafundisho ya Uislamu na hivyo imepewa anuani ya 'Halal'.
Habari ID: 3473744 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/17
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kiimla wa Saudi Arabia unapanga kuwatimua wenyeji mji wa Qatif, ambao wakaazi wake wengi ni Waislamu wa madhehebu ya Shia.
Habari ID: 3473742 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/17
TEHRAN (IQNA)- Shule moja ya Waislamu kati mwa Sweden imeshambuliwa na watu wasiojulikana.
Habari ID: 3473737 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/15
TEHRAN (IQNA)- Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa kushtadi chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Sri Lanka, serikali ya nchi hiyo imetangaza kuwa karibuni hivi itapiga marufuku uvaaji wa vazi la staha la burqa (niqabu) ambalo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.
Habari ID: 3473732 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/14
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Imam Baqir AS nchini Ghana kimetoa misaada ya Hospitali ya Watu Wenye Matatizo ya Kiakili ya Accra.
Habari ID: 3473720 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/09
TEHRAN (IQNA) – Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani kura ya maoni ambayo imeidhinisha marufuku ya vazi la nikabu linalotumiwa na wanawake Waislamu.
Habari ID: 3473717 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/08