waislamu - Ukurasa 33

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Sekta ya bidhaa na huduma ‘Halal’ duniani ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 3 na inawakilisha moja ya sekta zenye mustakabali mwema.
Habari ID: 3474193   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

IQNA (TEHRAN)- Mafundisho ya Qur'ani Tukufu ndio chanzo cha Waislamu wengi nchini Uingereza kujitolea katika kampeni ya kukabiliana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3474184   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12

TEHRAN (IQNA)- Mtetezi wa Watumiaji (Ombudsman) katika Shirika la Mapato la Canada (CRA) atazindua uchunguzi baada ya Waislamu na mashirika mengine madogo kuwasilisha malalamiko juu ya kulengwa vibaya kwa ukaguzi.
Habari ID: 3474175   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/09

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
Habari ID: 3474142   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30

TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Algeria iliamuru kufungwa kwa misikiti katika maeneo mengi ya nchi kutokana na ongezeko la maambukizi ya COVID-19, haswa aina mpya ya Delta.
Habari ID: 3474133   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)-Sherehe zimanza kufanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran na mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa nchi kwaa mnasaba wa kukaribia Siku Kuu ya Idul Ghadir.
Habari ID: 3474128   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali uamuzi wa Umoja wa Afrika kuupa utawala haramu wa Israel hadi ya ‘mwangalizi’ katika taasisi hiyo ya nchi za Afrika.’
Habari ID: 3474122   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24

TEHRAN (IQNA)- Ibada tukufu ya Hija ilianza rasmi jana chini ya usimamizi na sheria kali za kukabiliana na maambukizo ya virusi vya Corona huku idadi ya Mahujaji ikiwa chache mno kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Saudia.
Habari ID: 3474111   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3474110   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema, uhusiano na ushirikiano imara baina ya Chuo cha Kidini cha Qum na cha Al Azhar cha Misri unaweza kuwa na matokeo chanya na yenye faida kwa Waislamu duniani katika kupambana na ukufurishaji na misimamo ya kufurutu mpaka.
Habari ID: 3474107   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Qur’ani ya Tawjih na Irshad ya Lebanon imetangaza washiriki 10 bora wa Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur’ani ya Oula-al-Qiblatain.
Habari ID: 3474106   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema mauaji ya Waislamu wa katika mji wa Srebrenica ni ukurasa mchafu katika historia ya mwanadamu wa leo.
Habari ID: 3474094   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika leo Jumapili kuwakumbukwa wenzao waliouawa uaawa vitani miaka 26 iliyopita
Habari ID: 3474091   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/11

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imeandaa darsa maalumu ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474081   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/08

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wanaendelea kuongezeka maeneo mbali mbali ya Australia huku kukiwa na uhaba wa misikiti katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474079   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanafanyika katika Chuo Kikuu cha Michigano nchini Marekani kwa lengo la kuonyesha maisha ya Waislamu katika maeneo ya Detroit na kusini-mashariki mwa Michigan.
Habari ID: 3474073   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05

TEHRAN (IQNA)- Karibu asilimia 83 ya Waislamu nchini Scotland wameshuhudia vitendo vya moja kwa moja vya chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3474055   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya wapiganaji wa kujitolea wa wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi (PMU) imefanya gwaride kubwa lililopewa jina la 'Idi ya Hashd' siku ya Jumamosi 26 Juni kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa kuanzishwa kwake.
Habari ID: 3474050   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28

TEHRAN (IQNA) - Mameya wa miji miwili ya Canada ambayo imeshuhudiwa hujuma dhidi ya Waislamu wamemtumia barua waziri mkuu Justin Trudeau wakitaka kuitishwe kikao cha kujadili chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474044   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26

TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru bila ya masharti yoyote mwanazuoni huyo mtajika.
Habari ID: 3474033   Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23