waislamu - Ukurasa 34

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Msahafu wenye kuvunja rekodi kwa ukubwa wake umewekwa katika maonyesho katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta.
Habari ID: 3473863    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN–(IQNA) -  Ligi Kuu ya Soko Uingereza(England)-EPL-, imewaruhusu wachezaji Waislamu kufungua suamu ya Mwezi Mtukufu waRamadhani kati kati ya mechi.
Habari ID: 3473862    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA)- Huku India ikiendelea kusakamwa na ongozeko kubwa sana la maambukizi ya COVID-19, hospitali na vituo vya afya nchini humo ambazo hazina nafasi tena sasa zinapokea msaada wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473858    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/28

TEHRAN (IQNA)- Nchini Marekani kumeshuhudiwa ongezeko la asilimia 9 ya idadi ya malalamiko ya unyanyasaji dhidi ya Waislamu ambayo yalipokewa mwaka uliopita wa 2020 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.
Habari ID: 3473855    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu ametoa wito wa kudumishwa umoja wa umma wa Waislamu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kukabiliana na njama za maadui.
Habari ID: 3473847    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/25

TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba, mchezaji mahiri wa timu ya Manchester United katika Ligi Kuu ya Premier nchini Uingereza anasema atakuwa amefunga saumu ya Ramadhani wakati wa mechi baina ya timu yake na Leeds United Jumapili 25 Aprili mchana.
Habari ID: 3473846    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24

Muongozo wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kustawisha mtindo wa Kiislamu maishani.
Habari ID: 3473839    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/22

TEHRAN (IQNA)- Rais Muhamadu Buhari huhudhuria darsa za tafsiri ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473837    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ujerumani imeidhinisha adhana kupitia vipaza sauti misikitini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3473836    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufalme wa Saudi Arabia Jumatatu imechapisha picha za walinzi wanawake wakiwa katika Msitiki Mtakatifu wa Makka, al-Masjid al-Ḥaram.
Habari ID: 3473835    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani si tu kuwa ni fursa ya Muislamu kujijenga na kujiboresha bali pia ni fursa ya kuiboresha jamii.
Habari ID: 3473832    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

TEHRAN (IQNA) – Maandamano yamefanyika katika mji mkuu wa Nigeria, ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
Habari ID: 3473822    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/17

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanajumuika pamoja misikitini katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na kuwa nchi yao inakabiliwa na hujuma ya kinyama ya muungano vamizi wa Saudia-Marekani.
Habari ID: 3473820    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/16

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukata nyaya za vipaza sauti katika Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuzuia kuadhiniwa kwa kutumia vipaza sauti.
Habari ID: 3473816    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametuma ujumbe wa salamu za pongezi, kheri na baraka kwa Maspika wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mfungo wa mwezi mtukuufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473812    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/14

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Tokyo, Japan umeandaliwa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku hatua zikichukuliwa kuzuia kuenea COVID-19.
Habari ID: 3473810    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/13

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Misri imewaweka wanachama wengine 103 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya magaidi kufuatia hukumu zilizotolewa na mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3473806    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12

Janga la virusi vya COVID-19
TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza wiki ijayo na Wailsamu takribani milioni moja Uholanzi watajiunga na wenzao duniani katika kufunga Saumu.
Habari ID: 3473799    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, ambao ulikuwa umefungwa kama sehemu ya ukandamizaji wa Waislamu baada ya kuuawa mwalimu aliionyesha katuni zilizomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, umefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473798    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuhusu udharura wa kuungana Waislamu katika kutangaza mwezi mwandamo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473795    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09