iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mwenedo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya hususan nchini Ufaransa ungali unaendelea ambapo Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na mashinikizo makubwa.
Habari ID: 3473652    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/15

TEHRAN (IQNA) – Misikiti mingine 8 imefungwa kwa muda maeneo mbali mbali ya Saudia kufuatia ongezeko la maambukizi ya COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3473649    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/14

TEHRAN (IQNA) – Vladimir Gushchin mtafiti katika Kituo cha Utafiti wa Gamaleya nchini Russia ambayo imetengenza chanjo ya Corona ya Sputnik V amesema chanjo hiyo ni halali kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3473643    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/12

THERAN (IQNA)- Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Asarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, Utawala wa Aal Saud unatumia viwanja vya ndege vya Saudia kutekeleza mashambulizi dhidi ya Yemen na kuyatahadharisha mashirika ya ndege kutotumia viwanja hivyo.
Habari ID: 3473642    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/11

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Sri Lanka wamewasilisha malalamiko kwa Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa kuhusu sera ya serikali yao ya kuchoma kwa lazima miili ya Waislamu wanaoshukiwa kupoteza maisha kutokana na corona au COVID 19.
Habari ID: 3473636    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/09

TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya hujuma 900 zimeripotiwa dhidi ya Waislamu na taasisi za Kiislamu kote Ujerumani katika mwaka wa 2020.
Habari ID: 3473630    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/08

TEHRAN (IQNA)- Wanawake wawili Waislamu waliokuwa wamevaa hijabu walihujumiwa sehemu mbili tafauti Jumatano mjini Edmonton Canada.
Habari ID: 3473628    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/06

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya na Masuala ya Kidini Algeria imesema misikiti nchini humo ambayo ilifungwa kutokana na janga la COVID-19 sasa imeanza kutayarishwa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473627    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/06

TEHRAN (IQNA) Wanawake Waislamu nchini Nigeria wamemtaka rais wa nchi hiyo Muhammadu Buhari na magavana wa majimbo watunge sheria za kuwaadhibu wale wanaowabagua wanawake Waislamu kwa sababu tu wamevaa Hijabu.
Habari ID: 3473624    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05

TEHRAN (IQNA)- Msikiti unaoaminika kuwa mdogo zaidi duniani unaojulikana kama Masjid Mir Mahmood Shah au Jinn ki Masjid huko Hyderbad nchini India unahitaji ukarabati wa dharura.
Habari ID: 3473623    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/05

TEHRAN (IQNA) - Sera za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu Ufaransa zimechukua mwelekeo mpya baada ya serikali kuanza kufunga maduka ya Waislamu kwa visingizio mbali mbali vya 'kisheria'.
Habari ID: 3473619    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/04

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Myanmar lilivyofanya mapinduzi na kutwaa madaraka ya nchi limetangaza kuwa, lina mpango wa kumfungulia mashtaka ya uhaini Aung San Suu Kyi kiongozi wa chama tawala cha nchi hiyo cha NLD na viongozi wengine kadhaa wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473618    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/03

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Singapore wamehakikishiwa usalama wao baada ya kubainika kuwepo njama ya kushambulia misikiti nchini humo.
Habari ID: 3473606    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/30

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi maarufu wa upinzani wa mrengo wa kulia wenye kufurutu ada nchini Ufaransa, Marine Le Pen amependekeza kuwa vazi la Kiislamu la Hijabu lipigwe marufuku kabisa katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3473604    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/30

TEHRAN (IQNA) - Sheikh Mohammad Hussein, Mufti Mkuu wa Quds (Jerusalem) ameulaani vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia ukarabati wa Msikiti wa Al Aqsa.
Habari ID: 3473597    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/28

TEHRAN (IQNA) - Bunge la Ufilipino mnamo Januari 26, 2021, limepiga kura ya kuidhinisha Februari 1 kila mwaka kuwa ‘Siku ya Kitaifa ya Hijabu’.
Habari ID: 3473594    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/27

TEHRAN (IQNA) - Familia ya mwanasayansi bingwa na mwenye kipawa cha juu katika masuala ya nyuklia na ulinzi wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh jana ilimtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Habari ID: 3473591    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26

TEHRAN (IQNA) – Idara ya Masuala ya Kidini Uturuki (Diyanet) imewatunuku Waislamu wa Argentina vitabu 7,000 vya kidini na nakala za Qur'ani Tukufu zilizotarjumiwa kwa Kihispania.
Habari ID: 3473589    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/25

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imelaani vikali hatua ambazo serikali ya Ufaransa inachukua dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3473587    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/25

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Nigeria imetakiwa imuachilie huru Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo Sheikh Ibrahim Zakzaky, baada ya mke wake, Malama Zeenat, kuambukizwa corona au COVID-19 akiwa anashikiliwa jela.
Habari ID: 3473583    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/23