iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Pakistan imetoa wito kwa serikali ya India ilinde haki za jamii za waliowachache hasa Waislamu na ihakikishe kuwa wanapata usalama na uhuru wa kuabudu.
Habari ID: 3473432    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/07

Mwanazuoni wa Lebanon
TEHRAN (IQNA) – Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Waislamu wa Madhehebu ya Shia Lebanon Ayatullah Abdul-Amir Qabalan amelaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina Waislamu na Wakristo na kuongeza kuwa, kuanzisha uhusiano na Israel ni haramu.
Habari ID: 3473429    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/06

TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa New Zealand Jacinda Ardern ameahidi uwajibikaji wa serikali yake kuhusu ripoti ya hujuma dhidi msikiti mjini Christchurch.
Habari ID: 3473428    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/06

TEHRAN (IQNA) -Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR), limetangaza kuwa litatenga s ofisi katika makao makuu yake kwa ajili ya kutumiwa na Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF) ambayo imefungwa na serikali ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473423    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/05

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ufaransa imetangaza mpango mkubwa na ambao haujawahi kushuhudiwa wa kufanya upekuzi katika misikiti ya nchini humo.
Habari ID: 3473419    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03

TEHRAN (IQNA) - Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Wananchi wa Palestina na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kukabiliana na hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel unaouwa watoto.
Habari ID: 3473415    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/02

TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Mfalme wa Bahrain na wenzake aliofuatana nao wameingia msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem), unaokaliwa kwa mabavu na Israel, kwa kujificha wakihofu wasije wakatambuliwa na Wapalestina.
Habari ID: 3473409    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/30

TEHRAN (IQNA) – Wanaakiolojia wamegundua makaburi ya kale ya Waislamu kaskazini mashariki mwa Uhispania.
Habari ID: 3473408    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/30

TEHRAN (IQNA) – Wiki kadhaa baada ya kumaliza kujenga Msikiti wa Jamia wa Mji wa Zigoti nchini Uganda, Waislamu wa eneo hilo sasa wameanzisha mkakati wa kupanda miti na kujenga chuo cha Qur’ani kandi ya msikiti huo.
Habari ID: 3473406    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/29

TEHRAN (IQNA)- Mtu ambaye alipatikana na hatia ya kuuhujumu msikiti na kuua Waislamu sita katika mkoa wa Quebec nchini Canada mwaka 2017 sasa anaweza kuwasilisha ombi la kuachiliwa huru baada ya miaka 25 gerezani.
Habari ID: 3473398    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/27

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Nigera jana Jumanne waliendeleza maandamano yao katika mji mkuu wa nchi hiyo, Abuja, kushinikiza kuachiliwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
Habari ID: 3473391    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/25

TEHRAN (IQNA) – Televisheni moja nchini Uganda imeandaa kipindi maalumu ambacho kimejadili vizingiti katika kufikia umoja baina ya Waislamu.
Habari ID: 3473386    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/23

TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika kuendeleza kampeni dhidi asasi za Kiislamu, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darminian ametangaza mpango wa kupiga marufuku Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF).
Habari ID: 3473378    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Sanaa za Kiislamu Cairo, Misri ni hifadhi kubwa zaidi ya athari za sanaa za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3473375    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19

TEHRAN (IQNA) – Mahakama nchini Sweden imeondoa marufuku ya vazi la Kiislamu la Hijabu katika shule za mji mmoja wa kaskazini mwa nchi hiyo ya bara Ulaya.
Habari ID: 3473371    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/18

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Mustafa Ghalwash katika moja ya safari zake nchini Iran alisoma Qur’ani Tukufu mbele ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Habari ID: 3473369    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA)- Polisi nchini Austrai wamekosolewa vikali kwa kuwasumbua na kuwakera Waislamu ambao wamekuwa wakihujumu maeneo yao na kuwauliza maswali ya dharau.
Habari ID: 3473368    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/17

TEHRAN (IQNA) – Wanachama Waislamu katika chama cha Leba cha Uingereza wamesema wameshuhudia chuki dhidi ya Uislamu katika chama hicho kikubwa zaidi Uingereza.
Habari ID: 3473362    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15

TEHRAN (IQNA)- Malefu ya Wapalestina wameshiriki katika Swala ya Ijumaa wiki hii katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
Habari ID: 3473360    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14

TEHRAN (IQNA)- Waendesha mashtaka nchini Ujerumani wamewafikisha kizimbani wanaume 10 wanachama wa mrengo wa kulia wa kibaguzi ambao walikuwa wanapanga kutekeleza hujuma dhidi ya Waislamu na kuipindua serikali ya Ujerumani.
Habari ID: 3473359    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/14