TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio liliofanya na wapiganaji wasiojulikana waliokuwa na silaha karibu na mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) na kuua na kujeruhi akari wa vikosi vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo wakiwemo pia walinda amani wa Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3473556 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau Jumanne amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri na kumteua Mwislamu wa tatu katika baraza hilo.
Habari ID: 3473554 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa harakati ya Jihadul Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina nchini amepongeza nafasi ya Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani katika kuwaunganisha Wapalestina.
Habari ID: 3473552 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13
TEHRAN (IQNA) – Aplikesheni mashuhuri ya simu za mkononi ambayo Waislamu huitumia kubaini wakati wa swala imekuwa ikikusanya kwa siri taarifa za watumizi na kuzikabidhi Marekani.
Habari ID: 3473549 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/12
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetahadharisha kuhusu mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kubomoa sehemu za Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473547 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/11
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema hatua ya Marekani kuiwekea vikwazo Harakati ya Wapiganaji wa Kujitolea Iraq maarufu kama Al Hashd Al Shaabi (PMU( ni sawa na kuipa harakati hiyo medali ya fahari.
Habari ID: 3473541 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09
TEHRAN (IQNA) - Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayolenga kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473536 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08
TEHRAN (IQNA) –Bangladesh imewahamisha Waislamu 1,804 wakimbizi wa jamii ya Rohiingya kutoka katika kambi ya wakimbizi ya Cox's Bazar na kuwapeleka katika kisiwa cha mbali ambacho hadi sasa hakikuwa na wanadamu katika Ghuba ya Bengali .
Habari ID: 3473530 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika mji mmoja nchini Marekani wanaendeleza kampeni ya kuelimisha umma kuhusu vazi la Kiislamu la Hijabu na faida zake.
Habari ID: 3473529 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imetoa fatua ya kuususia kikamilifu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kwamba, haijuzu kuuuzia wala kununua chochote kinachozalishwa na utawala huo mpaka utakapokomesha ukaliaji wake ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3473524 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/04
TEHRAN (IQNA)- Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Baden-Wurttemberg kusini magharibi mwa Ujerumani mara mbili katika kipindi cha wiki mbili.
Habari ID: 3473518 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/02
TEHRAN (IQNA) – Semina ya Nabii Isa Masih, yaani Yesu, -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-imefanyika nchini Kenya katika fremu ya 'Mazungumzo Baina ya Dini'.
Habari ID: 3473510 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/31
TEHRAN (IQNA) – Januari 27 2017 ni siku ambayo Waislamu Wamarekani hawataishau. Katika siku hiyo, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikrii ya kuwapiga marufuku Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473503 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/29
TEHRAN (IQNA)- Muasisi wa kituo kikubwa zaidi cha Qur’ani Tukufu nchini Senegal amefariki dunia.
Habari ID: 3473499 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewatumia ujumbe Wakristo wa Iran na duniani kwa ujumla akiwatakia kheri wakati wakisherehekea Krismasi.
Habari ID: 3473492 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/26
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwasaliti wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3473488 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) – Indoneisa imekanusha ripoti kuwa iko tayari kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473487 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) -Msomi wa Kiislamu aliyeongoza mkakati dhidi ya misimamo mikali ya kidini, Sheikh Ahmed Lemu, ameaga dunia leo Alkhamisi akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3473486 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23
TEHRAN (IQNA) - Wanazuoni zaidi ya 12 wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia wanashikiliwa bila kufunguliwa mashtaka nchini Saudi Arabia huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.
Habari ID: 3473482 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22