TEHRAN (IQNA)- Muasisi wa kituo kikubwa zaidi cha Qur’ani Tukufu nchini Senegal amefariki dunia.
Habari ID: 3473499 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/27
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewatumia ujumbe Wakristo wa Iran na duniani kwa ujumla akiwatakia kheri wakati wakisherehekea Krismasi.
Habari ID: 3473492 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/26
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kitendo cha baadhi ya nchi za Kiarabu cha kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwasaliti wananchi wa Palestina na umma wa Kiislamu kwa ujumla.
Habari ID: 3473488 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) – Indoneisa imekanusha ripoti kuwa iko tayari kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala bandia wa Israel.
Habari ID: 3473487 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) -Msomi wa Kiislamu aliyeongoza mkakati dhidi ya misimamo mikali ya kidini, Sheikh Ahmed Lemu, ameaga dunia leo Alkhamisi akiwa na umri wa miaka 90.
Habari ID: 3473486 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/24
TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Wananchi wa Yemen ameashiria kuendelea kuchimbwa mashimo na njia za chini kwa chini kuelekea katika msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu na kueleza kwamba, Waislamu wanapaswa kutumia nyenzo na suhula zote kukabiliana na njama hizo.
Habari ID: 3473483 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/23
TEHRAN (IQNA) - Wanazuoni zaidi ya 12 wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia wanashikiliwa bila kufunguliwa mashtaka nchini Saudi Arabia huku ufalme huo ukishadidisha ukandamizaji wa jamii za waliowachache nchini humo.
Habari ID: 3473482 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22
TEHRAN (IQNA) - Taasisi mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetoa radiamali kufuatia hatua ya utawala wa Saudi Arabia kumtia mbaroni mwana wa kiume wa Sheikh Nimr Baqir al Nimr.
Habari ID: 3473479 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22
TEHRAN (IQNA) -Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, sera za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) za kuunga utawala wa Kizayuni wa Israel ni kwa madhara ya haki za Wapalestina.
Habari ID: 3473477 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/21
TEHRAN (IQNA) – Wanafunzi 80 wa Qur'ani Tukufu ambao walikuwa wametekwa kaskazini mashariki mwa Nigeria wamenusuriwa.
Habari ID: 3473476 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/21
TEHRAN (IQNA) Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekanusha kuwepo mashinikizo ya aina yoyote ya kuitaka nchi hiyo ijiunge na safu ya nchi zinazofanya mapatano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473474 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/20
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina leo wamshiriki katika Swala ya Ijumaa katika kibla cha kwanza cha Waislamu, yaani Msikiti wa Al Aqsa ulioko mjini Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473467 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/18
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Amsterdam nchini Uholanzi. Kwa mujibu wa taarifa gaidi aliyekuwa amevaa barakoa aliurushia mawe Msikiti wa Hagia
Sophia mjini Amsterdam.
Habari ID: 3473466 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/17
TEHRAN (IQNA)- Magaidi wakufurishaji wa kundi la Boko Haram wamedai kuhusika na utekaji nyara wa zaidi ya wanafunzi zaidi ya 300 katika shule moja ya upili Ijumaa iliyopita jimbo la Katsina kaskazini magharibi mwa Nigeria.
Habari ID: 3473462 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/16
TEHRAN (IQNA) – Shirika moja la kutoa misaada nchini Uturuki limewatunuku watu wa Djibouti nakala za Qur'ani tukufu zipatazo 30,000.
Habari ID: 3473456 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/14
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Kiislamu Singapore (Muis) limetoa wito kwa Waislamu nchini humo kukubali chanjo ya COVID-19 wakati itakapopatikana na itakapopati idhini ya idara husika za afya kuwa ni salama kutumia.
Habari ID: 3473455 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/14
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Masuala ya Kiislamu ya Mauritania imeendeleza kampeni maalumu ya qiraa ya Qur’ani katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3473452 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/13
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Algeria amekosoa hatua ya Morocco kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473450 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/12
TEHRAN (IQNA) -Utawala wa Ufaransa, wenye chuki shadidi dhidi ya Uislamu, umepasisha sheria mpya ya kuzidi kuwabana na kuwakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.
Habari ID: 3473446 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/11
TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitano nchini Singapore itaruhusiwa kuwa na waumini 250 kila moja kwa ajili ya swala ya Ijumaa kuanzia wiki hii.
Habari ID: 3473437 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/08