iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)-Wanachama wa Kituo cha Kiislamu cha Langley huko Langley, British Columbia nchini Canada, "wameshtuka" na "wamekata tamaa" baada ya kupokea barua ya vitisho na ya kibaguzi.
Habari ID: 3474254    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

Kiongozi wa Ansarullah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Saudi Arabia, utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani ziko kwenye muungano mmoja.
Habari ID: 3474252    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Sultan au Masjid Sultan katika eneo la kihistoria la Kamponga Gelam ni kitovu cha jamii wa Waislamu nchini Singapore.
Habari ID: 3474245    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/01

TEHRAN (IQNA)- Shirika la Wakfu la Kuwait limetangaza kuwa Duru ya 24 ya Mashindano ya Kitaifa ya Kusoma na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yanafanyika nchini humo.
Habari ID: 3474232    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27

TEHRAN (IQNA)- Wanakijiji Wakristo wanashirikiana na Waislamu katika kukarabati msikiti mmoja wa kale katika mkoa wa Al Minya nchini Misri.
Habari ID: 3474231    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/27

TEHRAN (IQNA)- Watu kote Iran wanaendelea na mijimuiko kwa ajili ya kuomboleza kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake watiifu 72 katika janga la Karbala mwaka 61 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3474203    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/18

TEHRAN (IQNA) "American Muslims (Waislamu wa Marekani) ni filamu inayoshughulikia maswala ya sasa kama vile ubaguzi wa rangi, na ubaguzi katika enzi ya media ya kijamii.
Habari ID: 3474200    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/17

TEHRAN (IQNA)- Sekta ya bidhaa na huduma ‘Halal’ duniani ina thamani ya zaidi ya dola trilioni 3 na inawakilisha moja ya sekta zenye mustakabali mwema.
Habari ID: 3474193    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/15

IQNA (TEHRAN)- Mafundisho ya Qur'ani Tukufu ndio chanzo cha Waislamu wengi nchini Uingereza kujitolea katika kampeni ya kukabiliana na janga la corona au COVID-19.
Habari ID: 3474184    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/12

TEHRAN (IQNA)- Mtetezi wa Watumiaji (Ombudsman) katika Shirika la Mapato la Canada (CRA) atazindua uchunguzi baada ya Waislamu na mashirika mengine madogo kuwasilisha malalamiko juu ya kulengwa vibaya kwa ukaguzi.
Habari ID: 3474175    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/09

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
Habari ID: 3474142    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30

TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Algeria iliamuru kufungwa kwa misikiti katika maeneo mengi ya nchi kutokana na ongezeko la maambukizi ya COVID-19, haswa aina mpya ya Delta.
Habari ID: 3474133    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)-Sherehe zimanza kufanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran na mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa nchi kwaa mnasaba wa kukaribia Siku Kuu ya Idul Ghadir.
Habari ID: 3474128    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali uamuzi wa Umoja wa Afrika kuupa utawala haramu wa Israel hadi ya ‘mwangalizi’ katika taasisi hiyo ya nchi za Afrika.’
Habari ID: 3474122    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24

TEHRAN (IQNA)- Ibada tukufu ya Hija ilianza rasmi jana chini ya usimamizi na sheria kali za kukabiliana na maambukizo ya virusi vya Corona huku idadi ya Mahujaji ikiwa chache mno kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Saudia.
Habari ID: 3474111    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3474110    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema, uhusiano na ushirikiano imara baina ya Chuo cha Kidini cha Qum na cha Al Azhar cha Misri unaweza kuwa na matokeo chanya na yenye faida kwa Waislamu duniani katika kupambana na ukufurishaji na misimamo ya kufurutu mpaka.
Habari ID: 3474107    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Qur’ani ya Tawjih na Irshad ya Lebanon imetangaza washiriki 10 bora wa Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur’ani ya Oula-al-Qiblatain.
Habari ID: 3474106    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema mauaji ya Waislamu wa katika mji wa Srebrenica ni ukurasa mchafu katika historia ya mwanadamu wa leo.
Habari ID: 3474094    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika leo Jumapili kuwakumbukwa wenzao waliouawa uaawa vitani miaka 26 iliyopita
Habari ID: 3474091    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/11