TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) imepongeza hatua ya rais mpya wa nchi hiyo, Joe Biden, kuondoa marufuku ya kusafiri na kuhajiri kuelekea Marekani raia wa nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3473580 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/22
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina nchini Iran Nasser Abu Shariff ametembelea ofisi za Shirika la Habari za Qur'ani la Kimataifa (IQNA) hapa mjini Tehran.
Habari ID: 3473579 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/21
TEHRAN (IQNA) – China imesema itatoa chanjo ya bure ya COVID-19 kwa wakimbizi Warohingya ambao walioko Bangladesh.
Habari ID: 3473574 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/20
TEHRAN (IQNA)- Uswisi imeitisha kura ya maoni kuhusu marufuku ya vazi la nikabu (niqabu) au burqa linalotumiwa na wanawake Waislamu kufunika uso kikamilifu.
Habari ID: 3473571 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/19
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gérald Darmanin ametangaza uamuzi wa kufunga misikiti tisa nchini humo katika kile kinachoonekana kuwa ni kukithiri ukandamizaji wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473563 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/16
TEHRAN (IQNA)- David Beasley Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani (WFP) amesema kuwa uamuzi Marekani dhidi ya harakati ya Ansarullah ya Yemen ni sawa na kutolewa hukumu ya kifo kwa Wayemen wasio na hatia.
Habari ID: 3473558 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/15
TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Uingereza wanatoa msaada kwa mamia ya watu ambao wamekumbwa na matatizo ya kumudu mahitaji ya kimaisha katika kipindi hiki cha janga la COVID-19 au corona nchini humo.
Habari ID: 3473557 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali shambulio liliofanya na wapiganaji wasiojulikana waliokuwa na silaha karibu na mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) na kuua na kujeruhi akari wa vikosi vya ulinzi na usalama vya nchi hiyo wakiwemo pia walinda amani wa Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3473556 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/14
TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau Jumanne amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri na kumteua Mwislamu wa tatu katika baraza hilo.
Habari ID: 3473554 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13
TEHRAN (IQNA) - Mwakilishi wa harakati ya Jihadul Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina nchini amepongeza nafasi ya Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani katika kuwaunganisha Wapalestina.
Habari ID: 3473552 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/13
TEHRAN (IQNA) – Aplikesheni mashuhuri ya simu za mkononi ambayo Waislamu huitumia kubaini wakati wa swala imekuwa ikikusanya kwa siri taarifa za watumizi na kuzikabidhi Marekani.
Habari ID: 3473549 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/12
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetahadharisha kuhusu mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kubomoa sehemu za Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473547 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/11
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusema hatua ya Marekani kuiwekea vikwazo Harakati ya Wapiganaji wa Kujitolea Iraq maarufu kama Al Hashd Al Shaabi (PMU( ni sawa na kuipa harakati hiyo medali ya fahari.
Habari ID: 3473541 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/09
TEHRAN (IQNA) - Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayolenga kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473536 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08
TEHRAN (IQNA) –Bangladesh imewahamisha Waislamu 1,804 wakimbizi wa jamii ya Rohiingya kutoka katika kambi ya wakimbizi ya Cox's Bazar na kuwapeleka katika kisiwa cha mbali ambacho hadi sasa hakikuwa na wanadamu katika Ghuba ya Bengali .
Habari ID: 3473530 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika mji mmoja nchini Marekani wanaendeleza kampeni ya kuelimisha umma kuhusu vazi la Kiislamu la Hijabu na faida zake.
Habari ID: 3473529 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/06
TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) imetoa fatua ya kuususia kikamilifu utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kwamba, haijuzu kuuuzia wala kununua chochote kinachozalishwa na utawala huo mpaka utakapokomesha ukaliaji wake ardhi kwa mabavu.
Habari ID: 3473524 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/04
TEHRAN (IQNA)- Msikiti mmoja umehujumiwa katika mji wa Baden-Wurttemberg kusini magharibi mwa Ujerumani mara mbili katika kipindi cha wiki mbili.
Habari ID: 3473518 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/02
TEHRAN (IQNA) – Semina ya Nabii Isa Masih, yaani Yesu, -Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-imefanyika nchini Kenya katika fremu ya 'Mazungumzo Baina ya Dini'.
Habari ID: 3473510 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/31
TEHRAN (IQNA) – Januari 27 2017 ni siku ambayo Waislamu Wamarekani hawataishau. Katika siku hiyo, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikrii ya kuwapiga marufuku Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473503 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/29