TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema mauaji ya Waislamu wa katika mji wa Srebrenica ni ukurasa mchafu katika historia ya mwanadamu wa leo.
Habari ID: 3474094 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12
TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika leo Jumapili kuwakumbukwa wenzao waliouawa uaawa vitani miaka 26 iliyopita
Habari ID: 3474091 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/11
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imeandaa darsa maalumu ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474081 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/08
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wanaendelea kuongezeka maeneo mbali mbali ya Australia huku kukiwa na uhaba wa misikiti katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474079 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07
TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanafanyika katika Chuo Kikuu cha Michigano nchini Marekani kwa lengo la kuonyesha maisha ya Waislamu katika maeneo ya Detroit na kusini-mashariki mwa Michigan.
Habari ID: 3474073 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05
TEHRAN (IQNA)- Karibu asilimia 83 ya Waislamu nchini Scotland wameshuhudia vitendo vya moja kwa moja vya chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3474055 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya wapiganaji wa kujitolea wa wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi (PMU) imefanya gwaride kubwa lililopewa jina la 'Idi ya Hashd' siku ya Jumamosi 26 Juni kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa kuanzishwa kwake.
Habari ID: 3474050 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28
TEHRAN (IQNA) - Mameya wa miji miwili ya Canada ambayo imeshuhudiwa hujuma dhidi ya Waislamu wamemtumia barua waziri mkuu Justin Trudeau wakitaka kuitishwe kikao cha kujadili chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474044 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26
TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru bila ya masharti yoyote mwanazuoni huyo mtajika.
Habari ID: 3474033 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23
TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa Kenya wamebainisha malalamiko yao baada ya kubainika kuwa hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudi Arabia kutangaza kupiga marufuku Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo.
Habari ID: 3474030 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22
TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya wanafunzi 80 Waislamu nchini Nigeria wametekwa nyara katika shambulizi la watu waliokuwa na silaha huko Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo inayokumbwa na ukosefu wa usalama.
Habari ID: 3474018 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya wanafunzi yamefanyika hivi karibuni nchini Uganda.
Habari ID: 3474015 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Ujerumani imezindua chuo cha kiserikali cha kufundisha Uislamu ambacho kitakuwa na jukumu la kuwapa mafunzo maimamu ili kupunguza idadi ya maiamu wanaokuja nchini humo utoka nchi za kigeni.
Habari ID: 3474014 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17
TEHRAN (IQNA)- Raia wa Canada aliiyeua Waislamu wanne wa familia moja kwa sababu tu ya dini yao amesomewa tuhuma za muaji ya daraja la kwanza na kufanya ugaidi.
Habari ID: 3474008 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/15
TEHRAN (IQNA)- Jumamosi tarehe Mosi Dhilqaada 1442 Hijria sawa na Juni 12 mwaka 2021 ilisadifiana na siku ya kukumbuka kuzaliwa Bibi Masoumah SA.
Habari ID: 3474004 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/14
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, ibada ya Hija mwaka huu itafanyika kwa kushirikisha raia na wageni wanaoishi nchini humo wasiozidi elfu 60.
Habari ID: 3474001 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13
TEHRAN (IQNA)- Majaji wa Mahakama ya Jinai za Kivita ya Umoja wa Mataifa wamedumisha hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya Jenerali Ratko Mladic, aliyekuwa kamanda wa kijeshi wa Serbia, ambaye mwaka 2017 alipatikana na hatia ya kuagiza na kuongoza mauaji ya maelfu ya Waislamu huko Srebrenica mwaka 1995.
Habari ID: 3473996 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10
TEHRAN (IQNA)- Mamia ya waombolezaji walikusanyika Jumanne usiku katika mtaa wa London, mjini Ontario Canada kuwaomboleza Waislamu wanne waliuawa katika tukio la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473995 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10
TEHRAN (IQNA) - Mamia ya Wabahrain wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya ya utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3473994 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10
TEHRAN (IQNA)- Maombolezo yanafanyika baada ya dereva mmoja mwenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Canada kuua watu wanne wa familia moja na kujeruhi mwingine vibaya, baada ya kuwagonga kwa makusudi na lori lake katika mkoa wa Ontario.
Habari ID: 3473988 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/08