waislamu - Ukurasa 32

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Mahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
Habari ID: 3474142    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/30

TEHRAN (IQNA)- Mamlaka ya Algeria iliamuru kufungwa kwa misikiti katika maeneo mengi ya nchi kutokana na ongezeko la maambukizi ya COVID-19, haswa aina mpya ya Delta.
Habari ID: 3474133    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/27

TEHRAN (IQNA)-Sherehe zimanza kufanyika katika mji mkuu wa Iran, Tehran na mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa nchi kwaa mnasaba wa kukaribia Siku Kuu ya Idul Ghadir.
Habari ID: 3474128    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/26

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali uamuzi wa Umoja wa Afrika kuupa utawala haramu wa Israel hadi ya ‘mwangalizi’ katika taasisi hiyo ya nchi za Afrika.’
Habari ID: 3474122    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/24

TEHRAN (IQNA)- Ibada tukufu ya Hija ilianza rasmi jana chini ya usimamizi na sheria kali za kukabiliana na maambukizo ya virusi vya Corona huku idadi ya Mahujaji ikiwa chache mno kutokana na vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Saudia.
Habari ID: 3474111    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3474110    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema, uhusiano na ushirikiano imara baina ya Chuo cha Kidini cha Qum na cha Al Azhar cha Misri unaweza kuwa na matokeo chanya na yenye faida kwa Waislamu duniani katika kupambana na ukufurishaji na misimamo ya kufurutu mpaka.
Habari ID: 3474107    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/17

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Qur’ani ya Tawjih na Irshad ya Lebanon imetangaza washiriki 10 bora wa Mashindano ya Kwanza ya Kimataifa ya Qur’ani ya Oula-al-Qiblatain.
Habari ID: 3474106    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/16

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema mauaji ya Waislamu wa katika mji wa Srebrenica ni ukurasa mchafu katika historia ya mwanadamu wa leo.
Habari ID: 3474094    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/12

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Waislamu wa Bosnia Herzegovina wamekusanyika leo Jumapili kuwakumbukwa wenzao waliouawa uaawa vitani miaka 26 iliyopita
Habari ID: 3474091    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/11

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imeandaa darsa maalumu ya kuhifadhi Qur'ani kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3474081    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/08

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wanaendelea kuongezeka maeneo mbali mbali ya Australia huku kukiwa na uhaba wa misikiti katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.
Habari ID: 3474079    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/07

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho yanafanyika katika Chuo Kikuu cha Michigano nchini Marekani kwa lengo la kuonyesha maisha ya Waislamu katika maeneo ya Detroit na kusini-mashariki mwa Michigan.
Habari ID: 3474073    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/05

TEHRAN (IQNA)- Karibu asilimia 83 ya Waislamu nchini Scotland wameshuhudia vitendo vya moja kwa moja vya chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3474055    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya wapiganaji wa kujitolea wa wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi (PMU) imefanya gwaride kubwa lililopewa jina la 'Idi ya Hashd' siku ya Jumamosi 26 Juni kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa kuanzishwa kwake.
Habari ID: 3474050    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/28

TEHRAN (IQNA) - Mameya wa miji miwili ya Canada ambayo imeshuhudiwa hujuma dhidi ya Waislamu wamemtumia barua waziri mkuu Justin Trudeau wakitaka kuitishwe kikao cha kujadili chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474044    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26

TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru bila ya masharti yoyote mwanazuoni huyo mtajika.
Habari ID: 3474033    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa Kenya wamebainisha malalamiko yao baada ya kubainika kuwa hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudi Arabia kutangaza kupiga marufuku Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo.
Habari ID: 3474030    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22

TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya wanafunzi 80 Waislamu nchini Nigeria wametekwa nyara katika shambulizi la watu waliokuwa na silaha huko Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo inayokumbwa na ukosefu wa usalama.
Habari ID: 3474018    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya wanafunzi yamefanyika hivi karibuni nchini Uganda.
Habari ID: 3474015    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17