iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ujerumani imeidhinisha adhana kupitia vipaza sauti misikitini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3473836    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ufalme wa Saudi Arabia Jumatatu imechapisha picha za walinzi wanawake wakiwa katika Msitiki Mtakatifu wa Makka, al-Masjid al-Ḥaram.
Habari ID: 3473835    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani si tu kuwa ni fursa ya Muislamu kujijenga na kujiboresha bali pia ni fursa ya kuiboresha jamii.
Habari ID: 3473832    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/20

TEHRAN (IQNA) – Maandamano yamefanyika katika mji mkuu wa Nigeria, ya kutaka kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
Habari ID: 3473822    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/17

TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Yemen wanajumuika pamoja misikitini katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani pamoja na kuwa nchi yao inakabiliwa na hujuma ya kinyama ya muungano vamizi wa Saudia-Marekani.
Habari ID: 3473820    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/16

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imelaani vikali hatua ya utawala haramu wa Israel ya kukata nyaya za vipaza sauti katika Msikiti wa al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) na kuzuia kuadhiniwa kwa kutumia vipaza sauti.
Habari ID: 3473816    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/15

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametuma ujumbe wa salamu za pongezi, kheri na baraka kwa Maspika wa Mabunge ya nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mfungo wa mwezi mtukuufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473812    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/14

TEHRAN (IQNA)- Msikiti wa Tokyo, Japan umeandaliwa kwa ajili ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku hatua zikichukuliwa kuzuia kuenea COVID-19.
Habari ID: 3473810    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/13

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Misri imewaweka wanachama wengine 103 wa harakati ya Ikhwanul Muslimin kwenye orodha ya magaidi kufuatia hukumu zilizotolewa na mahakama za nchi hiyo.
Habari ID: 3473806    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/12

Janga la virusi vya COVID-19
TEHRAN (IQNA)-Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unatazamiwa kuanza wiki ijayo na Wailsamu takribani milioni moja Uholanzi watajiunga na wenzao duniani katika kufunga Saumu.
Habari ID: 3473799    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

TEHRAN (IQNA)- Msikiti katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, ambao ulikuwa umefungwa kama sehemu ya ukandamizaji wa Waislamu baada ya kuuawa mwalimu aliionyesha katuni zilizomvunjia heshima Mtume Muhammad SAW, umefunguliwa tena baada ya kufungwa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473798    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/10

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuhusu udharura wa kuungana Waislamu katika kutangaza mwezi mwandamo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473795    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09

TEHRAN (IQNA) Mufti Mkuu wa Uganda anayefungamana na mrengo wa 'Kibuli Hill' mjini Kampala, Sheikh Silman Kasule Ndirangwa alitangaza kujiuzuli wadhifa huo Alhamisi iliyopita.
Habari ID: 3473787    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/06

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Uingereza imetakiwa itambue rasmi uwepo wa tatizo la chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia ili ikabiliane na tatizo hilo.
Habari ID: 3473786    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/05

TEHRAN (IQNA) – Watu wa Bahrain wameandamana katika mji mkuu, Manama, Ijumaa jioni wakitaka wafungwa wa kisiasa waachiliwe huru.
Habari ID: 3473779    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/03

TEHRAN (IQNA)- Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko China jana Jumanne aliandika katika ukurasa wake wa Twitter kuwa ametembelea mkoa wenye Waislamu wengi nchini humo ambao wakaazi wake wengi Waislamu wa jamii wa Uighur.
Habari ID: 3473773    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/31

TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Msumbiji Omar Saranga amewaambia waandishi habari huko Maputo kwamba, jeshi linapambana vikali na waasi katika maeneo mbalimbali ya mji wa Palma ulioko karibu na mpaka wa nchi hiyo na nchi jirani ya Tanzania.
Habari ID: 3473769    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/29

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni wa Kiislamu imelaani wito wa serikali ya Ufaransa iliyowataka maimamu wa misikiti nchini humo kubariki na kuhalalisha ndoa baina ya mashoga na watu wenye jinsia moja, ikisisitiza kuwa wito huo unaonyesha msimamo wa kindumakuwili dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473765    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/28

TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Ufaransa wamelalamikia hatua ya wakuu wan chi hiyo kupiga marufuku uchinjaji wa kuku kwa misingi ya Kiislamu huku mwezi Mtukufu wa Ramadhani ukikaribia.
Habari ID: 3473749    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/20

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amelaani chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu (Islamophobia) na kusema ubaguzi wa rangi kwa bahati mbaya sana upon a unaendelea katika nchi zote na katika jamii zote duniani na mizizi yake imekita kutokana na karne na karne za ukoloni na utumwa.
Habari ID: 3473747    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/19