iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa kanisa Katoliki nchini Austria amelaani vikali hatua ya serikali ya nchi hiyo kuzindua kile ambacho kimetajwa kuwa ni ‘Ramani ya Uislamu” kwa lengo la kuwabana Waislamu.
Habari ID: 3473984    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/06

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel Jumatano waliuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa katiak mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473974    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03

TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Hilali Nyekundi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yamkini Iran ikatuma mahujaji wasiozidi 2,000 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3473970    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Uganda wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473966    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Austria wamesema wana mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.
Habari ID: 3473963    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa haki za binadmau na utamaduni nchini Afghanistan wameutaka Umoja wa Mataifa utambue rasmi mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3473927    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IUMS) imetoa Fatwa inayobainisha kuwa, kuunga mkono Palestina ni jukumu la Kiislamu.
Habari ID: 3473922    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/18

Wataalamu wa kimataifa katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA)- Wataalamu wa masuala ya Afghanistan wanasema Marekani na waitifaki wake hawataki kuondoka Afghanistan na wanataka kuibua hofu na wahka ili watu wa nchi hiyo wadhani kuwa bila kuwepo wanajeshi hao ajniabi mauaji yatazidi.
Habari ID: 3473897    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/11

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya nchi za Kiarabu (Arab League) imeamua kuitisha kikao cha dharura kwa lengo la kuchukua maamuzi kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia ombi la Mamlaka ya Ndani ya Palestina.
Habari ID: 3473893    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/09

TEHRAN (IQNA)- Radio ya Qur'ani mjini Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imeandaa mashindano ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473876    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/04

TEHRAN (IQNA)- Uchunguzi mpya unaonyesha kuwa, miaka ya hivi karibuni imeshuhudia ongezeko kubwa la idadi ya Waislamu nchini Ujerumani
Habari ID: 3473865    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/01

TEHRAN (IQNA) Kituo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda kimeandaa maonyesho ya Qur’ani katika mji wa Kampala kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473864    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA)- Msahafu wenye kuvunja rekodi kwa ukubwa wake umewekwa katika maonyesho katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta.
Habari ID: 3473863    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN–(IQNA) -  Ligi Kuu ya Soko Uingereza(England)-EPL-, imewaruhusu wachezaji Waislamu kufungua suamu ya Mwezi Mtukufu waRamadhani kati kati ya mechi.
Habari ID: 3473862    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/30

TEHRAN (IQNA)- Huku India ikiendelea kusakamwa na ongozeko kubwa sana la maambukizi ya COVID-19, hospitali na vituo vya afya nchini humo ambazo hazina nafasi tena sasa zinapokea msaada wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473858    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/28

TEHRAN (IQNA)- Nchini Marekani kumeshuhudiwa ongezeko la asilimia 9 ya idadi ya malalamiko ya unyanyasaji dhidi ya Waislamu ambayo yalipokewa mwaka uliopita wa 2020 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.
Habari ID: 3473855    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/27

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu ametoa wito wa kudumishwa umoja wa umma wa Waislamu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kukabiliana na njama za maadui.
Habari ID: 3473847    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/25

TEHRAN (IQNA)- Paul Pogba, mchezaji mahiri wa timu ya Manchester United katika Ligi Kuu ya Premier nchini Uingereza anasema atakuwa amefunga saumu ya Ramadhani wakati wa mechi baina ya timu yake na Leeds United Jumapili 25 Aprili mchana.
Habari ID: 3473846    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/24

Muongozo wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA) – Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kustawisha mtindo wa Kiislamu maishani.
Habari ID: 3473839    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/22

TEHRAN (IQNA)- Rais Muhamadu Buhari huhudhuria darsa za tafsiri ya Qur'ani Tukufu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473837    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/21