iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Mameya wa miji miwili ya Canada ambayo imeshuhudiwa hujuma dhidi ya Waislamu wamemtumia barua waziri mkuu Justin Trudeau wakitaka kuitishwe kikao cha kujadili chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474044    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/26

TEHRAN (IQNA)- Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) wamefanya maandamano nchini humo wakitaka kuachiwa huru bila ya masharti yoyote mwanazuoni huyo mtajika.
Habari ID: 3474033    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/23

TEHRAN (IQNA) – Waislamu wa Kenya wamebainisha malalamiko yao baada ya kubainika kuwa hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija mwaka huu baada ya Saudi Arabia kutangaza kupiga marufuku Mahujaji kutoka nje ya ufalme huo.
Habari ID: 3474030    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/22

TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya wanafunzi 80 Waislamu nchini Nigeria wametekwa nyara katika shambulizi la watu waliokuwa na silaha huko Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo inayokumbwa na ukosefu wa usalama.
Habari ID: 3474018    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/18

TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kuhifadhi na Kusoma Qur'ani ya wanafunzi yamefanyika hivi karibuni nchini Uganda.
Habari ID: 3474015    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Ujerumani imezindua chuo cha kiserikali cha kufundisha Uislamu ambacho kitakuwa na jukumu la kuwapa mafunzo maimamu ili kupunguza idadi ya maiamu wanaokuja nchini humo utoka nchi za kigeni.
Habari ID: 3474014    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/17

TEHRAN (IQNA)- Raia wa Canada aliiyeua Waislamu wanne wa familia moja kwa sababu tu ya dini yao amesomewa tuhuma za muaji ya daraja la kwanza na kufanya ugaidi.
Habari ID: 3474008    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/15

TEHRAN (IQNA)- Jumamosi tarehe Mosi Dhilqaada 1442 Hijria sawa na Juni 12 mwaka 2021 ilisadifiana na siku ya kukumbuka kuzaliwa Bibi Masoumah SA.
Habari ID: 3474004    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/14

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, ibada ya Hija mwaka huu itafanyika kwa kushirikisha raia na wageni wanaoishi nchini humo wasiozidi elfu 60.
Habari ID: 3474001    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/13

TEHRAN (IQNA)- Majaji wa Mahakama ya Jinai za Kivita ya Umoja wa Mataifa wamedumisha hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya Jenerali Ratko Mladic, aliyekuwa kamanda wa kijeshi wa Serbia, ambaye mwaka 2017 alipatikana na hatia ya kuagiza na kuongoza mauaji ya maelfu ya Waislamu huko Srebrenica mwaka 1995.
Habari ID: 3473996    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10

TEHRAN (IQNA)- Mamia ya waombolezaji walikusanyika Jumanne usiku katika mtaa wa London, mjini Ontario Canada kuwaomboleza Waislamu wanne waliuawa katika tukio la chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473995    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10

TEHRAN (IQNA) - Mamia ya Wabahrain wamejitokeza kuandamana katika mji mkuu Manama, kumkumbuka mfungwa wa kisiasa ambaye amefariki kutokana na COVID-19 akiwa katika gereza la kuogofya ya utawala wa kiimla wa Aal Khalifa.
Habari ID: 3473994    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/10

TEHRAN (IQNA)- Maombolezo yanafanyika baada ya dereva mmoja mwenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Canada kuua watu wanne wa familia moja na kujeruhi mwingine vibaya, baada ya kuwagonga kwa makusudi na lori lake katika mkoa wa Ontario.
Habari ID: 3473988    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/08

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa kanisa Katoliki nchini Austria amelaani vikali hatua ya serikali ya nchi hiyo kuzindua kile ambacho kimetajwa kuwa ni ‘Ramani ya Uislamu” kwa lengo la kuwabana Waislamu.
Habari ID: 3473984    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/06

TEHRAN (IQNA)- Walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanalindwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel Jumatano waliuhujumu na kuuvunjia heshima Msikiti wa Al Aqsa katiak mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473974    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/03

TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Hilali Nyekundi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema yamkini Iran ikatuma mahujaji wasiozidi 2,000 kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3473970    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/01

TEHRAN (IQNA)- Washindi wa mashindano ya Qur’ani yaliyofanyika hivi karibuni nchini Uganda wametunukiwa zawadi.
Habari ID: 3473966    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/31

TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Austria wamesema wana mpango wa kufungua kesi dhidi ya serikali ya Kansela Sebastian Kurz kwa kuanika "ramani ya Uislamu" iliyozusha utata mkubwa.
Habari ID: 3473963    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/30

TEHRAN (IQNA)- Wanaharakati wa haki za binadmau na utamaduni nchini Afghanistan wameutaka Umoja wa Mataifa utambue rasmi mauaji ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan katika miaka ya hivi karibuni kuwa ni mauaji ya kimbari.
Habari ID: 3473927    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/19

TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IUMS) imetoa Fatwa inayobainisha kuwa, kuunga mkono Palestina ni jukumu la Kiislamu.
Habari ID: 3473922    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/18