waislamu - Ukurasa 2

IQNA

IQNA – Kituo cha Utamaduni cha Kiislamu katika mji mkuu wa Poland, Warsaw, kimeshuhudia ushiriki mpana wa watu wa dini na tamaduni mbalimbali katika hafla ya “Usiku wa Makumbusho 2026” (Night of Museums 2026).
Habari ID: 3482278   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/24

IQNA – Ingawa hujuma ya kigaidi dhidi ya Msikiti wa San Diefo ilitokea umbali wa zaidi ya maili 2,000, huzuni na taharuki yake zilihisiwa moja kwa moja kote Marekani hadi kusini-mashariki mwa jimbo la Michigan siku ya Jumatano.
Habari ID: 3482267   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/22

IQNA – Kongamano la Tano la Kimataifa kuhusu Utalii na Masuala ya Kiroholinatarajiwa kufanyika mjini Tehran siku ya Jumatano, tarehe 20 Mei.
Habari ID: 3482244   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/16

IQNA – Tishio la mtu mmoja la kufyatua risasi dhidi ya waumini katika msikiti mmoja mjini Brisbane, Australia, limeibua malalmiko duniani kutoa ambapo shirika mashuhuri la haki za kiraia la Waislamu nchini Marekani limetoa tamko rasmi.
Habari ID: 3482230   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/12

IQNA-Wazazi  Waislamu nchini Marekani sasa wanatilia mkazo zaidi suala la kuhifadhi Qur’an, jambo linalojulikana kama Hifdh.
Habari ID: 3482186   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/05/01

IQNA-Eneo la Chinga, katika mkoa wa Nambula huko kaskazini mwa Msumbiji, limeshuhudia ufunguzi wa Msikiti Mkuu wa Kati wa eneo hilo.
Habari ID: 3482181   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/30

IQNA – Kile kilichoanza kama mzaha wa kistaarabu wa “Siku ya Wajinga wa Aprili” hatimaye kimegeuka kuwa kashfa iliyoangusha uongozi wa rais wa klabu moja ya daraja la chini nchini Uhispania.
Habari ID: 3482141   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/15

IQNA – Licha ya kuonywa, baadhi ya wafuasi wa timu ya taifa ya Uhispania walisikika wakipaza kauli ya kudhalilisha Uislamu wakati wa sare ya Jumanne dhidi ya Misri—kitendo kilichomkasirisha mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal.
Habari ID: 3482111   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/04/01

IQNA – Kitendo cha mtu mmoja kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu katika msikiti mmoja huko Brooklyn, Marekani  kimezua lawama kali, huku polisi wa New York (NYPD) wakichunguza tukio hilo kama uhalifu wa chuki.
Habari ID: 3482105   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/30

IQNA – Baada ya kuonekana au kutokuonekana kwa hilali ya mwezi wa Shawwal katika mabara mbalimbali, Waislamu duniani wanaadhimisha Eid al‑Fitr katika siku tofauti.
Habari ID: 3482075   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/03/20

IQNA-Rais Donald Trump wa Marekani amesema Wawakilishi wanawake katika bunge la nchi hiyo, ambao ni Waislamu, Ilhan Omar na Rashida Tlaib wanapaswa kurudishwa "walikotoka" baada ya wabunge hao wawili wa chama cha upinzani cha Democratic kupiga kelele na kulalamika wakati wa hotuba ya karibuni ya Trump katika Kongresi.
Habari ID: 3482004   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA — Katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, dua za Waislamu wa Ufilipino mjini Manila zinabeba ombi maalumu.
Habari ID: 3481996   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26

IQNA – Maafisa kutoka misikiti 420 walihudhuria mkutano wa kila mwaka wa Kamati ya Masuala ya Kiislamu ya Jimbo la Songkhla nchini Thailand, kwa lengo la kujiandaa mapema kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481868   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30

IQNA – Wakati kumbukumbu ya miaka tisa tangu shambulio la risasi katika msikiti wa Jiji la Quebec, Kanada (Canada) lililoua waumini sita waliokuwa katika ibada jamii za Kiislamu pamoja na washirika wao wanakusanyika si kwa ajili ya kukumbuka pekee, bali pia kutoa wito wa dharura.
Habari ID: 3481867   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30

IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti.
Habari ID: 3481827   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21

IQNA – Katika hatua ya kutambua historia na mchango wa Waislamu wake, Jimbo la New York limetangaza mwezi wa Januari kuwa Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481778   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/07

IQNA – Sheikh Chems-Eddine Hafiz, mlezi wa Msikiti Mkuu wa Paris, amesema mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka migumu zaidi kwa Waislamu nchini Ufaransa, ukitawaliwa na matukio ya vurugu yaliyofikia kiwango cha “kuuawa kwa misingi ya dini.”
Habari ID: 3481766   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri kutoka Misri, alisoma Qur’an katika msikiti wa Milwaukee, jimbo la Wisconsin, Marekani, Jumamosi jioni.
Habari ID: 3481762   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04

IQNA – Wakati wengi walikusanyika na familia zao, milango ya msikiti mmoja mjini Bradford, kaskazini mwa Uingereza, ilifunguliwa kuwapokea wale ambao vinginevyo wangebaki peke yao.
Habari ID: 3481744   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/31

IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
Habari ID: 3481732   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/29