waislamu - Ukurasa 2

IQNA

IQNA-Rais Donald Trump wa Marekani amesema Wawakilishi wanawake katika bunge la nchi hiyo, ambao ni Waislamu, Ilhan Omar na Rashida Tlaib wanapaswa kurudishwa "walikotoka" baada ya wabunge hao wawili wa chama cha upinzani cha Democratic kupiga kelele na kulalamika wakati wa hotuba ya karibuni ya Trump katika Kongresi.
Habari ID: 3482004   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/27

IQNA — Katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, dua za Waislamu wa Ufilipino mjini Manila zinabeba ombi maalumu.
Habari ID: 3481996   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/02/26

IQNA – Maafisa kutoka misikiti 420 walihudhuria mkutano wa kila mwaka wa Kamati ya Masuala ya Kiislamu ya Jimbo la Songkhla nchini Thailand, kwa lengo la kujiandaa mapema kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3481868   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30

IQNA – Wakati kumbukumbu ya miaka tisa tangu shambulio la risasi katika msikiti wa Jiji la Quebec, Kanada (Canada) lililoua waumini sita waliokuwa katika ibada jamii za Kiislamu pamoja na washirika wao wanakusanyika si kwa ajili ya kukumbuka pekee, bali pia kutoa wito wa dharura.
Habari ID: 3481867   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/30

IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti.
Habari ID: 3481827   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/21

IQNA – Katika hatua ya kutambua historia na mchango wa Waislamu wake, Jimbo la New York limetangaza mwezi wa Januari kuwa Mwezi wa Urithi wa Waislamu wa Marekani.
Habari ID: 3481778   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/07

IQNA – Sheikh Chems-Eddine Hafiz, mlezi wa Msikiti Mkuu wa Paris, amesema mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka migumu zaidi kwa Waislamu nchini Ufaransa, ukitawaliwa na matukio ya vurugu yaliyofikia kiwango cha “kuuawa kwa misingi ya dini.”
Habari ID: 3481766   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri kutoka Misri, alisoma Qur’an katika msikiti wa Milwaukee, jimbo la Wisconsin, Marekani, Jumamosi jioni.
Habari ID: 3481762   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/01/04

IQNA – Wakati wengi walikusanyika na familia zao, milango ya msikiti mmoja mjini Bradford, kaskazini mwa Uingereza, ilifunguliwa kuwapokea wale ambao vinginevyo wangebaki peke yao.
Habari ID: 3481744   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/31

IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
Habari ID: 3481732   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/29

IQNA – Kuanzia unyanyasaji wa mtandaoni hadi mashambulizi ya umati na sera za kibaguzi, mwaka 2025 uliweka bayana hali ya kutisha kwa Waislamu walio wachache nchini India.
Habari ID: 3481726   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28

IQNA- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya kukabiliana mfumo wa kibeberu na mlinganiaji wa kuwepo mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni; suala ambalo kwa mujibu wake, ndilo sababu kuu ya mkanganyiko wa mataifa makubwa.
Habari ID: 3481725   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/28

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cajon kilichoko Sao Paulo, mji mkuu wa kiuchumi wa Brazil, kimeandaa kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto.
Habari ID: 3481721   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/27

IQNA-Baada ya mkasa wa Bondi uliouunganisha taifa katika huzuni, Waislamu wengi wa Australia wanakabiliwa na hali ya kutisha sambamba: kuongezeka kwa matusi na vitisho vinavyowalaumu kimakosa kwa shambulio hilo.
Habari ID: 3481708   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/24

IQNA – Msikiti wa Fakhrul-Muslimin, maarufu kama “Fakhari ya Waislamu”, ulioko nchini Urusi, unavutia idadi kubwa ya wageni kutokana na usanifu wake wa kipekee.
Habari ID: 3481703   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/23

IQNA – Ujumbe wa ngazi ya juu wanazuoni wa Kiislamu kutoka Georgia umezuru Haram ya Imam Ridha (AS) jini Mashhad, Iran, ambapo wamekutana na maafisa wa Astan Quds Razavi (AQR), taasisi inayosimamia haram hiyo tukufu.
Habari ID: 3481664   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/15

IQNA – Kitendo cha kudhalilisha na kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichotokea mjini Plano, jimbo la Texas, Marekani, kimezua hasira kubwa miongoni mwa wananchi na mashirika ya haki za binadamu.
Habari ID: 3481659   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA – Katika jiji la Dearborn, Michigan, kuna taasisi ya Kishia iliyodumu kwa miaka mingi, ikifanya kazi kimya kimya bila makuu, lakini ikiwa na athari kubwa katika jamii.
Habari ID: 3481658   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/14

IQNA – Kituo cha Kimataifa cha Uislamu kwa Uvumilivu na Amani nchini Brazil kimeanzisha mpango maalumu wa kielimu wiki hii katika uwanja wa tafsiri ya Qur’ani Tukufu na kusoma Hadith za Mtume (SAW).
Habari ID: 3481618   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/12/05

IQNA – Seneta mwenye msimamo mkali wa mrengo wa kulia nchini Australia, Pauline Hanson, ameibua hasira kali Jumatatu baada ya kuingia bungeni akiwa amevaa vazi la Waislamu la burka, kama sehemu ya juhudi zake za mara kwa mara za kutaka vazi hilo lipigwe marufuku kwa sababu eti wanaovaa hufunika uso wote hadharani.
Habari ID: 3481565   Tarehe ya kuchapishwa : 2025/11/25