iqna

IQNA

waislamu
Waislamu Ulaya
IQNA - Mahakama ya Ulaya ya Haki za Kibinadamu ilikataa rufaa dhidi ya sheria nchini Ubelgiji zinazopiga marufuku nyama ya Halal na Kosher.
Habari ID: 3478349    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/14

Waislamu Marekani
IQNA - Kituo cha Kiislamu cha Dawah cha Milwaukee nchini Marekani kimeandaa hafla ya Henna & Hijab siku ya Jumamosi, Februari 3, kuheshimu Hijabu inayovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
Habari ID: 3478337    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/11

Waislamu India
IQNA - Pakistan imetoa wito kwa Umoja wa Mataifa kuingilia kati na kulinda misikiti na maeneo ya turathi ya Kiislamu nchini India, kufuatia kuharibiwa kwa msikiti wa kihistoria wa Akhunji mjini New Delhi wiki iliyopita.
Habari ID: 3478329    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/10

Waislamu India
IQNA - Takriban watu watano wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa wakati wa maandamano yaliyotokana na ubomoaji wa msikiti na shule wa Kiislamu nchini India, ikiwa ni tukio la hivi punde zaidi katika msururu wa ubomoaji unaolenga majengo ya Waislamu.
Habari ID: 3478323    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/09

Waislamu India
IQNA - Msikiti wa Gyanvapi huko Varanasi, ni eneo la kihistoria iliyojengwa katika karne ya 17, umekuwa kitovu cha hivi punde katika mzozo wa muda mrefu wa kisheria kati ya Wahindu na Waislamu nchini India.
Habari ID: 3478291    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/02

Waislamu China
IQNA - Msikiti Mkuu wa Taipei, mji mkuu wa eneo la Taiwan, ni msikiti mkongwe zaidi katika kisiwa hicho na pia mkubwa zaidi.
Habari ID: 3478264    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28

Waislamu India
IQNA-Kama ilivyokuwa ikitarajiwa, baada ya kuzinduliwa hekalu la Ram, ambalo lilijengwa na Wahindu wenye itikadi kali katika sehemu ambayo zamani palikuwa na msikiti wa Babri katika jimbo la Uttar Pradesh, duru mpya ya mashinikizo ya kijamii dhidi ya Waislamu wa India imeanza.
Habari ID: 3478256    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/26

Waislamu Marekani
IQNA - Mashirika kadhaa ya Kiislamu ya Marekani yameanya kikao cha kwanza cha mafunzo ya aina yake kwa Idara ya Upelelezi Marekani-FBI- na Idara ya Sheria ya Marekani kuhusu chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) huko San Francisco siku ya Jumanne.
Habari ID: 3478246    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/24

Uislamu unaenea kwa kaasi
IQNA - Kulingana na serikali ya Saudi Arabia, zaidi ya watu 347,000 wamesilimu nchini humo katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.
Habari ID: 3478226    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/21

Waislamu Uingereza
IQNA - Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak alihimizwa kuomba msamaha lakini alikataa kufanya hivyo baada ya kutumia matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) dhidi ya Zarah Sultana, mbunge Muislamu wa chama cha Leba.
Habari ID: 3478206    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/17

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Shirikisho la Waislamu wa Florida Kusin nchini Marekani lilikuwa limepanga kufanya mkutano wake wa kila mwaka katika Hoteli ya Fort Lauderdale Marriott Coral Springs na Kituo cha Mikutano wikendi hii, lakini hoteli hiyo imekataa ukumbi wake utumike wiki moja kabla ya tukio.
Habari ID: 3478178    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mamia ya waombolezaji walistahimili baridi siku ya Jumamosi kuhudhuria mazishi ya Imam Hassan Sharif, ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi siku ya Jumatano alipokuwa akitoka kwenye swala ya asubuhi kwenye msikiti mmoja huko Newark.
Habari ID: 3478160    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

Waislamu Kanada
IQNA - Msikiti wa Kituo cha Kiislamu cha Toronto, Kanada (Canada) mahali pa ibada na jumuiya ya Waislamu wengi katikati mwa jiji hilo, uko katika hatari ya kupoteza mali yake ikiwa hauwezi kukusanya pesa za kutosha kununua.
Habari ID: 3478114    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti wa Philadelphia Magharibi nchini Marekani uliharibiwa kwa maandishi ya chuki mapema Ijumaa asubuhi, na kuzua kulaaniwa na mshikamano kutoka kwa jamii ya Waislamu wa eneo hilo na mashirika ya haki za kiraia.
Habari ID: 3478113    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Waislamu Marekani
IQNA – Mkutano wa 22 wa Mwaka wa MAS-ICNA, mojawapo ya makongamano makubwa zaidi ya Kiislamu katika Amerika Kaskazini, ulifunguliwa huko Chicago Alhamisi, Desemba 28.
Habari ID: 3478110    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/29

Waislamu Marekani
IQNA - Baadhi ya viongozi wa Kiislamu wa Marekani wanaripotiwa kusita kufanya kazi na Ikulu ya White House katika kuandaa mkakati wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kutokana na utawala wa Rais Joe Biden kuendelea kuunga mkono vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3478109    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/29

Uhusiano wa Waislamu na Wakristo
IQNA - Msikiti mmoja huko Abbottabad uliandaa sherehe ya Krismasi kwa watoto wa Kikristo, ambapo wanafunzi Waislamu wa madrassa walikabidhiwa mabegi ya shule na zawadi.
Habari ID: 3478101    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/27

Waislamu Ujerumani
IQNA - Barua ya vitisho imetumwa kwa msikiti katika mji wa Magharibi mwa Ujerumani wa Munster.
Habari ID: 3478036    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/14

Diplomasia ya Utamaduni
MADRID (IQNA – Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uhispania amesisitiza haja ya maendeleo ya mazungumzo baina ya dini mbali mbali katika nchi hizi mbili.
Habari ID: 3478011    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/09

Jinai za Israel
WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametangaza kuondoa uungaji mkono wao kwa Rais Joe Biden, kwa sababu ya kushindwa kwake kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano huko Gaza.
Habari ID: 3477981    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03