iqna

IQNA

IQNA – Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Marekani (CAIR) limemtaja mbunge katika Bunge la Marekani Randy Fine (R-FL) kuwa “mwenye msimamo mkali wa chuki dhidi ya Waislamu”, likimjumuisha katika orodha yake ya watu wenye chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia), kutokana na kile ilichokiita rekodi ya muda mrefu ya matamshi ya uchochezi dhidi ya Waislamu na Wapalestina.
Habari ID: 3480821    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/11

IQNA – Maelfu ya waumini walikusanyika katika Msikiti wa Kati huko Glasgow, Scotland, kwa sala maalum kuadhimisha Idul Adha.
Habari ID: 3480805    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/06/08

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
Habari ID: 3480716    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/21

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
Habari ID: 3480705    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/19

IQNA – Waislamu wanaosimamia mradi wa ujenzi wa mtaa wao mpya huko Texas, Marekani wamesema uchunguzi wa serikali na shirikisho una dosari.
Habari ID: 3480665    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/10

IQNA – Msikiti mpya umezinduliwa katika mji mkuu wa Ghana kwa ufadhili wa Taasisi ya Misaada ya Qatar .
Habari ID: 3480650    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/07

IQNA-Ripoti mpya ya Taasisiya India Hate Lab (IHL) imebaini ongezeko kubwa la matukio ya hotuba na kauli za chuki katika maeneo mbalimbali nchini India kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea Pahalgam, Jammu na Kashmir, mnamo Aprili 21.
Habari ID: 3480633    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/05/04

IQNA – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
Habari ID: 3480593    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25

IQNA – Mmarekani mwenye asili ya Kiarabu amefungua kesi ya ubaguzi dhidi ya Shirika la Big Jay’s Auto Sales huko Shelby Township, Michigan, Marekani akidai kwamba mfanyakazi wa shirika hilo  alitoa matamshi ya udhalilishaji kuhusu imani yake ya Uislamu wakati wa mazungumzo ya uuzaji wa gari. 
Habari ID: 3480592    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25

IQNA – Wanafunzi watatu Waislamu wa chuo kikuu huko Georgia nchini Marekani wametozwa faini ya kifedha baada ya kudhalilishwa walipokuwa wakiswali katika eneo la maegesho ya umma.
Habari ID: 3480548    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/16

IQNA-Msikiti wa UKIM Sparkbrook Islamic Centre huko Birmingham, Uingereza, umesifiwa kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Birmingham kukusanya tani 120 za taka.
Habari ID: 3480530    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/12

IQNA – Waislamu nchini Singapore (Singapuri) wamejitolea kuchangia nyama kwa watu wa Gaza wakati wa sikukuu ya Idul Adha, kutokana na janga la kibinadamu katika Ukanda huo uliozingirwa na utawala dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3480526    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

IQNA- Sheria mpya imetangaza Idul Adha na Idul Fitr kuwa sikukuu rasmi katika jimbo la Washington nchini Marekani.
Habari ID: 3480522    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/11

Waislamu Australia
IQNA – Msikiti mmoja mkubwa nchini Australia umeomba rasmi ruhusa ya kuanza kutumia vipaza sauti kuadhini katika kitongoji cha Lakemba, jiji la Sydney.
Habari ID: 3480505    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/07

IQNA – Licha ya ulemavu wa machi, Muhammad Hafizuddin Muhammad Amirul Hakim Linges mwenye umri wa miaka 10 ana uwezo wa kipekee.
Habari ID: 3480482    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01

IQNA – Jumuiya ya Kiislamu ya Altrincham & Hale imetangaza mipango ya kuhamia kutoka eneo lake la sasa kwenye Grove Lane kwenda kwenye Kituo cha Kiislamu na msikiti kilichojengwa mahsusi kwenye Thorley Lane huko Timperley. 
Habari ID: 3480481    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01

IQNA-Mamia ya Waislamu wanahofiwa kuwa miongoni mwa watu zaidi ya 1,600 waliopoteza maisha katika tetemeko kubwa la ardhi lililotokea katikati ya Myanmar, wakati walipokuwa wakiswali misikitini katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480470    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/30

IQNA-Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limelaani kampeni inayoenea inayolenga wanawake wa Kiislamu wanaovaa hijabu, likiitaja kama yenye madhara na inayodhoofisha mshikamano wa kitaifa.
Habari ID: 3480455    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/28

IQNA: Nchini Tanzania, kusadifiana kwa Ramadhani na Kwaresima kwa wakati mmoja kumewaleta Waislamu na Wakristo pamoja, wakishiriki kufunga na kutafakari.
Habari ID: 3480364    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/13

IQNA – Kila nchi ya Kiislamu ina desturi na mila zake linapokuja suala la mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3480342    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/10