oman - Ukurasa 3

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Madrassah zote za Qur'ani zimefungwa kwa muda Morocco na Oman kutokana na hofu ya kuoena ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama corona.
Habari ID: 3472569    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/15

TEHRAN (IQNA) - Washindi wa Mashindani ya 29 ya Qur'ani ya Sultan Qaboos wametunukiwa zawadi katika sherehe iliyofanyika Masikiti wa Sultan Qaboos katika Wilaya ya Basusher nchini humo.
Habari ID: 3472310    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/28

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Sayansi za Fiqhi umefanyika hivi karibuni katika mji mkuu wa Oman, Muscat ambapo mada kuu ilikuwa ni kuhusu maji.
Habari ID: 3472270    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/11

TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Ulaya na Marekani hazina azma ya kurejesha amani huko Yemen bali pande hizo zinafuatilia kuuza silaha zao.
Habari ID: 3472254    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/03

TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Oman imetangza kuwa Mei 17 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471500    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07

TEHRAN (IQNA)- Oman imepanga kuanzisha mafunzo ya kusoma Qur’ani Tukufu kupitia intaneti kwa Waislamu wote.
Habari ID: 3471112    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/08

TEHRAN (IQNA)-Watu 158 wamesilimu nchini Oman katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
Habari ID: 3471055    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/07

IQNA: Mashindano ya 28 ya Qur'ani na Hadithi kwa ajili ya vijana wa nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi yameanza Februari 26 mjini Muscat, Oman.
Habari ID: 3470869    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/27

IQNA-Mashindano ya 28 ya Qur'ani Tukufu na Hadithi kwa ajili ya vijana katika Ghuba ya Uajemi yatafanyika Muscat, Oman baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3470829    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02

Mashindano ya Qur’ani ya msimu wa joto yameanza mjini Bidiya nchini Oman.
Habari ID: 3470530    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/18

Mashindano ya 7 ya kirafiki ya Qur'ani baina ya majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Ufalme wa Oman yatafanyika hivi karibuni mjini Tehran.
Habari ID: 3470308    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/12

Mufti wa Tunisia Sheikh Hamda Saeed amewaomba radhi Watunisia baada ya kubaini kuwa alifanya kosa kwa kutangaza mapema siku kuu ya Idul Ftir.
Habari ID: 3330378    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/20