iqna

IQNA

riyadh
Utamaduni
IQNA - Maktaba ya Umma ya Mfalme Abdulaziz mjini Riyadh imezindua maonyesho yenye nakala 42 za Qur'ani 42 ambazo kila moja imeandikwa kwa kaligrafia ya Kiislamu na mapambo ya aina yake.
Habari ID: 3478529    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/17

Diplomasia ya Kiislamu
RIYADH (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kuzungumza na Mkuu wa Baraza la Utawala wa Sudan na kuutaja utawala wa Kizayuni kuwa balaa kubwa kwa Umma wa Kiislamu na ulimwengu mzima.
Habari ID: 3477884    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/12

Diplomasia ya Kiislamu
RIYADH (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika kikao cha pamoja cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kwamba: kadhia ya Gaza ni makabiliano baina ya mhimili wa sharafu au heshima na mhimili wa uovu, na kila mtu anapaswa abainishe yuko upande gani.
Habari ID: 3477878    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/11

TEHRAN (IQNA)- Maonyesho kuhusu uchapishaji Qur'ani Tukufu yamezinduliwa Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3474815    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/16