IQNA – Akitoa wito wa kuendeleza kanuni za Qur'an na Sunnah, mwanazuoni mmoja wa Kiislamu amesema kuwa Qur'an na Sunnah zinahimiza uvumilivu, amani na undugu.
Habari ID: 3480600 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/27
IQNA – Mwanafasihi wa masomo ya Qur'ani amesisitiza kwamba lengo kuu la Qur'ani ni kubadilisha matendo na tabia ya waumini, si tu kusomwa tu.
Habari ID: 3480590 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/25
IQNA – Katika Khutbah Sha'baniyah yake, Mtume Muhammad (SAW) alisisitiza kuwa kitendo bora zaidi katika mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kujiepusha na yale ambayo Mwenyezi Mungu ameyakataza.
Habari ID: 3480487 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/02
IQNA – Ili kukuza tabia njema, mpango wa mwaka mzima ni muhimu, na wakati bora wa kuanza ni mwishoni mwa mwezi mtukufu Ramadhani.
Habari ID: 3480483 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/01
IQNA – Moja ya makosa yetu makubwa ni kushindwa kufahamu manufaa ya kiroho tunayopata wakati wa Ramadhani.
Habari ID: 3480475 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/31
Tawakkul katika Qur'ani/1
IQNA – Baadhi ya wataalamu wa lugha wanaamini kuwa neno la Kiarabu 'Tawakkul' linatokana na dhana ya kuonyesha kutoweza na udhaifu katika juhudi za binadamu.
Habari ID: 3480374 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/15
IQNA – Mojawapo ya manufaa ya kufunga ni kusaidia kuimarisha nguvu ya utashi na udhibiti wa nafsi.
Kufunga hutoa fursa ya kufanya mazoezi ya subira na ustahimilivu dhidi ya majaribu na matamanio.
Habari ID: 3480358 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/12
Athari za Kufunga kwa Afya ya Akili/3
IQNA – Wakati mtu anajizuia kula na kunywa wakati wa mchana, anakuwa anafanya mazoezi ya kujidhibiti.
Habari ID: 3480329 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/08
Mawaidha
IQNA - Kuna hoja nyingi za kimantiki zinazotolewa kama ushahidi wa ulazima wa kuwepo siku ya ufufuo au Kiyama.
Habari ID: 3479708 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/06
Pepo Katika Qur'ani / 4
IQNA – Imebainishwa katika aya za Qur’ani Tukufu kwamba dunia hii ni mahali ambapo mwonekano wa mambo unadhihiri na akhera ni mahali pa kuteremshwa Malakut yao.
Habari ID: 3478309 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05
Mawaidha
IQNA – Shetani ni nomino ya kawaida ambayo hutumiwa kurejelea kila kiumbe mwenye kuhadaa na mpotovu, awe binadamu au asiye binadamu.
Habari ID: 3478136 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/03
Mawaidha
IQNA – Qur’ani Tukufu katika aya nyingi inazungumza kuhusu majaribu au mitihani ya Mwenyezi Mungu na jinsi Mwenyezi Mungu huwajaribu wanadamu.
Habari ID: 3478127 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/01
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa bahati mbaya, mchakato wa kufafanua dini kuiingiza katika jamii umechukua mwelekeo ambao wakati mwingi hisia za uzuri na wema wa mwanadamu umepuuzwa.
Habari ID: 3477287 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/15
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Kwa kutumia aya za Qur’ani Tukufu, mwanachuoni wa Kiislamu anaeleza jinsi Nabii Ibrahim alivyomtambulisha Mwenyezi Mungu kwa watu wake.
Habari ID: 3476978 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/09
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Uzembe na kusahau au kughafikila ni miongoni mwa sifa za binadamu. Mbinu ya kukabiliana nao ni kuarifiwa kila mara kuhusu masuala muhimu.
Habari ID: 3476916 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/26
Mawaidha
Tehran (IQNA) - Kudumisha hali ya kiroho ambayo Mwislamu ameipata wakati wa mwezi uliobarikiwa wa Ramadhani kunahitaji kutumia miongozo iliyojengeka roho ya mtu binafsi na mawaidha ya wanazuoni wa kidini.
Habari ID: 3476909 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/24
Mawaidha
TEHRAN (IQNA) – Katika saa hizi tunazoelekea mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, tunapaswa kumuomba Mwenyezi Mungu atujaalie rehema zake zisizo na kikomo.
Habari ID: 3476891 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/20
Mwezi wa Ramadhani
TEHRAN (IQNA)- Qur'ani Tukufu imeteremshwa kuwa ukumbusho na mwongozo kwa watu, kwa mujibu wa aya ya 138 ya Surah Al-Imran.
Habari ID: 3476784 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/30