iqna

IQNA

marekani
Chuki dhidi ya Uislamu Marekani
IQNA - Mwanamke Mwislamu ambaye alikamatwa na Idara ya Polisi ya Kaunti ya Suffolk (SCPD) huko New York mnamo 2022 anaishtaki idara hiyo kwa kukiuka haki zake na kumsababishia madhara ya kisaikolojia baada ya maafisa kuvua hijabu yake kwa nguvu.
Habari ID: 3478218    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/19

Mgogor
IQNA-Msemaji wa majeshi ya Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Sarii amesema kuwa, mashambulizi ya kiuadui ya Marekani na Uingereza hayatobadilisha msimamo wa Yemen wa kuliunga mkono taifa la Palestina ikiwemo Gaza na kwamba uadui huo uliofanyika mapema leo Ijumaa dhidi ya Yemen hautoachwa vivi hivi bila ya majibu na kuadhibiwa madola hayo ya kibeberu.
Habari ID: 3478186    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/12

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Shirikisho la Waislamu wa Florida Kusin nchini Marekani lilikuwa limepanga kufanya mkutano wake wa kila mwaka katika Hoteli ya Fort Lauderdale Marriott Coral Springs na Kituo cha Mikutano wikendi hii, lakini hoteli hiyo imekataa ukumbi wake utumike wiki moja kabla ya tukio.
Habari ID: 3478178    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA – Vita vya utawala haramu wa Israeli dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza vimezidisha hisia dhidi ya Uislamu duniani (Islamophobia) kote, anasema mwanachama wa kundi kubwa zaidi la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani.
Habari ID: 3478172    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/09

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Mamia ya waombolezaji walistahimili baridi siku ya Jumamosi kuhudhuria mazishi ya Imam Hassan Sharif, ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi siku ya Jumatano alipokuwa akitoka kwenye swala ya asubuhi kwenye msikiti mmoja huko Newark.
Habari ID: 3478160    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/07

Watetezi wa Palestina
IQNA – Makumi ya makundi na mashirika ya kijamii nchini Marekani yametangaza azma ya kushiriki katika maandamano makubwa yaliyopangwa kufanyika Washington, DC, kuunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa na utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478158    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/06

Jinai dhidi ya Waislamu
IQNA – Imamu wa msikiti mmoja New Ark, jimbo la New Jersey nchini Marekani, amepigwa risasi na kuuawa nje ya msikiti anakosalisha.
Habari ID: 3478144    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Msikiti wa Philadelphia Magharibi nchini Marekani uliharibiwa kwa maandishi ya chuki mapema Ijumaa asubuhi, na kuzua kulaaniwa na mshikamano kutoka kwa jamii ya Waislamu wa eneo hilo na mashirika ya haki za kiraia.
Habari ID: 3478113    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/30

Waislamu Marekani
IQNA – Mkutano wa 22 wa Mwaka wa MAS-ICNA, mojawapo ya makongamano makubwa zaidi ya Kiislamu katika Amerika Kaskazini, ulifunguliwa huko Chicago Alhamisi, Desemba 28.
Habari ID: 3478110    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/29

Waislamu Marekani
IQNA - Baadhi ya viongozi wa Kiislamu wa Marekani wanaripotiwa kusita kufanya kazi na Ikulu ya White House katika kuandaa mkakati wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kutokana na utawala wa Rais Joe Biden kuendelea kuunga mkono vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
Habari ID: 3478109    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/29

Uislamu unaenea kwa kasi
IQNA - Gervonta Davis, bondia bingwa wa dunia kutoka Baltimore, Marekani alisilimu siku ya Jumapili katika msikiti mmoja. Hayo yamedokezwa na Sheikh Hassan Abdi, ambaye aliongoza sherehe hiyo.
Habari ID: 3478108    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/29

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria chimbuko la matukio ya hivi karibuni huko Palestina na kusema kuwa, Marekani na utawala wa Kizayuni zinapaswa kushtakiwa kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza.
Habari ID: 3478082    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/24

Kadhia ya Palestina
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema utawala wa Israel hauwezi kufanya jinai nyingi kiasi hiki dhidi ya Wapalestina huko Ghaza bila ya uungaji mkono wa Marekani na Uingereza.
Habari ID: 3478081    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Chuki dhidi ya Uislamu
IQNA - Takriban malalamiko 220 ya matukio ya chuki dhidi ya Waislamu yamepokelewa na taasisi ya kuwatetea Waislamu katika jimbo la Maryland nchini Marekani tangu Oktoba 9.
Habari ID: 3478043    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/16

Diplomasia
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuchumi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cuba unapaswa kutumiwa kuunda muungano wa nchi ambazo zina misimamo sawa dhidi ya ubabe na utumiaji mabavu wa Marekani na Wamagharibi.
Habari ID: 3477987    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/04

Jinai za Israel
WASHINGTON, DC (IQNA) - Viongozi wa Kiislamu kutoka majimbo kadhaa ya yanayoamua matokeo ya uchaguzi Marekani, yaani Swing States, wametangaza kuondoa uungaji mkono wao kwa Rais Joe Biden, kwa sababu ya kushindwa kwake kutoa wito wa kusitishwa kwa mapigano huko Gaza.
Habari ID: 3477981    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia dhidi ya wananchi wa Ghaza huko Palestina wanaoendelea kuzingirwa kila upande.
Habari ID: 3477972    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02

Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema tukio la kihistoria la Kimbunga cha al-Aqsa cha harakati ya Hamas kimsingi lilikuwa dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, lakini limeweza kuvuruga sera za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia na litaifuta kabisa ajenda hiyo.
Habari ID: 3477965    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/29

Jinai Marekani
VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu cha Vermont.
Habari ID: 3477954    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/27

Waungaji mkono Palestina
WASHINGTON, DC (IQNA) - Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani wamefanya mgomo wa kujilaza chini ndani ya chuo kwa karibu mwezi mmoja kulaani ukatili wa Israel huko Gaza na kuwataka maafisa wa chuo kikuu kususia miradi na taasisi za kitaaluma za Israel.
Habari ID: 3477909    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/18