iqna

IQNA

IQNA – Mkuu wa Ofisi ya Mashujaa, Waliojeruhiwa, na Mateka wa wanamapambano wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameelezea kuachiliwa kwa mateka wa Palestina kuwa sherehe ya kitaifa na alama ya umoja.
Habari ID: 3480105    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/27

Harakati za Qur'ani
IQNA - Kituo cha Qur'ani kinachoitwa  Akademia ya Qur'ani ya Dar An-Nur kitazinduliwa Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi la Tanzania, hivi karibuni.
Habari ID: 3479827    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/30

Jeshi la Nigeria limeendelea na hujuma zake dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia baada ya kubomoa Huseiniyyah nyingine katika mji wa Zaria ulioko katika jimbo la Kaduna.
Habari ID: 3469062    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/25

Ashura ni tukio ambalo imepita miaka takribani 1375 tokea kujiri kwake lakini si tu kuwa tukio hili la kihistoria linawavutia Waislamu bali pia wapenda uhuru kote duniani wamevutiwa na yaliyojiri katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3392955    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/23

Ayatullah Sheikh Issa Qassim Kiongozi mkubwa wa kidini nchini Bahrain ametoa wito kwa wananchi wa nchi hiyo kuendelea kusimama kidete na kukabiliana na changamoto kubwa zinazowakabili ikiwemo dhulma inayofanywa na utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa.
Habari ID: 2612719    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/29