TEHRAN (IQNA) - Misikiti kote Misri inafunguliwa tena kuanzia Juni 27 lakini kwa kuzingatia masharti makali ya kiafya ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472901 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/26
TEHRAN (IQNA) –Serikali ya Nigeria imeruhusu misikiti na maeneo mengine ya ibada kufunguliwa nchini humo lakini kwa masharti maalumu huku zuio la COVID-19 likianza kupunguza.
Habari ID: 3472839 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05
TEHRAN (IQNA) –Misikiti katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta, imefunguliwa Ijumaa kwa mara ya kwanza baada ya takribani miezi mitatu, huku nchi hiyo ikianza zuio ambalo limekuwepo ili kupunguza kasi ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472838 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Palestina katika Ukanda wa Ghaza imesema misikiti ya eneo hilo itafunguliwa tu kwakati wa Swala wa Ijumaa na kwa kuzingatia kanuni za afya za kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472811 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/28
TEHRAN (IQNA)- Misikiti nchini Singapore itafunguliwa kuanzia Jumanne Juni pili kwa ajili ya swala zisizo za jamaa huku zuio la COVID-19 likianza kuondolewa nchini humo.
Habari ID: 3472809 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/28
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya misikiti imekaidi amri ya serikali ya nchi hiyo kuzuia kwa muda sala za jamaa katika misikiti ili kukabiliana na ugonjwa ambukizi wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472768 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/15
TEHRAN (IQNA) – Misikiti ya London Mashariki nchini Uingereza imeanza kuadhini kupitia vipaza sauti katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuwasaidia Waislamu wajihisi kufungamana na misikiti ambayo imefungwa kwa muda kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472752 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/10
TEHRAN (IQNA) – Waislamu Korea Kusini wameamua kufungua misikiti yao Jumatano baada ya nchi hiyo kutoripoti maambukizi mapya ya corona au COVID-19 kwa siku ya tatu mfululizo.
Habari ID: 3472736 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05
TEHRAN (IQNA)- Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia hadi sasa umeharibu kwa makusudi mamia ya misikiti na maeneo ya kihistoria katika vita vya Yemen.
Habari ID: 3472666 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/14
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ali Mohiuddin Al-Qaradaghi, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa Maulamaa wa Waislamu (IUMS) ametoa fatwa ya kuruhusu kutengwa maeneo maalumu misikiti ni kwa ajili ya kuwatibu watu ambao wanaugua ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472660 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/12
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Masuala ya Kidini Algeria imetangaza kuwa, Qiraa ya Qur’ani Tukufu itasikika kupitia vipaza sauti vya misikiti yote nchini humo nusu saa kabla ya Adhana ya adhuhuri kwa lengo la kuibua hali ya kimaanawi na kudumisha utulivu wa kiroho wakati huu wa janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472642 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/07
TEHRAN (IQNA)- Aidhana ilisikika kupitia vipaza sauti siku ya Ijumaa katika zaidi ya misikiti 100 ya Ujerumani na Uholanzi ikiwa ni hatua iliyotajwa ni ya mshikamano katika vita dhidi ya ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472633 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/04
TEHRAN (IQNA) – Idara ya Masuala ya Misikiti katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema sala za jamaa zimesitishw kwa muda katika misikiti kote nchini ikiwa ni katika jitihada za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472581 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/19
TEHRAN (IQNA) – Misikiti kadhaa muhimu katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi imefungwa kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 maarufu kama kirusi cha corona.
Habari ID: 3472580 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/19
TEHRAN (IQNA) – Baadhi ya misikiti katika mji wa Cape Town Afrika Kusini imetangaza kufunga milango yake kwa muda ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472579 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/18
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Misri inatekeleza mpango wa majaribio wa adhana ya pamoja katika misikiti 113 nchini Cairo ili kuzuia sauti mbali mbali katika vipaza sauti vya misikiti wakati wa adhana.
Habari ID: 3471858 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/02
TEHRAN (IQNA)- Misitiki yote nchini China imetakiwa kupeperusha bendera ya taifa hilo katika maeeneo ya juu na muhimu ya msikiti, Jumuiya ya Kiislamu China imetangaza.
Habari ID: 3471527 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/22
TEHRAN (IQNA)-Misikiti kadhaa nchini Uingereza imefungua milango kwa watu wasio na makao nchini humo bila kujali dini yao kufuatia baridi kali na theluji iliyovunja rekodi nchini humo na kupelekea watu zaidi ya 11 kupoteza maisha katika kipindi cha wiki moja.
Habari ID: 3471414 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/03
TEHRAN (IQNA)-Idara ya Waqfu wa Ahul Sunna katika mkoa wa Diyala nchini Iraq imesema misikiti 109 imefunguliwa tena baada ya kufunguwa kwa miaka mitatu kutokana na hujuma ya magaidi wa ISIS au Daesh katika eneo hilo.
Habari ID: 3471402 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/24
TEHRAN (IQNA)-Waliowengi nchini Uingereza wana ufahamu mdogo sana kuhusu Uislamu na kwa msingi huo, zaidi ya misikiti 200 nchini humo itafungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu mnamo Februari 18.
Habari ID: 3471391 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/14