iqna

IQNA

Jinai za Israel
AL-QUDS (IQNA) - Idadi ya misikiti iliyoharibiwa kabisa katika mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza imefikia 52.
Habari ID: 3477827    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/02

Shirika la Kitaifa la Kudhibiti Nishati nchini Tunisia lilitangaza kutekelezwa kwa mpango wa kupunguza matumizi ya nishati katika misikiti nchini humu.
Habari ID: 3477105    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/05

Waislamu Ethiopia
TEHRAN (IQNA)- Mvutano unaendelea nchini Ethiopia kuhusu mpango tata wa kubomoa misikiti nchini humo, huku watu watatu wakiuawa katika mapigano ya hivi punde siku ya Ijumaa.
Habari ID: 3477088    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/03

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) – Jiji la Minneapolis limekuwa jiji la kwanza kubwa la Marekani kuruhusu utangazaji bila vikwazo wa wito wa Waislamu wa Sala yaani Adhana kwa sauti inayosikika nje ya msikiti mara tano kwa siku mwaka mzima.
Habari ID: 3476872    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/15

Waislamu na Siasa Kenya
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Kenya amemuonya mwanasiasa maarufu Muislamu nchini humo kuhusu kuutumia Msikiti kama jukwaa la kisiasa.
Habari ID: 3476376    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/08

Misaada kwa jamii
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi wa Taasisi ya Zakat al-Andalus inayohusiana na Jumuiya ya Hisani ya Al-Najat amesema jumuiya hiyo ya Kuwait imejenga misikiti 30 katika nchi tofauti za Kiislamu na Kiarabu mwaka jana.
Habari ID: 3476355    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/04

TEHRAN (IQNA) – Maafisa wa uhamiaji wa Uingereza wameongeza upekuzi katika vituo vya kidini, hasa misikiti ni, katika jitihada za kukabiliana na uhamiaji haramu.
Habari ID: 3476045    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/06

Ustawi wa Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa masuala ya Kiislamu wa Morocco alisema nchi hiyo inahitaji kujenga misikiti 200 kila mwaka.
Habari ID: 3475961    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Ufaransa imefunga makumi ya misikiti katika kipindi cha miaka miwili hivi kwa kisingizio cha sheria yenye utata na iliyokosolewa sana.
Habari ID: 3475877    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Waislamu Marekani
TEHRAN (IQNA) –Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (CAIR) linawataka polisi nchini humo kuimarisha doria zaidi baada ya shambulio dhidi ya msikiti.
Habari ID: 3475756    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/09

Maambukizi ya Covid-19
TEHRAN (IQNA) - Uvaaji wa barakoa ndani ya misikiti itakuwa ya lazima nchini Qatar kuanzia Alhamisi.
Habari ID: 3475470    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/07

TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya misikiti 800 nchini Ujerumani ililengwa kwa vitisho au ilishambuliwa na wenye chuki dhidi ya Uislamu kuanzia 2014 hadi 2022.
Habari ID: 3475364    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/11

Waislamu Uingereza
TEHRAN (IQNA)- Paundi milioni 24.5 zimetengwa kwa ajili ya usalama katika maeneo ya ibada na shule nchini Uingereza.
Habari ID: 3475273    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/21

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu ya Misri imesema misikiti na maeneo yote ya ibada nchini humo yanaweza kuanza tena shughuli za kawaida kama ilivyokuwa kama ya janga la corona.
Habari ID: 3475218    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07

TEHRAN (IQNA)- Maimamu na wahubiri misikiti ni nchini Misri sasa watapata mafunzo maalumu kuhusu matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii, intaneti na mabadiliko ya kidijitali.
Habari ID: 3475215    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06

TEHRAN (IQNA)-Misikiti nchini Kuwait imeanza kutekeleza kanuni za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 baada ya maambukizi kuongezeka nchini humo.
Habari ID: 3474778    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/07

TEHRAN (IQNA)- Misikiti kote Saudi Arabia imetakiwa kuchukua hatua kali za kuhakikisha kuwa wote wanaoshiriki katika ibada wanatekeleza kanuni za kukabiliana na COVID-19.
Habari ID: 3474717    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/24

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu wametangaza kuwa, wanawake sasa wataruhusiwa tena kusali misikiti ni baada ya maeneo yao kufungwa kwa muda kutokana na janga la COVID-19.
Habari ID: 3474539    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/10

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Misri imetangaza Ijumaa kuwa masanduku ya misaada ni marufuku katika misikiti kote Misri.
Habari ID: 3474529    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/08

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imetangaza kuwa darsa za Qur’ani na kidini pamoja na harakati nyingine za kiutamaduni zitaruhusiwa tena ndani ya misikiti .
Habari ID: 3474519    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05