iqna

IQNA

Necip Fazıl Karadağ ni raia wa Uturuki ambaye ni mahiri katika kutegeneza tasbihi . Karakana yake ya kutegeneza tasbihi iko katika eneo la Istanbul la Başakşehir ambapo kuna kila aina ya tasbihi za kuvutia ambazo Waislamu huzitumia kumkumbuka Allah SWT.
Habari ID: 3470539    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/27