iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Hamas na Fat'h zimesisitiza kuhusu umoja wa kitaifa za Wapalestina ili kukabiliana na adui mvamizi na ghasibu pamoja, yaani Israel na njama zake ikiwemo ya 'Muamala wa Karne'
Habari ID: 3472925    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/03

TEHRAN (IQNA) – Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewafyatulia risasi na kuwajeruhi makumi ya Wapalestina waliokuwa wakiandamana kwa amani katika Ijumaa ya 72 ya maandamano ya 'Haki ya Kurejea' huko katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472107    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/31

TEHRAN (IQNA) -Jumuiya za kimataifa na taasisi kadhaa za kutetea haki za binadamu duniani zimelaani jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa nyumba za Wapalestina kusini mwa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3472054    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/23

Katibu Mkuu wa Hizbullah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema: "Wote wanawajibika kukabiliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" ambao lengo lake ni kusambaratisha kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3471972    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/26

TEHRAN (IQNA)-Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameua watoto 54 Wapalestina mwaka huu wa 2018.
Habari ID: 3471779    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/20

TEHRAN (IQNA)- Uhusiano rasmi baina ya Utawala wa Kizayuni wa Israel na Utawala wa Kifalme Saudi Arabia unatazamiwa kutangazwa rasmi katika kipindi cha miezi michache ijayo.
Habari ID: 3471765    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/12/09

TEHRAN (IQNA)- Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limefyatua kombora kuelekea katika uzio wa Ghaza na kuua shahidi Wapalestina wawili na kujeruhi wengine kadhaa.
Habari ID: 3471678    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/18

TEHRAN (IQNA)- Maelfu ya Wapalestina Jumanne wameswali Sala ya Idul Adha katika Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3471642    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/22

TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imeutahadahrisha vikali utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na hatua yake ya kushadidisha mzingiro katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471599    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/07/18

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: Tatizo la utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwa hauna uhalali, ni utawala ambao msingi wa uundwaji wake ni batili, kwa taufiki yake Mwenyezi Mungu na kwa hima ya mataifa ya Waislamu, utawala huo kwa yakini utaangamia."
Habari ID: 3471560    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/15

TEHRAN (IQNA)- Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) yamefanyika leo kote duniani kwa lengo la kuunga mkono ukombozi wa Palestina na kulaani utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3471547    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/08

TEHRAN (IQNA)-Wapalestina wasiopungua 54 walipoteza maisha mwaka 2017 baada ya utawala haramu wa Israel kuwanyima vibali vya kupata matibabu nje ya eneo lililochini ya mzingiro la Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3471392    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/02/15

TEHRAN (IQNA)-Nchi za Kiislamu zilizo na uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel zimetakiwa zikate uhusiano huo mara moja kama njia ya kuunga mkono ukombozi wa Palestina hasa mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3471375    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/29

TEHRAN (IQNA)-Jeshi la utawala wa Israel limetumia mabuldoza kubomoa nyumba za Wapalestina katika kijiji kimoja kilichoko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kusini mashariki mwa mji wa Al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo wa Israel.
Habari ID: 3471182    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/19

TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Mataifa umeulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuzuia maendeleo pamoja na kuzorotesha hali ya kibinadamu katika ardhi za Palestina zilizo katika eneo la Quds Mashariki, Ukingo wa Maghribi na Ukanda wa Ghaza katika kipindi cha zaidi ya miaka 50 ya kukalia kwa mabavu maeneo hayo.
Habari ID: 3471173    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/14

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
TEHRAN (IQNA)-Waziri wa Mambon ya Nje wa Iran amesema Jumuiya ya Ushirikiano wa nchi za Kiislamu OIC inapaswa kujikita katika malengo yake makuu ambayo ni kuimarisha umoja na mshikamano wa Kiislamu, kukomesha uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina
Habari ID: 3471099    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/02

TEHRAN (IQNA)-Taasisi za Kiislamu Palestina zimechukua hatua za pamoja kupinga vizingiti vilivyowekwa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa al-Aqsa.
Habari ID: 3471084    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/25

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba 'unacheza na moto' kutokana na kushadidisha ukandamizaji dhidi ya Wapalestina wa Quds Tukufu inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3471082    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/24

IQNA- Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeidhinisha ujenzi wa wa nyumba mpya 566 za walowezi wa Kizayuni katika mji wa Baitul Muqaddas Mashariki unaoukalia kwa mabavu kinyume cha azimio la Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3470809    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/23

IQNA- Ijumaa katika usiku wenye baridi kali mjini New York, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipasisha azimio nambari 2334 linaloitaka Israel isitishe mara moja ujenzi huo katika ardhi zilizoghusubiwa za Palestina.
Habari ID: 3470758    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/24