Kiongozi Muadhamu katika mkutano na Amir wa Qatar
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema dhulma ya miongo kadhaa ya utawala khabithi wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina ni ukweli mchungu wa historia na pigo kwa ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu na kuongeza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inataraji kwamba ulimwengu wa Kiarabu utaingia wazi wazi katika medani ya kisiasa kukabiliana na jinai hizo.
Habari ID: 3475243 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/13
TEHRAN (IQNA)-Wazayuni wasiopungua watatu wameangamizwa katika oparesheni za ulipizaji kisasi za Wapalestina waliojitolea kufa shahidi.
Habari ID: 3475213 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/06
TEHRAN (IQNA) - Katika kampeni iliyoitwa 'Hands Off Al-Aqsa Mosque' (Achaneni na Msikiti wa Al Aqsa), Baraza la Ushauri la Malaysia la Mashirika ya Kiislamu (Mapim) na mashirika 43 yasiyo ya kiserikali (NGOs) yameonyesha mshikamano wao na Wapalestina.
Habari ID: 3475163 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24
TEHRAN (IQNA)- Makundi mbalimbali ya mapambano ya Palestina yameitisha kikao cha dharura mjini Ghaza kutokana na utawala wa Kizayuni wa Israel kushadidisha jinai na vitisho dhidi ya wananchi wa Palestina.
Habari ID: 3475123 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/13
TEHRAN (IQNA) - Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limewaua shahidi Wapalestina watatu kwa kuwapiga risasi katika mji wa Jenin, katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3475090 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/03
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa onyo kali kwa utawala haramu wa Israel baada ya walowezi wake wa Kizayuni kuwashambulia tena Wapalestina katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3474925 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/13
TEHRAN (IQNA)- Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewakamata watoto watatu waliokuwa wanapeperusha bendera ya Palestina katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds(Jerusalem) Mashariki unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
Habari ID: 3474703 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/21
TEHRAN (IQNA) – Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) pamoja na kuwepo vizuizi vilivyokuwa vimewekwa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel unaokalia ardhi hiyo ya Palestina kwa mabavu.
Habari ID: 3474635 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03
TEHRAN (IQNA)- Australia imelaaniwa vikali kufuatia hatua yake ya kutangaza chama cha Hizbullah cha Lebanon kuwa eti ni harakati ya kigaidi.
Habari ID: 3474599 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/25
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamebomoa msikiti wa Wapalestina katika mji wa Duma, kusini mwa eneo linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3474520 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05
TEHRAN (IQNA)- Utawala wa Kizayuni wa Israel umewakamata Wapalestina zaidi ya 1,280 katika kipindi cha miezi mitati iliyopita.
Habari ID: 3474471 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/25
TEHRAN (IQNA) Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).
Habari ID: 3474439 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/18
Kiongozi Muadhamu katika mkutano na wanamichezo wa Olimpiki na Paralimpiki
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema, kutotambuliwa na kususiwa utawala ghasibu wa Israel katika michezo ni jambo muhimu sana.
Habari ID: 3474308 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetahadharisha kuhusu mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kubomoa sehemu za Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3473547 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/11
TEHRAN (IQNA) - Makumi ya wabunge wa Algeria wameandaa muswada wa sheria inayolenga kuufanya kuwa ni uhalifu uanzishwaji wa uhusiano wowote wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473536 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/08
TEHRAN (IQNA) – Utawala wa Kizayuni wa Israel umempiga marufuku naibu mkurugenzi wa Idara ya Wakfu ya Mji wa Quds (Jerusalem) kuingia katika Msikiti wa Al Aqsa kwa muda wa miezi sita.
Habari ID: 3473330 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/05
TEHRAN (IQNA) - Ndege za kivita za utawala haramu wa Kizayuni leo asubuhi zimeshambulia ngome za harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3473080 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/18
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.
Habari ID: 3473028 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/03
TEHRAN (IQNA)- Ripota na mtaalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, kuuzingira Ukanda wa Ghaza kunakofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuwaadhibu kwa umati wananchi wa Palestina.
Habari ID: 3472974 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
TEHRAN (IQNA) - Shirika la intaneti la Google limekosolewa vikali watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."
Habari ID: 3472970 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17