TEHRAN (IQNA)- Waziri Mkuu wa Palestina amelaani kitendo cha kuruhusiwa ujumbe wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuingia ndani ya Msikiti wa al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) huku Wapalestina wakizuiwa kuswali katika msikiti huo.
Habari ID: 3473279 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/20
TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amewakosoa vikali wale ambao wanajaribu kuufungamanisha Uislamu na ugaidi.
Habari ID: 3473277 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/20
Uchaguzi wa rais Marekani 2020
TEHRAN (IQNA) – Mgombea kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden amesema atawateua Waislamu nchini humo katika ngazi zote za kijamii na kisiasa za serikali yake endapo atashinda katika uchaguzi.
Habari ID: 3473269 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/17
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema hatua ya baadhi ya nchi za Kiarabu kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel imeupa utawala huo kiburi na ujuba wa kuendelea kupora ardhi za Wapalestina na kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kinyume cha sheria.
Habari ID: 3473268 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/17
TEHRAN (IQNA)- Hali ngumu na isiyo ya kibinadamu ya magereza ya utawala wa Israel imepelekea mateka au wafungwa kadhaa kususia chakula kama njia ya kubainisha malalamiko yao.
Habari ID: 3473252 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/12
TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ekrima Sa'id Sabri, Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu katika mji wa Quds (Jerusalem) na khatibu katika Msikiti wa Al Aqsa mjini humo ametahadharisha kuhusu njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutaka kutwaa sehemu ya msikiti huo ambao ni qibla cha kwanza cha Waislamu.
Habari ID: 3473249 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/11
TERHAN (IQNA) - Chuo Kikuu cha Kiislamu cha al-Azhar cha nchini Misri kimelaani vikali matamshi ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuhusu Uislamu na kusisitiza kuwa, matamshi ya rais huyo ni ya kibaguzi.
Habari ID: 3473229 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/04
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya afisa mwandamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa eti utawala bandia wa Israel umesitisha upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni baada ya utawala huo kuanzisha uhusiano na nchi mbili za Kiarabu za UAE na Bahrain.
Habari ID: 3473222 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/02
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itawaruhusu Waislamu walioko nchini humo kutekeleza Ibada ya Umrah kuanzia Oktoba Nne.
Habari ID: 3473197 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amezungumzia ushindi mkubwa na wa wazi wa taifa la Iran katika Vita vya Kujitetea Kutakatifu na kusema kuwa: Kujitetea kutakatifu ni sehemu ya utambulisho wa kitaifa wa Iran.
Habari ID: 3473189 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/21
TEHRAN (IQNA) – Binti Muislamu mwanafunzi wa shule ya upili amepigwa marufuku kucheza mechi ya voliboli baada ya refa kudai kuwa vazi lake la Hijabu linakiuka sheria.
Habari ID: 3473183 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/19
TEHRAN (IQNA) - Mwanamke Muislamu nchini Marekani amewasilisha kesi mahakamani na kusema haki zake za kiraia na kidini zilikiukwa pale maafisa wa Idara ya Polisi ya Los Angeles (LAPD) walipomvua Hijabu (mtandio) wakati akihudhuria mkutano wa Tume ya Polisi mwaka jana.
Habari ID: 3473180 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/18
TEHRAN (IQNA) - Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuchukuliwa hatua zaidi kutokana na ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini Myanmar dhidi ya jamii ya Waislamu wa Rohingya.
Habari ID: 3473170 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/15
TEHRAN (IQNA) – Mafundisho ya Qur’ani kwa njia ya intaneti yameandaliwa na Kituo cha Darul Qur’an nchini Lebanon. Kituo hicho kinafungamana na Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS.
Habari ID: 3473169 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/14
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky pamoja na mkewe Malama Zinat Ibrahim ambao hali zao za kiafya zinazidi kuwa mbaya siku baada ya siku.
Habari ID: 3473164 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/13
TEHRAN (IQNA) – Watu wasiopungua sita wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya gaidi kufyatua bomu baada ya swala ya Ijumaa katika msikiti uliooko katika bandari ya Kismayo, kusini mwa Somalia.
Habari ID: 3473159 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/11
TEHRAN (IQNA) – Mashauriano yanaendelea kuhusu uwezekano wa kufanyika mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur’ani ya Iran kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3473151 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09
Ayatullah Nouri Hamedani
TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu ni njama za vituo vya kifikra vya Utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika fremu ya kueneza chuki na hofu dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3473142 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/06
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Iran Saeed Parvizi hivi karibuni alisoma aya za Sura al-Kahf za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3473138 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/05
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa tena suala la kuanzishwa uhusiano baina ya Imarati na utawala ghasibu wa Israel na kusisitiza kuwa: Jambo lililofanywa na kawaida kwa uhusiano huo ni kubinya shingo la Wapalestina kwa goti la Wazayuni.
Habari ID: 3473132 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/03