TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa Maulamaa wa Kiislamu (IUMS) ametahadharisha kuhusu njama hatari inayopangwa dhidi ya Yemen na ametaka nchi hiyo inusuriwe.
Habari ID: 3472911 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/29
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani ni washirika wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) katika mauaji ya watu wa Iran.
Habari ID: 3472909 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/29
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Wakfu nchini Misri Sheikh Mohammad Mokhtar Gomaa ameahidi kuwa serikali inatafakari kuhusu kuruhusu tena swala ya Ijumaa nchini humo ambayo imeendelea kupigwa marufuku hata baada ya misikiti kufunguliwa tena wiki hii.
Habari ID: 3472908 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/28
TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani nchini Misri, Sheikh Abdul Fattah Taruti amesoma Qur’ani Tukufu akiwa amevaa barakoa.
Habari ID: 3472906 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/28
TEHRAN (IQNA) - Misikiti kote Misri inafunguliwa tena kuanzia Juni 27 lakini kwa kuzingatia masharti makali ya kiafya ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472901 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/26
TEHRAN (IQNA) - Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetangaza kuwa, idadi ya watoto wanaosumbuliwa na utapiamlo imeongezeka kwa kiwango kikubwa nchini Yemen.
Habari ID: 3472899 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/26
TEHRAN (IQNA) – Msomi na mhadhiri wa chuo kikuu nchini Kuwait ameibua utata katika mitandao ya kijamii baada ya kusema hatua ya Saudia wa kupunguza idadi ya mahujaji mwaka huu itaubadilisha Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid al Haram, kuwa sawa na jumba la makumbusho.
Habari ID: 3472898 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25
TEHRAN (IQNA) – Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani amepongeza uamuzi wa Saudi Arabia wa kupunguza kabisa idadi ya mahujaji na kuwazuia mahujaji wa kimataifa kuingia nchini humo.
Habari ID: 3472897 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25
TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Australia wameingia na hofu ya kuenea chuki dhidi ya Uislamu baada ya ripoti mpya kubaini kuwa maambukizi mapya ya COVID-19 mjini Melbourne yalianzia katika mjumuiko wa kifamilia wa sherehe za Idul Fitr.
Habari ID: 3472896 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/25
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema moja ya fahari za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kuwa inawaruhusu wanawake waendeleze harakati zao katika sekta mbali mbali.
Habari ID: 3472893 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/24
TEHRAN (IQNA) – Moja ya mbinu za qiraa ya Qur’ani Tukufu ni kusoma aya au sura ndefu kwa pumzi moja sambamba na kuzingatia kanuni zote za usomaji.
Habari ID: 3472892 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/23
TEHRAN (IQNA) - Ufalme wa Saudi Arabia umetangaza rasmi kwamba ibada ya Hija mwaka huu itatekelezwa na watu wachache sana ambao ni raia na wakazi wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472890 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/23
TEHRAN (IQNA) – Msikiti mmoja nchini Saudi Arabia katika eneo la Dammam umebuni nakala ya Qur'ani ya kidijitali kwa wanaoingia katika msikiti huo.
Habari ID: 3472888 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22
TEHRAN (IQNA) – Tarehe 20 imesadifiana na mwaka wa 50 tokea alipoaga dunia Mohamed Siddiq El-Minshawi aliyekuwa na lakabu ya 'qarii wa maqarii' ambaye hadi sasa amesalia kuwa miongoni mwa wasomaji wakubwa wa Qur'ani duniani.
Habari ID: 3472887 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22
TEHRAN (IQNA) – Kamati andalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran haijaafiki pendekezo la mashindano hayo kufanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472886 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/22
Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, ametoa kauli baada ya Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kupitisha azimio dhidi ya Iran na kusema: "Nchi za Magharibi na hasa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa mara nyingine tena zimedhihirisha utambulisho wao hasimu na wa kutoaminika mbele ya taifa la Iran."
Habari ID: 3472884 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/21
TEHRAN (IQNA)- Qatar imefadhili ujenzi wa kituo cha elimu na miradi kadhaa ya maendeleo katika mji wa Kismayo nchini Somalia.
Habari ID: 3472882 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimelaani matamshi ya mwanasiasa wa mrengo wa kulia wa Austria ambaye alivunjia heshima Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3472881 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/20
TEHRAN (IQNA)- Nchi mbali mbali duniani zinaendelea kupinga utekelezaji wa mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kupora eneo kubwa la Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3472878 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/19
TEHRAN (IQNA) – Misikiti zaidi itafunguliwa Mayalsia kwa ajili ya swala ya Ijumaa na watakashiriki katika swala watatakiwa kuzingatia sheria za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472876 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/18