TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa ikikanusha madai ya vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu oparesheni ya kujipenyeza wapiganaji wake Israel.
Habari ID: 3473008 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/28
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim amesema Wabahrain wataendeleza mapambano yao ya kisiasa hadi haki zao zitambuliwa na watawala wa nchi hiyo.
Habari ID: 3472990 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/23
TEHRAN (IQNA) – Kitabu kuhusu Nafasi ya Waislamu katika Utamaduni wa Ufilipino kilichoandikwa na mwambata za zamani wa utamaduni wa Iran katika nchi hiyo ya kusini mwa Asia kimezinduliwa.
Habari ID: 3472987 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/22
TEHRAN (IQNA) – Mahmud Ali Al Banna alikuwa qarii mashuhuri wa Qur’ani aliyezaliwa katika kijiji cha Shobrabas kaskazini mwa Misri mnamo Disemba 17, 1926.
Habari ID: 3472986 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21
TEHRAN (IQNA) - Serikali ya Austria inatayarisha mpango wenye utata wa kuwaweka Waislamu wan chi hiyo chini ya uchunguzi mkali kwa lengo la kukabiliana na kile wanachodai ni ‘Uislamu wa Kisiasa.’
Habari ID: 3472985 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/21
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia imesema itaweka faini kali na vifungo vya jela kwa watu na mashirika ambayo yatawasafirisha mahujaji wasio na kibali cha Hija.
Habari ID: 3472983 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20
TEHRAN (IQNA) – Mfalme Salman wa Saudi Arabia amelazwa hospitalini katika mji mkuu wa nchi hiyo, Riyadh kutokana na matatizo ya kibofu cha nyongo.
Habari ID: 3472981 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/20
TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Syria leo wanapiga kura kwa ajili ya kuwachagua wawakilishi wao wa bunge la kitaifa.
Habari ID: 3472979 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/19
TEHRAN (IQNA) – Mawakili wa Sheikh Ibrahim Zakzaky wameitaka Mahakama Kuu ya Nigeria kutupilia mbali kesi dhdi ya yake itoe amri ya kuachiliwa huru mara moja mwanazuoni huyo na mke wake.
Habari ID: 3472976 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/18
Mahakama ya Kilele ya Jordan imetoa hukumu ikitangaza kuvunjwa Harakati ya Ikhwanul Muslimin nchini humo.
Habari ID: 3472972 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17
TEHRAN (IQNA) - Shirika la intaneti la Google limekosolewa vikali watumiaji wa mitandao mbali mbali ya kijamii baada ya kuiondoa "Palestina" katika ramani zake za dunia, na badala yake kupachika jina la "Israel."
Habari ID: 3472970 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/17
TEHRAN (IQNA) - Utawala haramu wa Kizayuni umekusudia kunyakua asilimia 30 zaidi ya ardhi za Palestina za Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan ilizozivamia na kuanza kuzikalia kwa mabavu mwaka 1967 na kuziunganisha na ardhi zingine ilizozipa jina la Israel, ukiwa ni muendelezo wa malengo yake ya muda mrefu ya kuikalia kwa mabavu Palestina yote.
Habari ID: 3472967 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/16
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) -Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema adui amepoteza matumaini kutokana na namna taifa la Iran linavyokabiliana na kila harakati dhidi ya mfumo wa Kiislamu.
Habari ID: 3472957 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/12
TEHRAN (IQNA) – Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limesema Wayemen wasiopungua milioni 10 wa Yemen wanaandamwa na ubaha mkubwa wa chakula na hivyo wanahitaji misaada ya dharura ili kuzuia baa la njaa.
Habari ID: 3472950 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/11
TEHRAN (IQNA) - Mpalestina ameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472947 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/10
Sayyid Nasrallah:
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndio utawala dhalimu zaidi duniani na chokochoko zote zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Lebanon zimefanyika kwa uungaji mkono wa Washington.
Habari ID: 3472941 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
Msomi wa Iran
TEHRAN (IQNA) – Msomi wa Iran Dkt. Hakimeh Saghaye-Biria, amesema taasisi za utafiti nchini Marekanizinatumiwa kupanga sera za serikali ya nchi hiyo kuhusu ulimwengu wa Kiislamuna hasa dhidi ya harakati za muqawama au mapambano ya Kiislamu.
Habari ID: 3472940 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/08
TEHRAN (IQNA) –Mmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amepongeza ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran kwa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas na kusema: “ Ujumbe wa kiongozi wa Iran unaashiria himaya ya kudumu kwa malengo ya Palestina.”
Habari ID: 3472935 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasita hata kidogo katika kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina na kuvunja shari za utawala bandia na ghasibu wa Kizayuni.
Habari ID: 3472933 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/06
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kimataifa cha Fatwa katika Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri kimetoa taarifa kuhusu uvumizi unaoenezwa kuwa umewadia mwisho wa dunia au qiyamah.
Habari ID: 3472921 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/02