iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Indonesia imesema raia wa nchi hiyo mwaka huu hawataweza kutekeleza Ibada ya Hija kutokana na hofu ya maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472827    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA)- Naibu Spika wa Bunge la Iraq Hassan Karim al-Kaabi ametoa wito kwa Saudi Arabia kukarabati Makaburi ya Baqii katika mji mtakatifu wa Madina.
Habari ID: 3472826    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA) – China inapaswa kuhimizwa isitishe sera zake cha chuki dhidi ya Waislamu hasa zile zinazowashusu Waislamu wa jamii wa Uighur.
Habari ID: 3472825    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02

TEHRAN (IQNA) - Marekani imetumbukia tena katika machafuko makubwa kutokana na malalamiko ya wananchi wanaopinga mauaji yaliyofanywa na polisi wa nchi hiyo dhidi ya raia mweusi.
Habari ID: 3472822    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/01

TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani hatua mpya zilizochukuliwa na Marekani za kuuwekea vikwazo ushirikiano wa kimataifa wa nyuklia baina ya Iran na pande nyingine na kusema kuwa kitendo hicho kinavunja waziwazi azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Habari ID: 3472821    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31

TEHRAN (IQNA) – Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, utafunguliwa tena Jumanne.
Habari ID: 3472819    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/31

TEHRAN (IQNA) - Spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesisitizia umuhimu wa umoja wa nchi za Kiislamu na jitihada za pamoja za kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472818    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/30

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Polisi la utawala wa Kizayuni wa Israel Ijumaa liliwazuia Wapalestina kuswali katika Msikiti wa Haram ya Nabii Ibrahim (Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake) mjini al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472815    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/30

TEHRAN (IQNA) - Aya za Qur'ani Tukufu zimesomwa katika Kanisa Kubwa la Hagia Sophia ambalo sasa ni jumba la makumbusho mjini Istanbul Uturuki.
Habari ID: 3472812    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/29

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu ya Syria imetangaza kuanza swala za jamaa katika misikiti ya nchi hiyo kuanzia sikua ya Jumatano.
Habari ID: 3472808    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/27

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyapa mataifa ya Afrika uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Habari ID: 3472802    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/26

TEHRAN (IQNA) - Maeneo matakatifu ya ibada na ziara katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yameanza kufunguliwa baada ya kuwepo mafanikio makubwa katika kudhibiti ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472801    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/25

TEHRAN (IQNA) - Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wameshiriki katika swala ya Idul Fitr baada ya kukamilisha mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472797    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia viongozi wa nchi za Kiislamu na Waislamu kote duniani salamu za kheri na fanaka kwa mnasaba wa kuwadia siku kuu ya Idul Fitr.
Habari ID: 3472795    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/24

Sayyid Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema hakuna shaka kuwa utawala wa Israel utasambaratika na amesisitiza kuwa, vita asili vitakuwa na Marekani.
Habari ID: 3472793    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/23

Taarifa ya Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina
TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mshikamano wa Kenya na Palestina (KPSM) imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa Wapalestina wanakabiliana na virusi viwili hivi sasa.
Habari ID: 3472792    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/22

Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameielezea Siku ya Kimataifa ya Quds inayoadhimishwa hii leo kote duniani kama utamaduni mzuri na nembo ya uvumilivu, umoja na mshikamano wa Waislamu katika kuhami na kutetea thamani za Kiislamu.
Habari ID: 3472790    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/22

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya muqawama (mapambano) ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na ushindi wa mhimili wa muqawama.
Habari ID: 3472789    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameutahadharisah vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuchukua hatua zozote dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
Habari ID: 3472787    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/21

Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kukaribia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds na kusisitiza kuwa, Quds (Jerusalem) katu haitasahauliwa na haitaendelea kubakia katika uvamizi wa madhalimu.
Habari ID: 3472785    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/20