iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Viongozi wanne maarufu wa jamii ya Waislamu nchini Marekani wanachangisha fedha za kuwasiaidia maimamu na wafanyakazi wa misikiti katika kipindi hiki cha janga la ugonjwa wa corona au COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3472685    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20

TEHRAN (IQNA)- Rais Bashar la Assad wa Syria leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif mjini Damascus ambapo wamejadili masuala mbalimbali ya pande mbili, kieneo na kimataifa.
Habari ID: 3472683    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/20

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyed Ali Khamenei amejibu swali (Istifta) kuhusu Saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika mazingira ya sasa ya kuenea janga la COVID-19 au corona duniani.
Habari ID: 3472682    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/19

TEHRAN (IQNA) – Sheria ya kutotoka nje ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona nchini India imepelekea Waislamu wa jamii ya Rohingya wasiweze kupokea msaada wa chakula kutoka kwa wahisani na hivyo wanakabiliwa baa la njaa.
Habari ID: 3472681    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/19

TEHRAN (IQNA) – Aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu inayojulikana kama “Quranona” ambayo ina tarjuma kwa lugha 35 imezinduliwa.
Habari ID: 3472680    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/19

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Qarii (msomaji) mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri Sheikh Muhammad Mahmoud Asfour ameaga dunia Ijumaa akiwa na umri wa miaka 82.
Habari ID: 3472678    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18

TEHRAN (IQNA)- Shirika la Afya Duniani (WHO) katika Kanda ya Afrika limetahadharisa kuwa kesi za maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona barani Afrika zinaweza kuongezeka kutoka maelfu ya sasa na kufikia milioni kumi katika kipindi cha miezi sita.
Habari ID: 3472676    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/18

Kufuatia janga la corona
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imetoa wito kwa taasisi za za kisheria Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu kuchukua hatua za dharura za kuwaokoa mateka Wapalestina wanaoshikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472675    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/17

Vita dhidi ya janga la corona
TEHRAN (IQNA)- Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima hulinda kiwango cha uwezo wake wa kiulinzi na kumzuia adui na wakati huo huo huwa pamoja na wananchi wakati wa maafa au majanga na huwasaidia katika kutatua matatizo yao.
Habari ID: 3472673    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/17

Kwa mara ya kwanza duniani
TEHRAN (IQNA) - Kwa mara ya kwanza duniani, Jamhuri ya Kislamu ya Iran imevumbua kifaa chenye uwezo wa kugundua mwili na sehemu kilipo kirusi cha corona katika umbali wa mita 100 tena katika kipindi cha sekunde chache tu. Kifaa hicho kimepewa jina la "Musta'an 110."
Habari ID: 3472670    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/16

TEHRAN (IQNA)- Muungano vamizi unaoongozwa na Saudia hadi sasa umeharibu kwa makusudi mamia ya misikiti na maeneo ya kihistoria katika vita vya Yemen.
Habari ID: 3472666    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/14

TEHRAN (IQNA)- Pamoja na kuwa janga la corona limeenea duniani kote na hivyo kupelekea kusitishwa mapigano katika maeneo mengi yamesitishwa lakini nchini Libya hali ni kinyume kwani tunashuhudia kushadidi vita.
Habari ID: 3472665    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/14

TEHRAN (IQNA) – Wakuu wa Saudi Arabia wako mbioni kuzuia kuenea ugonjwa wa corona au COVID-19 katika mji mtakatifu wa Makka kutokana na kuenea kwa kasi ugonjwa huo mjini humo pamoja na kuwa kunatekeleza sheria ya kutotoka nje kwa masaa 24.
Habari ID: 3472664    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/14

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Qatar kuhusu matukio ya hivi karibuni kuhusu mgogoro wa kisiasa nchini Afghanistan.
Habari ID: 3472663    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13

TEHRAN (IQNA)- Watu zaidi ya 4,300 wamekamatwa nchini Morocco katika kipindi cha siku chache zilizopita baada ya kukiuka sheria ya hali ya hatari ambayo inatekelezwa ili kuzuia kuenea ugonjwa hatari wa corona au COVID-19 katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
Habari ID: 3472662    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/13

TEHRAN (IQNA)- Sheikh Ali Mohiuddin Al-Qaradaghi, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa Maulamaa wa Waislamu (IUMS) ametoa fatwa ya kuruhusu kutengwa maeneo maalumu misikitini kwa ajili ya kuwatibu watu ambao wanaugua ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472660    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/12

TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya Waislamu wamefariki kutokana na ugonjwa wa corona nchini Uingereza na hilo linabainika wazi katika makaburi ya Waislamu.
Habari ID: 3472658    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/12

TEHRAN (IQNA) – Afisa mmoja wa kidini nchini Saudi Arabia amesema kuna uwezekano mkubwa kuwa Sala ya tarawih haitasaliwa katika misikiti ya nchi hiyo ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona au COVID-19 nchini humo.
Habari ID: 3472655    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/11

TEHRAN (IQNA)- Maimamu na wanafikra kadhaa wa Kiislamu na Kiarabu duniani wametia wametoa wito wa kutaka Zaka itumike katika jitihada za kukabiliana na janga la ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472654    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/11

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema harakati hiyo imeazimia kuhakikisha kuwa mateka wa Kipalestina walioko katika vizuizi vya utawala wa Kizayuni wa Israel wanaachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa na utawala huo ghasibu.
Habari ID: 3472652    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/10