TEHRAN (IQNA) – Waislamu nchini Canada wamepata fursa ya kusikia adhana misikitini kupitia vipaza sauti kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya nchi hiyo ya Amerika Kaskazini.
Habari ID: 3472720 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01
TEHRAN (IQNA) – Chama tawala nchini India, Bharatiya Janata (BJP), kimetoa wito wa umoja na maelewano ya kidini baada ya malalamiko ya kimataifa kufuatia ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3472719 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/30
TEHRAN (IQNA) -Sayyed Abbas Mousawi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza kuwa njia pekee ya kurejesha uthabiti na utulivu Yemen ni umoja na mshikamano miongoni mwa makundi mbali mbali nchini humo.
Habari ID: 3472717 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/30
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Utamaaduni cha Jamhuri ya Kiislamu Iran nchini Tunisia kimeandaa mafunzo ya usomaji Qur’ani Tukufu kwa njia ya intaneti katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472716 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29
TEHRAN (IQNA)- Uturuki imemtuhumu jenerali muasi Khalifa Haftar wa Libya kuwa analenga ‘kuibua udikteta wa kijeshi’ na hivyo imeapa kuulinda mji wa Tripoli.
Habari ID: 3472715 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambayo hufanyika kwa njia ya moja kwa moja kupitia Televisheni ya Al Kauthar ya Iran yameanza.
Habari ID: 3472714 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/29
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kuangusha ndege isiyo na rubani (drone) ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472713 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28
TEHRAN (IQNA)- Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiisamu ya Iran vilitoa taarifa na kuonya kwamba: Kuundwa miungano ya urongo kwa uongozi wa Marekani kwa kizingizio eti cha kusimamia usalama wa meli ni hatua ya hatari na wakati huo huo inavuruga amani na usalama wa eneo.
Habari ID: 3472712 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/28
TEHRAN (IQNA) – Siku ya Kimataifa ya Quds (Jerusalem) mwaka huu itaadhimishwa kwa njia ya intaneti kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472710 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27
TEHRAN (IQNA) – Wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar nchini Libya wameushambulia msikiti karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
Habari ID: 3472708 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kutomuogopa adui na kusimama kidete dhidi yake ni katika maamrisho na maelekezo muhimu ya Qurani Tukufu.
Habari ID: 3472706 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26
TEHRAN (IQNA) - Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika amewatumia Waislamu salamu kwa mnasba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472705 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26
TEHRAN (IQNA) – Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria (NSCIA) limetangaza marufuku ya mijimuiko yote ya kidini katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ili kuzuia kuenea ugonjwa wa corona.
Habari ID: 3472704 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/26
TEHRAN (IQNA) - Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema Baraza la Usalama la umoja huo limefeli kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel utekeleza maazimio ya baraza hilo kuhusu Palestina na Syria.
Habari ID: 3472699 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/24
TEHRAN (IQNA) – Elizaveta, bintiye msemaji wa Rais wa Russia Dmitry Peskov ametangaza kuwa atafunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472697 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/24
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres, ametegemea aya ya Qur'ani Tukufu katika ujumbe wa kusitishwa vita katika maeneo yenye mapigano duniani kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472696 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23
TEHRAN (IQNA) – Mwanachama wa Kamati ya Hilali ya Mwezi nchini Iran amesema hilali ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani haitazamiwi kuonekana Alhamisi Aprili 23.
Habari ID: 3472695 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23
TEHRAN (IQNA) – Waziri Mkuu wa Singapore Lee Hsien Loong amesema ingawa misikiti imefungwa nchini humo, wanazuoni wa Kiislamu na waalamu wa dini watahakikisha kuwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani utaendelea kuwa na mvuto na maana yake halisi.
Habari ID: 3472694 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/23
TEHRAN (IQNA)- Ubaguzi wa Waislamu nchini India ambao umeongezeka katika miezi ya hivi karibuni sasa umekithiri zaidi wakati huu wa janga la corona.
Habari ID: 3472690 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/21
TEHRAN (IQNA) –Mhubiri wa Kiislamu Nigeria amekamatwa katika jimbo la Kano kaskazini mwa nchi hiyo baada ya kuswalisha Sala ya Ijumaa kwa siri kinyume cha amri ya serikali.
Habari ID: 3472688 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/21