iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Misikiti 37 nchini Singapore imeungana na kuchanga dola laki sita kwa ajili ya kutoa futari kwa Waislamu wanaofunga saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472749    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09

TEHRAN (IQNA) – Duru ya 28 ya Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani ya Tehran itafanyika kwa njia ya intaneti.
Habari ID: 3472748    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/09

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema janga la COVID-19 au corona limeibua 'tsunami ya chuki' na hivyo ametoa wito wa kusitishwa matamshi yaliyojaa chuki duniani.
Habari ID: 3472746    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

TEHRAN (IQNA) - Swala ya Ijumaa imeswaliwa kusaliwa hii leo katika miji mikubwa na midogo ipatayo 157 na mikoa 21 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, baada ya kusitishwa tokea mapema mwezi Machi mwaka huu kutokana na mripuko wa ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472745    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Misikiti Ufaransa (UMF) imetoa wito kwa Waislamu nchini humo kuswali na kusherehekea Idul Fitr majumbani mwao ili kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472744    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)- Qarii mashuhuri wa Misri Sheikh Mahmoud Tablawi ameaga dunia Jumnne akiwa na umri wa miaka 86.
Habari ID: 3472743    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

TEHRAN (IQNA) - Baada ya miezi mitano ya mkwamo wa kisiasa nchini Iraq, hatimaye Alhamisi Bunge la nchi hiyo limeidhinisha Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu Mustafa al-Kadhimi.
Habari ID: 3472742    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/08

TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu imezindua aplikesheni mpya ya Qur’ani Tukufu kwa mnasaba wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472741    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA) – Qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu kutoka Algeria, Sheikh Muhammad bin Sudaira hivi karibuni alisoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472740    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Tariq Abdul Basit Abdul Samad, mwanae qarii mashuhuri wa Qur’ani Tukufu nchini Misri marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Samad, hivi karibuni amesoma aya za Qur’ani Tukufu kuhusu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472739    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/06

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Japan
TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Hakuna njia nyingine ya kukabiliana kwa mafanikio na corona isipokuwa kushirikiana nchi zote"
Habari ID: 3472737    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amelaani hatua ya Ujerumani ya kuiita harakati hiyo kuwa eti ni kundi la kigaidi, na amesisitiza kuwa serikali ya Ujerumani imeshindwa kuwasilisha ushahidi wa kuthibitisha madai yake.
Habari ID: 3472735    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/05

TEHRAN (IQNA) - Vikao vya qiraa ya Qur'ani Tukufu vinafanyika katika hospitali na vituo vya tiba katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran katika mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472734    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/04

TEHRAN (IQNA) – Mesut Ozil mchezaji soka mashuhuri wa timu ya Arsenal katika Ligi ya Premier ya England ametoa mchango wa dola laki moja za Kimarekani kuwasaidia Waislamu ambao wameathiriwa vibaya na janga la COVID-19 au corona katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472730    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/03

TEHRAN (IQNA) - Jeshi la Misri limesema askari wake 15 wameuawa katika mapigano makali na magaidi ambapo magaidi 126 wakufurishaji pia wameuawa mashariki mwa nchi.
Habari ID: 3472728    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/03

TEHRAN (IQNA) – Ujerumani imeendelea kukosolewa kutokana na hatua yake ya kuipiga marufuku Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
Habari ID: 3472727    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA) – Asasi za Kiislamu mjini New York nchini Marekani zimeungana na kuanzisha mpango wa kugawa futari kwa wasiojiweza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472726    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuyanufaisha mataifa mengine uzoefu wake katika suala la kupambana na ugonjwa wa corona au COVID-19.
Habari ID: 3472725    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/02

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameweka bayana dhimira ya Umoja wa Mataifa ya kutaka kuvishinda vita dhidi ya janga la virusi vya corona au COVID-19 kwa kujikita na mambo matatu muhimu ambayo ni kufikia usitishwaji wa uhasama kimataifa, kuwasaidia wale wasiojiweza na kujiandaa kujikwamua kiuchumi na kijamii kutoka kwenye janga hili.
Habari ID: 3472723    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01

TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani hatua ya chuki ya serikali ya Ujerumani ya kuiita Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuwa ni kundi la kigaidi na kusema kwamba, uamuzi huo unahudumia malengo ya utawala haramu wa Israel na Marekani.
Habari ID: 3472721    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/05/01