iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa machafuko yanayoshuhudiwa sasa nchini humo ni njama iliyopangwa na Marekani.
Habari ID: 3472874    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/17

TEHRAN (IQNA)- Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamemjia juu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres kwa kuuondoa muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika orodha ya makundi yanayokanyaga haki za watoto.
Habari ID: 3472870    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/16

TEHRAN (IQNA) – Wanachama wa Jeshi la Kujitolea la Wananchi wa Iraq maarufu kama Al Hashd al Shaabi wameshiriki katika hafla ya kumuenzi shahdi Abu Mahdi al-Muhandis, naibu kamanda wa jeshi hilo aliyeuawa shahdi katika hujuma ya kigaidi ya jeshi la Marekani mwezi Januari.
Habari ID: 3472867    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15

TEHRAN (IQNA)- Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema mfumo wa kifedha wa Kiislamu unaweza kutumika kuiondoa dunia katika mgogoro wa kiuchumi uliosababishwa na janga la COVID-19.
Habari ID: 3472866    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15

TEHRAN (IQNA) –Mamia ya watu wameshiriki katika maandamano mjini Amsterdam Uholanzi Jumapili na kutangaza kuunga mkono Wapalestina huku wakipinga mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel kupora ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3472865    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/15

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya asilimia 73 ya watu wa Uturuki wanataka Jumba la Makumbusho la Hagia Sophia mjini Istanbul lirejee katika hadhi yake ya msikiti.
Habari ID: 3472859    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/12

TEHRAN (IQNA) – Mahmoud al-Toukhi ni kati ya maqarii mashuhuri wa Misri wanaomuiga qarii mashuhuri Sheikh Mohammad Rafa'at.
Habari ID: 3472855    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/11

TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyed Hassan Nasrallah ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kifo cha Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina Ramadan Abdullah Shalah.
Habari ID: 3472849    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Harakati ya Al-Sadr ya nchini Iraq ameitaka Marekani iviondoe mara moja vikosi vyake vyote katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3472848    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/09

TEHRAN (IQNA) - Vita nchini Libya vimeshadidi na kushika kasi. Serikali ya Muafaka wa Kiataifa (GNU) yenye makao yake mjini Tripoli iko mbioni kukomboa maeneo yote ambayo yanakaliwa na wanamgambo wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar. Katika siku za hivi karibuni vikosi vya Serikali ya Muafaka wa Kitaifa vimepata mafanikio makubwa.
Habari ID: 3472846    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/07

TEHRAN (IQNA) -Katibu Mkuu wa zamani Harakati ya Jihad Islami ya Palestina ameaga dunia hospitalini baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.
Habari ID: 3472844    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/07

TEHRAN (IQNA) - Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria ujumbe wa Twitter wa Rais Donald Trump wa Marekani ambaye ametoa pendekezo la kufanyika duru mpya ya mazungumzo ya nyuklia na Tehran na kusisitiza kuwa, mapambano ya Kiislamu au muqawama ndio njia pekee ya kumshinda adui.
Habari ID: 3472843    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06

TEHRAN (IQNA) – Kamati ya Hija ya India imesema Waislamu nchini humo hawataweza kusafiri hadi mji wa Makka, Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hija kutokana na janga la COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472842    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/06

TEHRAN (IQNA) –Misikiti katika mji mkuu wa Indonesia, Jakarta, imefunguliwa Ijumaa kwa mara ya kwanza baada ya takribani miezi mitatu, huku nchi hiyo ikianza zuio ambalo limekuwepo ili kupunguza kasi ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.
Habari ID: 3472838    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05

TEHRAN (IQNA)- Misikiti kadhaa kote katika jimbo la New Jersey nchini Marekani imesema hotuba za Sala ya Ijumaa zitajadili kuhusu madhara ya ubaguzi wa rangi na halikadhalika kuhusu ukatili na jinao zinazotendwa na polisi nchini humo.
Habari ID: 3472837    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/05

TEHRAN (IQNA) – Wananchi wa Tunisia wamerejea katika misikiti na migahawa Alhamisi baada ya nchi hiyo kuhitimisha zuio na vizingiti ambavyo vilikuwa vimewekwa kuzuia kuenea ugonjwa wa COVID-19.
Habari ID: 3472835    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Bahrain amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yaliyoongozwa na Imam Khomeini- Mwenyezi Mungu Amrehemu- yanafanana na ya Mitume- Mwenyezi Mungu Awarehemu- na kusisitiza kwamba umma wote wa Kiislamu una wajibu wa kuyalinda mapinduzi hayo.
Habari ID: 3472834    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/04

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mashauriano la Jumuiya za Kiislamu Malaysia limelaani vikali ukatili wa polisi nchini Marekani na kusema ukosefu wa uadilifu na utumiaji mabavu ni dhatu ya mfumo wa utawala nchini Marekani.
Habari ID: 3472833    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

Mwanazuoni wa Kiislamu Lebanon
TEHRAN (IQNA)- Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) zimeweza kupata ushindi na adhama kutokana na fikra za kistratijia na kisiasa za Imam Khomeini-Mwenyezi Amrehemu- , amesema mwanazuoni wa Kiislamu nchini Lebanon.
Habari ID: 3472832    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/03

TEHRAN (IQNA) - Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, watawala wa Marekani ni watuhumiwa wa kuvunja haki za kimsingi kabisa za binadamu na inabidi wapandishwe kizimbani kwenye mahakama za kimataifa.
Habari ID: 3472829    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/06/02