iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema anasikitishwa na hali waliyonayo Waislamu wa eneo la Kashmir nchini India.
Habari ID: 3472095    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/22

Katika Siku ya Kimataifa ya Msikiti
TEHRAN (IQNA)- Mjumbe wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran amezikosoa nchi za Kiarabu kwa kuzembea kuhusu kadhia ya kuukomboa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) ambao unakaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472094    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/21

TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa madhehebu ya Shia kote duniani leo wanaadhimisha sikukuu ya Ghadir ambayo ni kati ya siku muhimu zaidi katika kalenda ya historia ya Uislamu.
Habari ID: 3472092    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/20

TEHRAN (IQNA) – Mkaazi wa Canterbury, New Zealand anasema alivutiwa na Uislamu na kuamua kusilimu baada ya hujuma dhidi ya misikiti katika mji wa Christchurch nchini humo.
Habari ID: 3472091    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/19

TEHRAN (IQNA) – Polisi ya Norway imewashukuru wazee wawili Waislamu ambao walimshinda nguvu gaidi ambaye alikuwa analenga kuwaua Waislamu katika msikiti mmoja mjini Baerum.
Habari ID: 3472090    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/18

TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, kiongozi wa harakati hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky amepelekwa mahala kusikojulikana mara baada ya kuwasili Abuja akitokea nchini India.
Habari ID: 3472088    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/18

TEHRAN (IQNA)- Utawala haramu wa Israel umewapiga marufuku wabunge wawili wa chama cha Democrat nchini Marekani Rashida Tlaib na Ilhan Omar kuingia ardhi za Palestina.
Habari ID: 3472086    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/16

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amefanya mazungumzo ya simu na Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN) Sheikh Ibrahim Zakzaky aliyepelekwa India kwa ajili ya matibabu.
Habari ID: 3472085    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/15

TEHRAN (IQNA) – Idadi kubwa ya vijana na watoto nchini Algeria wamejisajili kushiriki katika darsa za Qur'ani zinazofanyika katika misikiti na vituo vya Qur'ani katika mkowa wa Constantine kaskazini mashari mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3472084    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/15

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Saudi Arabia na Imarati zinataka kuigawanya Yemen; na akasisitiza kwamba: Inalazimu kusimama na kukabiliana kwa nguvu zote na njama hiyo na kuunga mkono Yemen moja, iliyoungana na yenye ardhi yake yote kamili.
Habari ID: 3472083    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/14

TEHRAN (IQNA) - Hatimaye Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria leo ameondoka Abuja na kuanza safari ya kuelekea nchini India kwa ajili ya matibabu.
Habari ID: 3472081    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/13

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika ujumbe kwa Mahujaji
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ametoa wito kwa mataifa ya Waislamu kuungana kukabiliana na njama ya Marekani ya kile inachokitaja kuwa eti ni 'Muamala wa Karne' kuhusu kadhia ya Palestina.
Habari ID: 3472077    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/10

TEHRAN (IQNA) - Huduma ya treni ya mwendo kasi itaanza kutumika kwa mara ya kwanza mwaka huu katika Ibada ya Hija.
Habari ID: 3472076    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/09

TEHRAN (IQNA) - Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, al Kaaba leo wameelekea Mina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya siku ya Tarwiya hiyo kesho tarehe 8 Dhilhaji katika eneo hilo tukufu.
Habari ID: 3472075    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/09

TEHRAN (IQNA)- Kwa akali watu 20 wameuawa na wengine 24 kujeruhiwa kufuatia tukio la hujuma ya kigaidi lililotokea leo Jumapili katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Habari ID: 3472070    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/04

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha msimamo wake kuhusu jinai za hivi karibuni za utawala wa kiimla wa Bahrain ambao umewanyonga kidhalimu vijana wawili wapinzani katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3472067    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/01

TEHRAN (IQNA) - Utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrian umelaanivwa vikali baada ya kuwanyonga vijana wawili raia wa nchi hiyo kwa tuhuma zisizo na msingi za kumuua afisa wa wizara ya mambo ya ndani mwaka 2017.
Habari ID: 3472061    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/28

TEHRAN (IQNA)- Kongamano la kimataifa la masomo ya Qur'ani limefanyika katika mji wa Tangier nchini Morocco.
Habari ID: 3472058    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/28

TEHRAN (IQNA) -Jumuiya za kimataifa na taasisi kadhaa za kutetea haki za binadamu duniani zimelaani jinai iliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kubomoa nyumba za Wapalestina kusini mwa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3472054    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, ushindi haupatikani bila ya muqawama na mapambano na kwa mujibu wa ahadi isiyo na shaka ya Mwenyezi Mungu, hatima ya kadhia ya Palestina bila shaka itakuwa ni kwa manufaa ya Wapalestina.
Habari ID: 3472053    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/22