TEHRAN (IQNA) – Msikiti mpya uliopewa jina la Masjid Tawheed umefunguliwa mapema wiki hii katika mji wa Venlo, kusini mashariki mwa Uholanzi.
Habari ID: 3472012 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/23
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa Kiislamu nchini Uingereza amechapisha fatwa mpya kuhusu kuchangia viungo vya mwili.
Habari ID: 3472011 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/22
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran ameashiria hatua ya kutunguliwa ndege isiyo na rubani (drone) ya Marekani ambayo ilikuwa imekiuka anga ya Iran na kusema: "Wakuu wa Marekani wafahamu kuwa, Lango Bahari la Hormoz daima litakuwa kaburi la wavamizi."
Habari ID: 3472009 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/21
TEHRAN (IQNA) – Mchunguzi maalumu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa ushahidi unaonyesha mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na maafisa kadhaa wa ngazi ya juu wa ufalme huo walihusika na mauaji ya mwandishi habariJamal Khashoggi.
Habari ID: 3472008 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/20
TEHRAN (IQNA) – Marekani inaendelea kuficha jinai za kivita za utawala wa Saudia Arabia na waitifaki wake ambao wanaendelea na uvamizi wao dhidi ya taifa la Yemen.
Habari ID: 3472007 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/19
TEHRAN (IQNA) – Mwenyekiti wa Jumyuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu (IUMS) amezituhumu tawala za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa zimehusika katika kifo cha rais wa zamani wa Misri Muhammad Mursi.
Habari ID: 3472006 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/18
TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya Yemen vimetekeleza shambulizi jingine la ulipizaji kisasi kwa kuulenga uwanja wa ndege wa Abha, katika mkoa wa Asir kusini mwa Saudi Arabia. Shambulizi hilo limetekelezwa ikiwa ni katika kulipiza kisasi jinai dhidi ya Wayemen ambazo zimekuwa zikitekelezwa na Saudia na waitifaki wake katika kipindi cha miaka minne sasa.
Habari ID: 3472005 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/17
Iran na Hamas zasisitiza:
TEHRAN (IQNA) - Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Asia Magharibi.
Habari ID: 3472004 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Muungano wa Wasomaji na Waliohifadhi Qur'ani nchini Indonesia amesema hivi sasa kuna vituo 23,000 vya kufunza Qur'ani katika nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia.
Habari ID: 3472003 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/16
TEHRAN (IQNA) - Maafisa 10 wa polisi wameuawa baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika kaunti ya Wajir, katika eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya.
Habari ID: 3472002 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/15
TEHRAN (IQNA) – Gaidi wa Australia aliyetekeleza mauaji ya Waislamu 51 katika misikiti miwili mjini Christchurch nchini New Zealand mwezi Machi ameiambia mahakama kuwa hana hatia.
Habari ID: 3472001 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiimaini Marekani hata kidogo na uzoefu mchungu wa mazungumzo yaliyotangulia na Marekani katika fremu ya JCPOA kamwe hautarudiwa tena kwani hakuna taifa lolote huru na lenye akili litakubali kufanya mazungumzo chini ya mashinikizo."
Habari ID: 3472000 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13
TEHRAN (IQNA) Jumatano tarehe nane Shawwal 1440 Hijria, sawa na tarehe pili Juni 2019 ni kumbukumbu ya Mawahhabi kubomoa makaburi ya Ahul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii katika mji mtakatifu wa Madina takribani miaka 97 iliyopita.
Habari ID: 3471999 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13
TEHRAN (IQNA) – Paul Pogba, nyota wa timu ya Manchester United Ligu Kuu ya England nchini Uingereza anasema imani imani yake ya Kiislamu imemfanya awe mwanadamu bora.
Habari ID: 3471997 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/12
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la kiteknolojia nchini Malaysia limefanikiwa kutegeneza browser ya kwanza duniani ambayo inaenda kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu kwa lengo la kuwahudumia Waislamu bilioni 1.8 duniani ili waweze kuwa na mazingira halali na salama katika intaneti.
Habari ID: 3471996 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/12
TEHRAN – (IQNA)- Muungano wa makundi ya upinzani yanayoongoza vugu vugu dhidi ya utawala wa kijeshi Sudan umetangaza mpango wa kuteua watu wanane katika baraza la mpito katika nchi hiyo ambayo inakumbwa na msukusuko mkubwa wa kisiasa.
Habari ID: 3471995 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/11
TEHRAN (IQNA) – Washindi wa mashindano ya Qur'ani ambayo yaliandaliwa kwa pamoja na Radio Bilal na Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Uganda wametangazwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kampala.
Habari ID: 3471994 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/10
TEHRAN (IQNA) – Mashindano ya Qur'ani yamefanyika nchini Uswisi kwa himaya ya Jumuiya ya Kimataifa la Al Raham ya nchini Kuwait.
Habari ID: 3471992 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/10
TEHRAN (IQNA)- Mabaki ya miili ya Waislamu 12 ambao waliuawa katika vita vya ndani vya Bosnia kati ya mwaka 1992-95 yamepatikana katika kaburi la umati karibi na mji wa Sarajevo.
Habari ID: 3471991 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/09
TEHRAN (IQNA)- Sergio Ricardo Messias Neves, ambaye pia anajulikana kama Sergio au Serginho, ni mchazaji wa zamani wa soka nchini Brazil ambaye alisilimu baada ya kucheza soka katika nchi kadhaa za Mashariki ya Kati (Asia Magharibi).
Habari ID: 3471990 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/08