TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa inaendeleza mchakato wa kufunga ubalozi wake katika utawala wa Israel mwaka mmoja baada ya kumuondoa balozi wake Tel Aviv.
Habari ID: 3472173 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/15
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa hali ya kiafya ya Sheikh Ibrahim Zakzaky ni mbaya kutokana na alimu huyo kuendelea kuwekwa kizuizini kwa muda mrefu sasa.
Habari ID: 3472172 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/15
TEHRAN (IQNA)- Waumini wasiopungua 16 wameuawa baada ya watu waliobeba silaha kushambulia msikiti mmoja kaskazini mwa Burkina Faso.
Habari ID: 3472171 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/14
TEHRAN (IQNA) – Wairani zaidi ya milioni tatu wamejisajili kushiriki katika matembezi ya Arubaini ya Imam Hussein AS mwaka huu.
Habari ID: 3472168 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/12
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa taarifa baada ya kushambuliwa meli ya mafuta ya Iran karibu na bandari ya Jeddah, Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu.
Habari ID: 3472167 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/11
TEHRAN (IQNA) – Duruy a Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Maalumu kwa Wanawake ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yatakuwa na washiriki kutoka nchi 120.
Habari ID: 3472164 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepongeza msimamo imara na wa kishujaa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na uharamu wa kutumia bomu la nyuklia na kusema kuwa: Iran haiwekezi kwa ajili ya kutengeneza na kutunza bomu ya nyuklia.
Habari ID: 3472163 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/09
TEHRAN (IQNA) - Muuza mihadarati wa zamani nchini Uturuki ambaye hadi sasa ametumikia kifungo cha mwaka moja na nusu gerezani amewafnaikiw akuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3472162 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/08
TEHRAN (IQNA) – Wenye ulemavu wa macho katika Jamhuri ya Kiislamu ya Irana watakabidhiwa nakala maalumu za Qur'ani zilizoandikwa kwa maandisi ya Nukta Nundu ama Braille.
Habari ID: 3472160 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/07
TEHRAN (IQNA)- Shule ya upili imefunugliwa Misri na kupewa jina la mcheza soka mashuhuri wa nchi hiyo, Mohammad Salah.
Habari ID: 3472159 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/05
TEHRAN (IQNA) – Utulivu umerejea katika mji mkuu wa Iraq Baghdad, baada ya machafuko ya siku kadhaa.
Habari ID: 3472158 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/04
Meja Jenerali Qassem Suleimani
TEHRAN (IQNA) - Meja Jenerali Qassem Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Qods katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amefanya mahojiano kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 na kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu vita vya siku 33 vya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472157 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/03
Kiongozi Muadhamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kufeli siasa za Marekani za kuiwekea Iran mashinikizo ya juu zaidi na kutosalimu amri Tehran mbele ya mashinikizo hayo ya mfumo wa kibeberu na kusisisitiza kuwa, Iran itaendelea kwa nguvu zote kupunguza ahadi zake ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA hadi itakapofikia lengo lililokusudiwa.
Habari ID: 3472156 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/02
TEHRAN (IQNA) – Viongozi wa Uturuki, Pakistan na Malayasia wametangaza azma yao ya kuanzisha televisheni kwa lugha ya Kiingereza kwa lengo ka kukabiliana na wimbi la chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3472155 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/01
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimetangaza mpango wa kuwawezesha vijana kuhifadhi Qur'ani Tukufu kwa kutumia programu ya kompyuta inayojulikana kama 'Kitabu cha Kielektroniki'.
Habari ID: 3472154 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/30
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya maelfu ya watu kutoka kote Senegal walijumuika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Dakar, Ijumaa iliyopita kushuhudia kufungulwia rasmi msikiti ambao umetajwa kuwa mkubwa zaidi katika eneo la Afrika Magharibi.
Habari ID: 3472153 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/29
TEHRAN (IQNA) – Mashindano yajayo ya kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamepangwa kufanyika katika Mji Mtakatifu wa Mashhad, kaskazini mashariki mwa nchi.
Habari ID: 3472152 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/28
TEHRAN (IQNA) - Baada ya kupita karibu mwaka mmoja tangu mauaji ya mwandishi na mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia Jamal Khashoggi, mrithi wa ufalme wa nchi hiyo Muhammad bin Salman amekana kuhusika na mauaji hayo lakini amekubali kubeba dhima na lawama zake.
Habari ID: 3472150 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/28
TEHRAN (IQNA) - Vyama vya Kiislamu nchini Sudan vimelaani mpango wa serikali ya mpito ya nchi hiyo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472149 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/27
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza namna malengo ya uadui wa nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kimsingi yasivyo na tofauti na ya adui Marekani na kueleza kuwa: Nchi za Ulaya kidhahiri zinajidhihirisha kuwa patanishi na kusema maneo mengi lakini yote hayo ni maneno matupu.
Habari ID: 3472148 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/26