iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) – Tarjuma ya kwanza ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kilatini imeonyeshwa katika Maonyesho ya 38 ya Kimataifa ya Vitabu (SIBF) huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
Habari ID: 3472198    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/03

TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Cairo nchini Misri kimeandaa warsha iliyojadili mada ya 'Vita Dhidi ya Ugaidi Kwa Mtazamo wa Qur'ani'.
Habari ID: 3472197    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/02

TEHRAN (IQNA) – Taasisi ya Darul Iftaa ya Misri imelaani vikali hatua ya gazeti la Kimarekani la Washington Post kumsifu kinara wa kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) aliyeuawa kuwa eti alikuwa 'mwanazuoni wa kidini aliyishi kwa unyenyekevu na usahali'.
Habari ID: 3472195    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) –Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuna siku Wapalestina watarejea katika ardhi zao ambazo sasa zinakaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3472194    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/31

TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametahadharisha hujuma ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, amani haiwezi kurejeshwa nchini humo kupitia nguvu za kijeshi.
Habari ID: 3472193    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/29

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia mwanazuoni mkubwa na mwenye jitihada Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyid Ja'far Murtada al-Amili.
Habari ID: 3472192    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/28

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) – Ayatullahil Udhma Sayyid Ali al-Sistani Marjaa wa Mashia duniani aliyeko nchini Iraq ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia Allahmah Sayyid Ja'far Murtada al-Amili.
Habari ID: 3472190    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/28

TEHRAN (IQNA) – Msichana Muislamu nchini Marekani ameondolewa kwenye mashindano ya mbio za nyika kwa sababu ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3472188    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/26

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Jamia katika mji wa Nairobi, Kenya umefungua milango yake kwa wasiokuwa Waislamu kuutembelea ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya mwaka wa 94 wa ujenzi wake.
Habari ID: 3472187    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/26

TEHRAN (IQNA) – Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameendelea sera zake za chuki dhidi ya Uislamu kwa kusema anapinga vazi la staha la Hijabu la wanawake Waislamu kuvaliwa katika idara au taasisi za kiserikali zinazotoa huduma kwa umma.
Habari ID: 3472186    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/25

TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza kuwa duru ijayo ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani nchini humo imepewa jina la Qari maarufu wa nchi hiyo, al marhum Sheikh Abdul Basit Abdul Swamad.
Habari ID: 3472184    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/23

TEHRAN (IQNA) – Wapalestina yametoa wito kwa jamii ya kimataifa ichukua hatua za kuulinda Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
Habari ID: 3472183    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/22

TEHRAN IQNA)- Kiongozi wa Hong Kong amewaomba radhi Waislamu baada ya polisi wa kuzima ghasia kuuhujumu msikiti mkubwa zaidi mjini humo wakati wa kukabiliana na waandamanaji Jumapili.
Habari ID: 3472182    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/21

TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Wakfu na Masuala ya Kidini nchini Algeria amesema takribani wanafunzi milioni moja wanasoma wanaosoma Qur'ani katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini.
Habari ID: 3472181    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa iwapo vijana watasimama kidete katika njia iliyonyooka na ya haki, basi wataweza kuleta mabadiliko katika taifa la Iran na dunia nzima kwa ujumla.
Habari ID: 3472180    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/19

Sayyed Hassan Nasrallah
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesisitiza kuwa, uwepo wa mamilioni ya watu mjini Karbala ni jambo lisilo na mfano katika historia na kwamba Marekani, utawala haramu wa Kizayuni, mabeberu na madhalimu wa dunia wanahisi hofu kubwa kwa kushuhudia matembezi ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Hussein AS
Habari ID: 3472179    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/19

TEHRAN (IQNA) - Mamilioni ya Waislamu na wasiokuwa Waislamu wanakusanyika katika mji mtakatifu wa Karbaka nchini Iraq kwa ajili ya kushiriki katika shughuli ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib AS.
Habari ID: 3472177    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/18

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA) - Waislamu wasiopungua 62 wameuawa na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa katika hujuma kadhaa za kigaidi zilizotokea leo ndani ya msikiti wakati wa Sala ya Ijumaa katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.
Habari ID: 3472176    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/18

TEHRAN (IQNA) –Madaktari wa kujitolea kutoka nchi 10 wanatoa huduma za kitiba bila malipo kwa wafnyaziara katika Arubaini ya Imam Hussein AS nchini Iraq.
Habari ID: 3472175    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/17

TEHRAN (IQNA)- Mufti Mkuu wa Misri amesisitiza kuhusu kusimamiwa ipasavyo hitilafu za kifiqhi baina ya Waislamu na kuhakikisha suala hilo halitumiwi vibaya na watu wenye misimamo mikali na magaidi kwa jina dini.
Habari ID: 3472174    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/16