TEHRAN (IQNA)- Waislamu duniani wameendelea kulaani hatua ya Marekani kubadili msimamo na kuanza kuunga rasmi hatua iliyo kinyume cha sheria ya Israel ya kujenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.
Habari ID: 3472224 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/20
TEHRAN (IQNA) - Kitendo cha kuichoma moto Qur'an Tukufu kilichojiri katika mkusanyiko mmoja wa maandamano hivi karibuni nchini Norway kimeendelea kulaaniwa.
Habari ID: 3472223 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/20
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelihutubu taifa la Iran pamoja na marafiki na maadui wa mapinduzi na kusisitiza kuwa, wote, wakiwemo marafiki na maadui wa mapinduzi wafahamu kuwa, kuhusiana na medani ya kijeshi, kisiasa na kiusalama -kama vitendo vya machafuko na uharibifu vilivyotokea hivi karibuni hapa nchini ambavyo havikufanywa na wananchi wa kawaida- tumemuacha nyuma adui na kwa fadhila za Mwenyezi Mungu tutamshinda adui huyu pia katika medani ya vita vya kiuchumi.
Habari ID: 3472222 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/20
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Kituo cha Kiislmau cha Al Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed el Tayeb amekutana na Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, Ijumaa mjini Vatican.
Habari ID: 3472221 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18
TEHRAN (IQNA) – Washiriki katika Mkutano wa Pili wa Viongozi wa Kidini Duniani umefanyika huko Baki katika Jamhuri ya Azerbaijan ambapo washiriki wamesisitiza kuhusu ulazima wa kuheshimu uwepo wa dini mbali mbali sambamba na kuendeleza vita dhidi ya ugaidi.
Habari ID: 3472220 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18
TEHRAN (IQNA) – Mufti Shawqi Allaam amesema Uislamu ni dini ya ustahamilivu na rehema na inataka watu waishi pamoja kwa amani na wawe na mazungumzo baina yao.
Habari ID: 3472219 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/18
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 33 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umemalizika mjini Tehran Jumamosi usiku.
Habari ID: 3472218 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuondolewa Israel kuna maana ya kuondolewa utawala bandia wa Kizayuni na mahala pake kuchukuliwa na serikali iliyochaguliwa na wamiliki wa asili wa Palestina ambao ni Waislamu, Wakristo na Mayahudi.
Habari ID: 3472216 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/15
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko mstari wa mbele katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani katika kuwatetea watu wa Palestina.
Habari ID: 3472215 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/14
TEHRAN (IQNA)- Makamanda wawili wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina wameuawa aktika hujuma mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 3472213 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/13
TEHRAN (IQNA) – Awamu ya Tatu ya Zawadi ya Mustafa SAW 2019 imetangazwa Jumatatu katika mji mkuu wa Iran, Tehran, ambapo wanasayansi watatu wa Iran na wawili kutoka Uturuki wametangazwa washindi.
Habari ID: 3472211 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/12
TEHRAN (IQNA) - Waislamu waliowengi duniani wanataka umoja wa Kiislamu na wako katika harakati hiyo ya Umoja inayoongozwa na Iran.
Habari ID: 3472210 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/11
TEHRAN (IQNA) – Makumi ya maelfu ya watu wa Yemen wameshiriki katika sherehe za Maulid ya Mtume Muhammad SAW katika miji mbali mbali ya nchi hiyo ambayo ingali inakabiliwa na hujuma kijeshi ya utawala dhalimu wa Saudi Arabia.
Habari ID: 3472208 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/10
Kufuatia Hukumu ya Mahakama
TEHRAN (IQNA) Mahakama Kuu ya India imewapokonya Waislamu ardhi ya Msikiti wa kihistoria wa Babri na kuwakabidhi Mabiniani (Wahindi) eneo hilo ili wajenge hekalu lao.
Habari ID: 3472207 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/09
TEHRAN (IQNA) -Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza kuwa mafaili ya ufisadi wa kifedha yatafikishwa katika mahakama za nchi hiyo kwa ajili ya uchunguzi.
Habari ID: 3472206 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/08
TEHRAN (IQNA) – Kwa mara ya kwanza katika Msikiti wa Blauwe huko Amsterdam Uholanzi, kumeadhiniwa wakati wa Sala ya Ijumma kwa kutumia vipaza sauti.
Habari ID: 3472205 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/08
TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain, Al Wefaq, kimelaani kutolewa hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya kiongozi wake, Sheikh Ali Salman.
Habari ID: 3472203 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/06
TEHRAN (IQNA) - Kinara wa magaidi wakufurishaji wanaofungamana na mtandao wa Al Qaeda ameuawa nchini Mali katika oparesheni ya kijeshi.
Habari ID: 3472202 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/06
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema bado anaendelea kuwa na wasiwasi mkubwa kuhusu hali ya Myanmar, ikiwemo katika jimbo la Rakhine kutokana na kukandamizwa Waislamu wa jamii ya Rohingya katika eneo hilo.
Habari ID: 3472201 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote na kusisitiza kuwa: " "Kupiga marufuku mazungumzo na Marekani ni moja ya njia muhimu za kuwazuia kujipenyeza nchini Iran."
Habari ID: 3472199 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/03